Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video ya IS yachunguzwa-Uingereza

Ofisi ya mambo ya nchi za nje ya nchini Uingereza inaufanyia uchunguzi mkanda wa video uliotolewa na Islamic State.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Benki kuu ya Uingereza yachunguzwa

Benki kuu ya Uingereza inachunguzwa kuhusiana na vile ilivyotoa fedha za dharura katika mfumo wa benki wa taifa hilo

 

10 years ago

Mtanzania

Mabilioni yaliyofichwa Uswisi yachunguzwa

masajuElias Msuya na mashirika ya habari ya kimataifa
WAENDESHA mashtaka nchini Uswisi wamevamia katika ofisi za benki ya HSBC iliyopo Geneva na kuanza kuhoji madai ya fedha zilizopo kinyume na sheria katika benki hiyo.
Hivi karibuni mtandao wa Swiss Leaks chini ya Waandishi wa Habari za Uchunguzi wa Kimataifa (ICIJ) ulifichua kuwepo kwa Watanzania 99 wenye akaunti za siri nchini humo zenye zaidi ya Sh 205 bilioni na kwamba Tanzania ni nchi ya 100 kwa nchi zenye fedha nyingi nchini Uswisi.
Hata...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyumba ya rubani wa ndege yachunguzwa

Polisi wa Ujerumani wamegundua kile wanachosema kitawasaidia kubaini kiini cha rubani msaidizi Andreas Lubitz, kuangusha ndege

 

10 years ago

BBCSwahili

Kampuni ya mafuta Somalia yachunguzwa

Idara ya Uingereza inayopeleleza udanganyifu mkubwa, inachunguza tuhuma za rushwa, kuhusu kampuni ya mafuta ya Uingereza inayofanya kazi Somalia.

 

10 years ago

GPL

NYUMBA YA RUBANI WA NDEGE YA GERMANWINGS YACHUNGUZWA

Mabaki ya ndege ya Ujerumani ilioanguka na kuwaua watu 150 Chumba cha rubani wa ndege. Baada ya kufanya msako katika nyumba yake. Polisi nchini Ujerumani wamegundua kile wanachosema kitawasaidia katika kubaini kiini cha rubani msaidizi Andreas Lubitz, kuangusha ndege na kuwauwa abiria wote 150. Polisi hawajatoa taarifa zaidi kuhusiana na…

 

10 years ago

Bongo5

Behind The Scenes: Utengenezwaji wa video ya Ommy Dimpoz ‘Ndagushima’ Uingereza

Sina shaka umeshaitazama video ya Ommy Dimpoz ‘Ndagushima’ iliyofanyika nchini Uingereza na kuongozwa na director Mnigeria Mr. Moe Musa. Hii ni ‘behind the scenes’, wakati wa utengenezwaji wa video hiyo ambayo baada ya kukamilika kwa mara ya kwanza ilianza kuoneshwa Exclusive na kituo cha kimataifa cha MTV Base.

 

9 years ago

MillardAyo

Kama hujawahi kuiona, hii ndio video ya magoli ya mashuti ya mbali yaliowahi kufungwa katika Ligi Kuu Uingereza

Mtu wangu wa nguvu najua ni nadra sana kuona mchezaji soka akifunga goli kwa shuti la mbali, hili ni tukio ambalo hutokea katika mechi mara chache, magoli ya mashuti ya mbali huwa ni moja kati ya kivutio kizuri katika soka, hii inatokana na magoli hayo ufungwa mara chache uwanjani. Huenda ukwa ujawahi kuona hii list […]

The post Kama hujawahi kuiona, hii ndio video ya magoli ya mashuti ya mbali yaliowahi kufungwa katika Ligi Kuu Uingereza appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani