Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIONGOZI WAMIMINIKA BANDA LA PSPF, WAVUTIWA NA HUDUMA ZA MFUKO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Bw. Adam Mayingu (watatu kutoka kushoto) na Maofisa wengine wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF alipotembelea banda la Mfuko huo katika Maonesho ya 39 ya Kimataifa ya biashara yanayoendelea katika viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam. Waziri Mkuuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mizengo Pinda akimpongeza mmoja wa wanachama wapya wa Mpango wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WENGI WAVUTIWA NA HUDUMA ZITOLEWAZO NA MFUKO WA GEPF NA KUJIUNGA KATIKA MPANGO WA HIARI WA KUJIWEKEA AKIBA

Naibu Katibu Mkuu katika Wizara ya Fedha na Uchumi Bi Doroth Mwanyika akijaza fomu ya kujiunga na mpango wa Hiari katika Mfuko wa Mafao ya Kustaafu wa GEPF. Afisa kutoka GEPF Bw Swinford Mndellah akitoa ufafanuzi kwa wanachama wa GEPF kutokaJeshi la Polisi juu ya huduma mpya zitolewazo na Mfuko.…

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI KUTOKA CLOUDS MEDIA GROUP WALIPATA FURSA YA KUTEMBEA MAKAO MAKUU YA MFUKO WA PENSHENI YA PSPF NA KUJIONEA WENYEWE UBORA WA HUDUMA NA BIDHAA ZA MFUKO

Mkurugenzi wa Ukaguzi wa ndani wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. Godfrey Ngonyani (kushoto) akimkabidhi zawadi mtarishaji wa kipindi maarufu cha Power Breakfast Bw. Phillip Mwihava baada ya kumalizika kwa semina ambayo PSPF iliandaa maalum kwa watendaji kutoka Clouds Media. Lengo la semina hiyo ni kuwaelimisha kwanini PSPF inaendelea kuwa chaguo la kwanza kwa waajiriwa wapya hapa nchini. Anayeshuhudia Bibi. Neema Muro, Mkurugenzi wa Uendeshaji wa PSPF. Afisa uhusiano Mwandamizi wa...

 

10 years ago

Michuzi

ORIGINAL KOMEDI WAZURU PSPF, LENGO NI KUJIONEA UBORA WA HUDUMA ZA MFUKO HUO

Wasanii wanaounda kundi la Original Komedi wakipata maelezo kutoka kwa Bw. Lonick Nkinda, Afisa wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF juu ya huduma zinazotolewa na Mfuko huo, wasanii hao walitembelea Makao Makuu ya PSPF ili kujionea utendaji wa Mfuko huo. Msanii wa kikundi cha Original Komedi Bw. Emmanuel Mgaya akijaribu kufungua moja ya mitambo inayotumika kuhifadhia kumbukumbu za wanachama wa PSPF ili kuona ubora wa huduma za Mfuko huo. Wasanii wa kundi la Original Komedi wakiwa katika picha ya...

 

11 years ago

Michuzi

Mh. Kabaka atembelea Banda la PSPF sabasaba, Mrisho Mpoto ajiunga PSPF

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akimpa maelezo, Waziri wa Kazi na Ajira, Mh. Gaudentia Kabaka, wakati alipotembelea banda la Mfuko huo kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam Jumatatu Julai 7, 2014.Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, (Kulia), akimkabidhi kadi ya uanachama wa Mfuko huo, Mwanachama Mpya, Msanii maarufu nchini, Mrisho Mpoto (Katikati), kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam...

 

11 years ago

Michuzi

Wateja wamiminika banda la NHIF wiki ya Utumishi wa Umma

Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Ellentruda Mbogoro akifafanua jambo kuhusiana na huduma zinazotolewa na Mfuko kwa wadau waliofika bandani hapo kwenye maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma. Ofisa Masoko na Elimu kwa Umma, Grace Michael (kushoto) akihakiki baadhi ya nyaraka zilizowasilishwa kwa ajili ya vitambulisho.  Meneja wa Masoko na Elimu kwa Umma, Anjela Mziray akitoa ufafanuzi wa jambo kwa wananchj waliofika bandani hapo, wengine ni Luhende Singu na Geofrey...

 

9 years ago

GPL

MFUKO WA PENSHENI WA PSPF, TPB KWA KUSHIRIKIANA NA PROPERTY INTERNATIONAL WAZINDUA MFUKO MPYA

 WAZIRI wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais, (anayeshughulikia masuala ya Muungano), Samia sSuluhu Hassan,(wapili kulia), Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, Sabasaba Moshingi, (wakwanza kulia), Afisa Mtendaji Mkuu wa Property International Ltd, (PIL), Abdulkarim Haleem, (watatu kulia), na Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Uwekezaji, Gabriel Silayo, (wane...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mawaziri wamiminika ndani ya banda la MeTL GROUP maonyesho ya Sabasaba jijini Dar

DSC_0086

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (Mb) akiwasili kwenye banda la Makampuni ya MeTL GROUP na kulakiwa na Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya MeTL GROUP, Fatema Dewji (wa pili kushoto). Kulia ni Meneja Masoko Msaidizi wa MeTL Group, Bw. Aunali Bandali na Kushoto ni Afisa Mauzo wa MeTL GROUP, Yusuf Sadiq.(Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).

DSC_0063

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid na mkewe akiwasili katika banda la Makampuni ya MeTL Group...

 

9 years ago

Michuzi

MFUKO WA PENSHENI WA PSPF, TPB KWA KUSHIRIKIANA NA PROPERTY INTERNATIONAL LIMITED WAZINDUA MPANGO WA KUWAKOPESHA VIWANJA WANACHAMA WA MFUKO HUO

 WAZIRI wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais, (anayeshughulikia masuala ya Muungano), Samia sSuluhu Hassan,(wapili kulia), Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, Sabasaba Moshingi, (wakwanza kulia), Afisa Mtendaji Mkuu wa Property International Ltd, (PIL), Abdulkarim Haleem, (watatu kulia), na Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Uwekezaji, Gabriel Silayo, (wane kulia), wakiwa wamekamata mwamvuli ikiwa ni ishara ya umoja, kwenye...

 

10 years ago

GPL

BALOZI WA PSPF FLAVIANA MATATA ATOA ELIMU YA FURSA MBALIMBALI ZINAZOPATIKANA KATIKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF KWA WANAFUNZI WA VYUO MBALIMBALI JIJINI MWANZA

  Balozi wa PSPF, Bi. Flaviana Matata akitoa elimu kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya elimu ya juu (hawapo pichani) jijini Mwanza…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani