Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vifutio shuleni ni ‘vifaa vya shetani?’

Profesa Guy Claxton anapendekeza kupigwa marufuku kwa vifutio darasaniMwanafunzi akifuta makosaAina mbalimbali za vifutioJOSEPH HIZA NA MASHIRIKA YA HABARI
KICHWA cha habari hapo juu kilicho katika mfumo wa swali kinaweza kukushtua msomaji usipate picha kabla hujasoma maudhui yaliyokizunguka.
Lakini baada ya kuyasoma na kuelewa kusudio lake, hata kama hautakubaliana na ‘jawabu la ndio’ kuhusu swali hilo utakuwa umeshapata picha.
Katika tovuti ya Shirika la Habari la Uingereza (BBC) upande wa habari za elimu kuna habari iliyojengwa chini ya kichwa hicho cha habari yaani; Je, vifutio shuleni ni silaha ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

PSPF kwa kushirikiana na mwanamitindo Flaviana Matata wagawa vifaa shuleni

Mfuko wa Pensheni wa PSPF kwa kushirikiana na Taasisi ya Flaviana Matata imetoa msaada wa vifaa vya shule kwa wanafunzi walio katika mazingira magumu mkoani Lindi. Flaviana Matata ambaye ni mwanamitindo anayefanya nchini Marekani amekabidhi mabegi 650, kila begi lina vifaa mbalimbali vya shule. Vifaa vilikabidhiwa na Flaviana Matata mwenyewe kwa baadhi ya wanafunzi wa wilaya za Nachingwea na Lindi Mjini Lengo la msaada huo ambao umetolewa kwa pamoja kati ya Taasisi ya Flaviana Matata na...

 

5 years ago

Michuzi

Vifaa vya tiba vya kujikinga na Corona vya magendo vyanaswa Morocco vikipelekwa Ulaya

Vyombo vya habari vya Morocco vimeripoti kwamba, maafisa wa nchi hiyo wamenasa maelfu ya maski za masuala ya tiba zilizokuwa zikitoroshwa na kupelekwa Ulaya.

Gazeti la al Quds al Arabi linalochapishwa London limeripoti kuwa, raia mmoja wa Uingereza amekamatwa katika uwanja wa ndege wa Agadir huko kusini magharibi mwa Morocco akijaribu kutorosha maski elfu 16 na kuzipelekea Manchester kwa njia za magendo.

Vilevile maafisa wa forodha wa Morocco wamenasa shehena nyingine iliyokuwa na vifaa vya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: White House yakiri Marekani haina vifaa vya kutosha vya kupima virusi vya corona

New York imetoa wito kwa serikali kutuma vifaa zaidi vya kupima virusi vya corona katika jimbo hilo huku visa vya maambukizi vikiongezeka.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mapadre wanaoamini corona ni 'kazi ya shetani'

Kikundi cha mapadre wa kikatoliki katika eneo la Metro Manila wamekua wakihatarisha maisha yao kuendelea kuwahudumia watu wa jamii zilizokumbwa na umaskini.

 

11 years ago

Habarileo

Vyeti vya kuzaliwa kutolewa shuleni

WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini Tanzania (RITA) ameanzisha mpango wa uandikishaji na utoaji vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wanaoanzia umri wa miaka sita hadi 18 katika shule zote za msingi na sekondari nchini. Hatua hiyo inatokana na kubaini kuwa ni asilimia 23 tu ya Watanzania nchini ndio waliosajiliwa na kupewa vyeti vya kuzaliwa.

 

10 years ago

Habarileo

Kanda zaagizwa kutumia vifaa vya kisasa vya kupimia ardhi

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviSERIKALI imeagiza kila kanda kuwa na vifaa vya kisasa vya kupimia ardhi ambavyo vitawekwa katika halmashauri mbalimbali nchini, ili viweze kutumiwa na vijana wanaohitimu vyuo wenye taaluma ya masuala ya ardhi.

 

5 years ago

Ykileo

NAMNA BORA YA KULINDA VIFAA VYA TEHAMA VYA WATOTO



KWA UFUPI: Kutokana na ukuaji wa teknolojia pamoja na muunganiko wa vitu vingi katika mtandao (IoT) vifaa vingi vya watoto vimekua mhanga mkubwa wa uhalifu mtandao – Hii imepelekea kuchukuliwa kwa hutua mbali mbali za kulinda watoto mitandaoni. Andiko hili lina angazia namna bora ya kulinda vifaa vya watoto vya TEHAMA.

-----------------------------------------


Kumekua na matukio kadhaa yaliyo husisha kuingiliwa kimtandao (kudukuliwa) kwa vifaa vinavyo tumiwa na watoto huku wahalifu mtandao...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Hakuna vifaa vya kugundua ‘unga’ viwanja vya Ndege’

 Mwakilishi wa Viti Maalumu, Marina Joo Tomasi amesema Uwanja wa Ndege wa Zanzibar, hauna mashine za kutambua dawa za kulevya na akaitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuachana na kujenga vituo kurekebisha tabia na badala yake wazidishe ulinzi bandarini na kwenye viwanja vya ndege.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI IMEKABIDHIWA VIFAA VYA MAABARA VYA UCHUNGUZI NA UTAMBUZI WA MAGONJWA YA MIFUGO

 SERIKALI imekabidhiwa vifaa vya maabara vya uchunguzi na utambuzi wa magonjwa ya mifugo ambavyo vitasaidia kufanikisha juhudi za kupambana na magonjwa yakiwemo yanayotoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu.
Vifaa hivyo vimetolewa na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) kwa kufadhiliwa na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) chini ya programu ya Ajenda ya Usalama wa Afya Ulimwenguni (GHSA-ZDAH).


Lengo ni kukuza uwezo wa dunia wa kujilinda dhidi ya hatari za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani