Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waandishi fuateni maadili ya kazi— MCT

DSC07181NA SAFINA SARWATT, MOSHI

WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kufuata maadili ya taaluma yao ili waweze kufanya kazi kwa uhuru zaidi.

Rai hiyo imetolewa jana na mwezeshaji kutoka Baraza la Habari Tanzania (MCT), Atilio Tagalile, alipokuwa akiwasilisha mada ya uchaguzi katika semina ya waandishi wa habari.

“Baadhi ya waandishi wa habari wamekiuka maadili ya
uandishi na wamegeuka na kuwa mashabiki wa wagombea wa nafasi mbalimbali za siasa.

“Kutokana na ushabiki huo, wameshindwa kuandika...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Nkinga: Watumishi wapya fuateni maadili

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Sihaba NkingaKATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Sihaba Nkinga amewataka waajiriwa wapya wa wizara hiyo, kuwa wavumilivu na kufuata kanuni za maadili kwa kuwa wizara hiyo ni moja ya wizara zilizo karibu zaidi na wananchi.

 

11 years ago

Michuzi

WAANDISHI WA HABARI WA MKOA WA NJOMBE WAKABIDHIWA VYETI VYA USHIRIKI WA MAFUNZO YALIYOTOLEWA NA MCT

 Mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa Njombe Mercy James akikabidhiwa cheti chake. Mafunzo hayo yaliandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) kwa kushirikiana na chama cha waandishi wa habari mkoa wa Njombe (Njombe Press Club ) yenye lengo la kuwasaidia waandishi hao kuandika habari kwa kufuata weledi wa taaluma hiyo  Meneja wa kitucha redio Uplands Fm, Novatus Lyaruu akipokea cheti chake kama mshiriki wa mafunzo hayo Mwandishi wa habari wa gazeti la Majira na mtandao...

 

5 years ago

Michuzi

Waandishi zingatieni maadili, sheria


Na. Vero Ignatus

CHAMA cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari Tanzania(JOWUTA) kimesisitiza umuhimu wa waandishi wa habari nchini kuendelea kuzingatia maadili, kanuni na sheria katika utekelezaji wa majukumu yao katika kipindi hiki cha mapambano dhidi ya janga la ugonjwa wa homa kali ya mapafu COVID19.

Akitoa salamu za maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Habari Duniani leo, Mwenyekiti wa JOWUTA, Claud Gwandu alisema uhuru wa habari, maadili, haki, usawa ni nguzo muhimu za kuzingatiwa na wanahabari...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waandishi watakiwa kufahamu maadili ya umma

WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kufahamu maadili ya utumishi wa umma na sera za afya ili watoe taarifa zisizo na ukinzani baina ya sekta hiyo na jamii. Akizungumza jana na...

 

9 years ago

Mtanzania

Waandishi wa habari watakiwa kufuata maadili

Tabu-ShaibuNA ESTHER MNYIKA, DAR ES SALAAM

WADAU wa habari wamewataka waandishi wa habari kufuata maadili ya taaluma yao ili kuwezesha Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu kuwa huru na haki.

Akizungumza Dar es Salaam juzi katika Kongamano la Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Dar es Salaam (DCPC),  Ofisa Habari kwa Umma wa Manispaa ya Ilala, Tabu Shaibu, aliyemwakilishi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, alisema wadau wote wa habari wanajua kuwa uchaguzi mara nyingi unasababisha matatizo...

 

11 years ago

Mtanzania

Jaji Lila awataka waandishi kuzingatia maadili

Jaji Shaaban Lila

Jaji Shaaban Lila

Veronica Romwald na Grace Shitundu, Dar es Salaam

VYOMBO vya habari nchini vimetakiwa kuzingatia maadili, weledi na miiko ya uandishi wa habari ili kuepusha migogoro inayoweza kuhatarisha amani ya nchi.

Agizo hilo limetolewa Dar es Salaam mwishoni mwa wiki na Jaji Shaaban Lila, wakati akizindua Bodi mpya ya Baraza la Habari Tanzania (MCT).

Alisema vyombo vya habari vinapaswa kutotumika na vyama vya siasa kwa kuandika habari zenye mrengo mmoja na kuepuka habari za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani