Virusi vya corona: Mapacha watatu waliozaliwa wapatikana na corona Mexico
Wataalamu wa afya wanachunguza ikiwa watoto hao waliambukizwa kupitia kondo la nyuma la mama wakati wa ujauzito.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili02 May
Virusi vya corona: Watu 24 wapatikana na maambukizi ya corona kwa siku moja Kenya
Kenya imerekodi idadi kubwa ya maambukizi ya corona kwa siku moja , kuwahi kushuhudiwa tangu kisa cha kwanza cha maambukizi hayo kilipotangazwa tarehe 12 Machi
5 years ago
BBCSwahili20 May
Virusi vya corona: Kwa nini watoto waliozaliwa na kina mama wa kupanga wamekwama Ukraine?
Watoto waliozaliwa na kina mama wa kupanga wamekwama nchini Ukraine kutokana na masharti ya kutotoka nje kukabiliana na virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mabadiliko ya virusi vya corona: Kwanini virusi vya corona vina tabia ya magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono
Utafiti wa virusi vya Covid-19 ulikadiria kwamba kiwango kikuu cha maambukizi ya virusi hivyo hutokea siku moja au mbili kabla ya mtu aliyeambukizwa kuanza kuonyesha dalili.
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Virusi vya corona: Mikutano mikubwa ya Kampeni za uchaguzi yaibua hofu ya maambukizi ya virusi vya corona
Picha zinazoonyesha mikusanyiko ya maelfu ya watu waliokusanyika Jumatatu kwa uzinduzi wa mikutano ya kampeni za kisiasa nchini zimeibua wasi wasi mkubwa ya kuongezeka kwa maambukizi ya virusi vya corona kabla ya taifa hilo kufanya uchaguzi unaotarajiwa tarehe 20 Mei mwaka huu.
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Virusi vya corona: Nadharia za uongo kuhusu virusi vya corona kati ya Marekani na China
Tangu mlipuko wa virusi vya corona kutokea nadharia zisizo za kweli kuhusu chimbuko na ukubwa wa janga la corona ni miongoni mwa yaliyoenea kwenye mitandao.
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya Corona: Boris Jonhson alazwa hospitali akionyesha dalili za virusi vya corona
Boris Johnson anaendelea na "vipimo vya kawaida", siku 10 baada ya kugunduliwa na virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Virusi vya Corona: Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona Kenya yapanda hadi 110
Idadi ya visa vya ugonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imefikia 110 baada ya visa vingine 29 kuthibitishwa
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Virusi vya corona: Jinsi virusi vya corona vinavyobadilisha tabia za raia wa Sierre Leone
Sehemu ya kwanza ya kipindi cha Afrika Eye inaangazia mlipuko wa corona unavyobadilisha tabia za raia wa Sierra Leone kuhusu jinsi wanavyoshirikiana
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania