Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wa China na Japan wakutana

Rais wa Uchina, Xi Jinping na waziri mkuu wa Japan, Shinzo Abe wamefanya mazungumzo kwa mara ya kwanza tangu wote washike madaraka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Ubalozi wa Japan wakutana na tanesco kuzungumzia uboreshaji na ukarabati wa miundombinu ya umeme hapa nchini

MKURUGENZI Mtendaji wa TANESCO, Mhandisi Felchesm Mramba akiongea na wadau wa maendeleo kutoka Japan wakati wa mkutano na waandishi wa kuzungumzia maendeleo ya miradi ya kuboresha na kukarabati miundombinu ya umeme hapa nchini. Mkutano huo ulifanyika Dar es Salaam.MKURUGENZI Mtendaji wa TANESCO, Mhandisi Felchesm Mramba akimtambulisha Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji, Mhandisi Sophia Mgonja kwa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la JICA, Onishi Yasunora (kushoto) na Waziri pia mkuu wa Kazi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA JAPAN WAKUTANA NA BALOZI BURIANI BAADA YA KUWAKILISHA HATI YA UTAMBULISHO KWA MFALME AKIHITO

 Balozi mpya wa Tanzania nchini Japan Mhe. Batilda Salha Buriani akiongea na Watanzania waishio nchini humo mara tu baada ya kutoka kuwasilisha hati ua utambulisho kwa mfalme Akihito wa Japan. Picha na Mariam mwakilishi wa Vijimambo Japan. Balozi mpya wa Tanzania nchini Japan Mhe. Batilda Salha Buriani akigonganisha glasi na mmoja wa Watanzania waishio Japan siku alipowakaribisha nyumbani  mara tu baada ya kutoka kuwasilisha hati ua utambulisho kwa mfalme Akihito wa Japan. Maafisa,...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI WA CHINA NCHINI NA MHE. MASELE WAZUNGUMZA JUU YA MKUTANO WA JUKWAA LA VIONGOZI VIJANA AFRIKA NA CHINA

Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Dr. Lu Youqing akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)  juu ya mkutano wa kimataifa wa viongozi vijana wa Afrika na China unatorajiwa kufanyika kuanzia Machi 27 na kumalizika Machi 31 katika Ukumbi wa Hoteli ya Ngurdoto, jijini Arusha.Kushoto ni Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira),Mhe. Stephen Masele.Balozi wa China hapa nchini, Mhe. Dr. Lu Youqing akipeana mkono na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais...

 

11 years ago

BBC

Japan and China row over Africa

China and Japan are criticising each other's policies in Africa as each pledges more money for the continent.

 

10 years ago

BBCSwahili

Usalama:Japan na China kukutana

China na Japan wanafanya mkutano wa kwanza wa kiwango cha juu wa usalama katika muda wa miaka minne.

 

10 years ago

GPL

VIONGOZI WA TAKUKURU WAKUTANA KILIMANJARO

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akitoa hotuba wakati wa ufunguzi wa mkutano mkuu wa mwaka wa viongozi wa TAKUKURU uliofanyika katika ukumbi wa Kuringe. Mkurugenzi mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Dk Edward Hosea akizungumza wakati wa Mkutano mkuu wa mwaka wa viongozi wa TAKUKURU…

 

11 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa Afrika wakutana Marekani

Takriban viongozi hamsini kutoka nchi za Afrika kuhudhuria mkutano mkubwa zaidi wa aina yake kuwahi kufanyika Marekani

 

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa Afrika wakutana Ethiopia

Viongozi wa Bara la Afrika wanafanya Mkutano wao mjini Adis Ababa nchini Ethiopia kujadili maswala yanayokabili bara hilo

 

9 years ago

BBCSwahili

China yakumbuka ushindi dhidi ya Japan

China imeadhimisha kumbukumbu ya miaka 70 tangu vita ya pili ya dunia, baada ya kuipiga Japan

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani