Virusi vya Corona: Utaratibu wa mazishi unavyoumiza hisia na imani za jamii
Kenya yatangaza utaratibu mpya wa kufuatwa kwenye mazishi ya wanaofariki kwa corona.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya corona: Imani za kidini zinasaidia au zinadidimiza mapambano dhidi ya corona?
Katikati ya mwezi Machi mwaka huu nchi ya Malaysia ilifunga mashule, ofisi na sehemu za ibada katika juhudi za kupambana kuenea virusi vya corona, baada ya kubaini mikusanyiko katika misikiti ilichangia pakubwa kuripuka kwa ugonjwa huo.
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya corona: Rais Magufuli asema ana imani ugonjwa wa corona umeondolewa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu
Rais Magufuli aliwaomba raia wa taifa hilo kutumia siku tatu kuanzia tarehe 17 hadi 19 Aprili 2020, kumuomba Mwenyezi Mungu ili kuwaepusha na janga la ugonjwa wa corona.
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya Corona: Mazishi ya usiku na hofu ya corona Tanzania
Baadhi wana hofu kuwa mamlaka nchini Tanzania halichukulii janga kwa uzito wake.
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Coronavirus: Je, virusi vya corona vimewatengenisha watu na imani zao?
Taratibu za ibada kwenye makanisa, misikiti na mahekalu pia zimebadilishwa katika jitihada za kukabiliana na kusambaa kwa virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Jinsi ‘mazishi ya kisiri’ Afrika Kusini huenda ikasaidia kukabiliana na corona
Hatua ya Afrika Kusini kupiga marufuku mikusanyiko mikubwa ya watu mazishini imesaidia kuvumbuliwa tenda kwa tamaduni za jadi.
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Virusi vya corona: Papa Francis asema corona imeonyesha jinsi maskini wanavyotengwa na jamii
Papa Francis anasema janga la virusi vya corona limeonyesha ni kwa jinsi gani maskini wametengwa na jamii.
5 years ago
BBCSwahili04 Jun
Virusi vya corona: Kuvuruga utaratibu wa chanjo kwa watoto kutasababisha vifo vinavyoweza kuepukika
Mamilioni ya watoto wanaweza kupoteza maisha kutokana na maradhi yanayoweza kuzulika kwa sababu ya kukatizwa kwa programu za chanjo kutokana na virusi vya corona, wataalam wametahadharisha.
5 years ago
BBCSwahili31 May
Virusi vya Corona: Serikali ya Tanzania yatoa utaratibu wa michezo baada ya Magufuli kuruhusu iendelee
Serikali ya Tanzania imetoa wito wa kuzingatiwa kwa mwongozo wa Afya michezoni, wakati Ligi ya soka na michezo mingine itakaporuhusiwa kuendelea nchini humo kuanzia Kesho Juni Mosi.
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Kwanini rais Trump ana imani na dawa ya Hydrochloroquine 'kutibu' virusi vya corona?
Rais Trump anaamini kwamba dawa hii inaweza kuleta tofauti kubwa duniani katika vita dhidi ya virusi vipya vya ugonjwa wa corona katika mwili wa binadamu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania