Vurusi vya corona: Jinsi kampuni ya ndege ya Mahan Air nchini Iran ilivyokaidi marufuku na kusambaza corona mashariki ya kati.
BBC imefanya uchunguzi kuhusu jinsi ndege moja ya kampuni ya Iran, kwa jina Mahan Air ilivyochangia katika usambazaji wa virusi vya corona katika eneo la mashariki ya kati.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili28 Feb
Virusi vya Corona: Jinsi Iran inavyokabiliana na corona
Iran inahofia uhaba wa vifaa vya kujikinga na virusi vya corona wakati huu ambao inakabiliwa na vikwazo vya Marekani.
5 years ago
BBCSwahili25 May
Virusi vya corona: Jinsi janga la virusi vya corona linavyobadili usafiri wa ndege duniani
Janga la corona limelazimisha mashirika ya ndege kufuta safari na kuegesha ndege
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Jinsi marufuku ya misongamano inavyokumbana na vikwazo Afrika
Nchi kadhaa barani Afrika zimetangaza marufuku ya misongamano je, utekelezaji upoje?
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Jinsi marufuku ya kutoka nje ya virusi vya corona inavyowaathiri wanawake kwa kunyanyaswa
Umoja wa Mataifa unaonya kuwa unyanyasaji na vurugu za kijinsia kwa wakati huu ni jambo la haraka kama matibabu.
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya corona: Jinsi ya kuimarisha afya yako ya akili wakati wa marufuku ya kutotoka nje
Taarifa za mara kwa mara kuhusu janga la coronavirus linavyowaathiri ulimwengu zimesababisha baadhi ya watu kuwa na hofu
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya Corona: Iran yaamua kufungua misikiti licha masharti ya kukabiliana na corona
Misikiti kote nchini Iran imepangiwa kufunguliwa Jumanne hatua inayowadia licha ya kwamba baadhi ya maeneo bado yanaathirika vibaya na janga la virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Virusi vya corona: Jinsi wakimbizi walivyoathirka na janga la corona Afrika
Janga la corona limeathiri kwa kiasi kikubwa maisha ya watu. Hata hivyo kwa wakimbizi hususan wale walioko barani Afrika changamoto ni nyingi, kulingana na shirika la wakimbizi.
5 years ago
Michuzi
Waathirika 291 wa virusi vya Corona wapona nchini Iran

Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Udaktari nchini Iran imetangaza kwamba hadi sasa watu 291 waliokuwa wameathirika na virusi vya Corona wamepona na kuruhusiwa kutoka hospitalini.
Alireza Raeesi, Naibu Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Udaktari nchini Iran ameyasema hayo leo akiongea na waandishi wa habari. Ameashiria kuwa watu 1,501 waathiriwa wa virusi vya Corona nchini Iran na kusema kwa bahati mbaya hadi sasa watu 66 wamefariki dunia kutokana na virusi hivyo.
Virusi vya Corona viliibuka...
5 years ago
BBCSwahili22 May
Virusi vya corona: Victor Wanyama anaelezea jinsi Corona ilivyoathiri mipango
Janga la virusi vya Covid-19, limesababisha athari nyingi mkiwemo mipango ya soka ya wachezaji wa soka la kulipwa Ulaya. Victor Wanyama kutoka Kenya anaelezea jinsi alivyoathiwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania