‘Viungo vya marehemu vitumike kuokoa wagonjwa’
SERIKALI ya Tanzania imetakiwa kuangalia uwezekano wa kuanza kutumia viungo vya binadamu waliofariki dunia katika kuokoa wagonjwa wenye uhitaji ili kunusuru maisha yao na kupunguza gharama ya kufuata huduma hiyo nje ya nchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hEGkr3BeAhU/U85UqUTHEEI/AAAAAAAF4sg/NnQGo7T4kH0/s72-c/3.jpg)
KAMANDA KOVA AKUTANA NA WANAHABARI KUZUNGUMZIA SWALA NA VIUNGO LA VIUNGO VYA WATU VILIVYOTUPWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-hEGkr3BeAhU/U85UqUTHEEI/AAAAAAAF4sg/NnQGo7T4kH0/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vmL4Qkuabp0/U85UspcLKZI/AAAAAAAF4sk/YNr2OLdZ_8w/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PoWCh_oG1SQ/U85Usj92MDI/AAAAAAAF4so/vt2MAtsvjYQ/s1600/2.jpg)
Chini ni Taarifa Rasmi iliyotolewa leo.
11 years ago
Mwananchi23 Jun
MAONI: Vipindi vya michezo vitumike ipasavyo
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Hospitali za Apollo kuhimiza wagonjwa wa Haemophilia kufanya mazoezi ya viungo
Kujikata, kugongwa na kuchubuka ni ajali za kawaida kwa watu wengi sababu ya shughuli za kila siku, nyumbani na sehemu nyingine ajali hizi hazikwepeki na mara nyingi hazitiliwi mkazo kiafya. Hata hivyo kwa watu wenye haemophilia ajali kama hizo ndio sababu kubwa ya kutufanya kuchukua tahadhari zaidi. Ugonjwa huu kwa kiasi kikubwa ni wa kimaumbile na unadhoofisha uwezo wa mwili kujikarabati wenyewe wakati unapoumia kwa kujikata au michubuko. Taasisi mbalimbali zimekuwa zikijaribu kuongeza...
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Kenya yafikia 758, huku wagonjwa wengine 21 wakithibitishwa
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Virusi vya corona: Mombasa yathibitisha wagonjwa 67 huku jumla ya wagonjwa ikifikia 2,474 kenya
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKb27P3JwiG3KPXe7BRvihz6RfqutjOwnOj9wNVsL8XVvPS4cSd9K0Ov7q2tgmIGwGKrqZhu5jEMwhmhgMKh4yTeBsr*Wi9t/tumbowanawake.jpg?width=650)
MAAMBUKIZI KATIKA VIUNGO VYA UZAZI VYA MWANAMKE-3
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bGawF3RRkacpxgOTyhFJJ7fnF67*qE7qZAj2hLsV6NZPn3q8B8T39RM*Ji4Mj9z3F92Uaz8s-WB8Ly0fKNCoU9wuHGrbK7RW/tumbowanawake.jpg?width=650)
MAAMBUKIZI KATIKA VIUNGO VYA UZAZI VYA MWANAMKE-2
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
THBUB yalaani mauaji na vitendo vya ukatili wa viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi!
Mtoto Mlemavu wa Ngozi (Albino) Adam Robert (13) wakati akiwa amelazwa hospitalini baada ya kujeruhiwa na kwa kukatwa mkono na kisha kunyofolewa Vidole sita vya mikono yote miwili,picha hii ilipigwa siku moja tu baada ya kufikishwa katika hospitali ya wilaya ya Geita. (Maktaba;Picha hii ilipigwa Oktoba 14 mwaka 2011).
Press Release_Albino Kukatwa Viungo by moblog
5 years ago
BBCSwahili17 Apr
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Tanzania yafika 147 baada ya wagonjwa 53 zaidi kukutwa na virusi hivyo