Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VODACOM KUKABIDHI ZAWADI MEI 27

Meneja uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania, Salum Mwalim, akizungumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani) wakati wa kutangaza siku ya kukabidhi zawadi za washindi wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Pamoja nae katika picha, wa kwanza kutoka kushoto ni Ofisa Matukio na Udhamini wa Vodacom Tanzania, Ibrahim Kaude, Ofisa Habari wa TFF, Boniface Wambura. •Azam TV kurusha “live”
Bingwa wa Ligi kuu ya Vodacom...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Vodacom kukabidhi zawadi kwa Bingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Mei 27

Meneja uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania, Salum Mwalim, akizungumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani) wakati wa kutangaza siku ya kukabidhi zawadi za washindi wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Pamoja nae katika picha, wa kwanza kutoka kushoto ni Ofisa Matukio na Udhamini wa Vodacom Tanzania, Ibrahim Kaude, Ofisa Habari wa TFF, Boniface Wambura.
Bingwa wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2013/2014 timu ya Azam FC itakabidhiwa kitita chake cha zawadi Sh 75 Milioni Mei 27...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK kukabidhi zawadi wanafunzi waliofanya vizuri

RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kutoa zawadi kwa wanafunzi na shule zilizofanya vizuri katika mitihani ya kuhitimu darasa la saba na kidato cha nne kwa mwaka 2013 wakati wa kilele cha...

 

11 years ago

Dewji Blog

Jerry Slaa kukabidhi zawadi kwa wateja wa banda la MeTL Sabasaba

IMG_1291

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa.

Na Mwandishi Wetu

WATEJA wanaotembelea banda la MeTL Group lililopo kwenye maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea  kwenye mabanda ya SabaSaba katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere,  barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam, kesho Jumatatu  wanatarajiwa kuchezeshewa  droo maalum itakayotoa zawadi mbalimbai ikiwemo pikipiki.

Katika droo hiyo  Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa anatarajiwa  kuwa mgeni...

 

11 years ago

GPL

JERRY SLAA KUKABIDHI ZAWADI KWA WATEJA WA BANDA LA MeTL SABASABA‏

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa. WATEJA wanaotembelea banda la MeTL Group lililopo kwenye maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea kwenye mabanda ya SabaSaba katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam, leo Jumatatu wanatarajiwa kuchezeshewa droo maalum itakayotoa zawadi mbalimbai ikiwemo pikipiki. Katika droo hiyo Mstahiki Meya wa Manispaa ya...

 

11 years ago

Michuzi

JERRY SLAA KUKABIDHI ZAWADI KWA WATEJA WA BANDA LA MeTL SABASABA LEO

IMG_1291Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa.
WATEJA wanaotembelea banda la MeTL Group lililopo kwenye maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea kwenye mabanda ya SabaSaba katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam, leo Jumatatu wanatarajiwa kuchezeshewa droo maalum itakayotoa zawadi mbalimbai ikiwemo pikipiki.Katika droo hiyo Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi na atakabidhi...

 

9 years ago

Michuzi

VODACOM YAWATUNUKU ZAWADI MBALIMBALI WASHIRIKA WENZA WA KIBIASHARA.

 Ofisa Mkuu wa Mauzo na Usambazaji wa Vodacom Tanzania, Keith Tukei(kushoto)akimkabidhi Bw.Ajali Kibiki(kulia)cheti cha utendaji bora wa kutoa huduma  nzuri  kwa wateja  katika duka la kampuni hiyo lililopo Makamba Mkoani Njombe,Wakati wa hafla fupi iliyoandaliwa na kampuni hiyo kwa ajili ya kutoa elimu kwa  washirika wa kibiashiara.Wengine katika picha wapili toka kushoto ni Magreth Lawrence na Brigita Stephen.Hafla hiyo ilifanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam.Mshirika wa kibiashara...

 

10 years ago

Michuzi

VODACOM WATOA ZAWADI KWA MCHEZAJI BORA WA MWEZI

 Mkuu wa Wilaya ya Mbeya mjini Dr. Norman Sigela(mwenye suti nyeusi)pamoja na Mchezaji bora wa Mwezi wa Septemba wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara Anthony Matogolo wa timu ya Mbeya City(kushoto)wakionesha hundi yenye thamani ya Tsh Milioni 1/= kwa mashabiki wa timu yake mara baada ya kukabidhiwa rasmi na  Mkuu wa wilaya hiyo kwa niaba ya wadhamini wakuu wa ligi kuu Vodacom Tanzania hapo jana kabla ya mechi kuanza baina ya timu Mbeya City na  Azam FC,Ambapo Azam FC iliilaza Mbeya City kwa...

 

10 years ago

GPL

VODACOM WATOA ZAWADI KWA MCHEZAJI BORA WA MWEZI‏

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya mjini Dr. Norman Sigala(mwenye suti nyeusi)pamoja na Mchezaji bora wa Mwezi wa Septemba wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara Anthony Matogolo wa timu ya Mbeya City (kushoto)wakionesha hundi yenye thamani ya Tsh Milioni 1/= kwa mashabiki wa timu yake mara baada ya kukabidhiwa rasmi na  Mkuu wa wilaya hiyo kwa niaba ya wadhamini wakuu wa ligi kuu Vodacom Tanzania hapo jana kabla ya mechi kuanza baina ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani