WABUNGE WA CCM WAUNGURUMA HUKO MTERA MKOANI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-_6XThM9xzjs/U_oiPHAs2vI/AAAAAAAGCFc/q_JQxv60J0c/s72-c/IMG-20140824-WA0002.jpg)
Sehemu ya Wananchi wa Jimbo la Mtera,wakiwa wamekusanyika kwa wingi kwenye Mkutano wa hadhara uliofanywa na baadhi ya Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa kuuelimisha umma juu ya masuala ya Maendeleo, Utekelezaji wa ilani Chama, Maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za vijiji na mitaa, Bunge la Katiba na Mambo yanayohusu maendeleo ya katika vijiji na wilaya zetu. Pia waliwakumbusha juu ya thamani ya muungano wetu na vipengele muhimu vinavyojadiliwa ndani ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/IMG-20140824-WA0005.jpg)
WABUNGE WA CCM WAUNGURUMA HUKO MTERA MKOANI DODOMA
10 years ago
Dewji Blog25 Aug
Wabunge wa CCM waunguruma Mtera Mkoani Dodoma
Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akiwahutubia wananchi katika kijiji Iringa Mvumi Jimbo la Mtera mkoani Dodoma ambapo Chama cha mapinduzi kimeendelea kuuelimisha umma juu ya masuala ya Maendeleo, utekelezaji wa ilani, maandalizi ya uchaguzi wa serikali za vijiji na mitaa, bunge la katiba na mambo yanayohusu maendeleo ya katika vijiji na wilaya zetu.
Pia kuwakumbusha juu ya thamani ya muungano wetu na vipengele muhimu vinavyojadiliwa ndani ya katiba.
Mbunge wa jimbo la...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dLTxdjty098/VP4HRp0xJ1I/AAAAAAAC1T8/1tGMbDXcUl0/s72-c/16.jpg)
KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE JIMBO LA MTERA MKOANI DODOMA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-dLTxdjty098/VP4HRp0xJ1I/AAAAAAAC1T8/1tGMbDXcUl0/s1600/16.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HtCkPXeWgjg/VP4HP3QDUSI/AAAAAAAC1T0/fJ-MmNuJ1gI/s1600/15.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nGAA5MtHw_0/U0xVlPhWUgI/AAAAAAAFawc/sxEShGYGYog/s72-c/unnamed+(24).jpg)
MAMA SALMA AZINDUA RASMI UCHUNGUZI WA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI HUKO BAHI - MKOANI DODOMA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-nGAA5MtHw_0/U0xVlPhWUgI/AAAAAAAFawc/sxEShGYGYog/s1600/unnamed+(24).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MshacqXTz7o/U0xVlYcnx7I/AAAAAAAFawk/pfUTcajCeIQ/s1600/unnamed+(25).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LCfZsJtkBMA/U0xVmYr4XCI/AAAAAAAFaws/1LbC9o4mOIY/s1600/unnamed+(26).jpg)
10 years ago
Habarileo14 Jan
Mzee mkoani Dodoma aipa somo la uadilifu CCM
MMOJA wa wazee wa mkoa wa Dodoma Athumani Makole (66) amesema kama Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kuaminiwa na kuendelea kuongoza nchi ni lazima kwenye Uchaguzi Mkuu ujao wachaguliwe viongozi waadilifu watakaofanya kazi kwa uaminifu ili kurudisha imani yao kwa wananchi.
10 years ago
IPPmedia17 Jul
6 CCM members aspire for Mtera Parliamentary seat
IPPmedia
IPPmedia
At least six members of Chama cha Mapinduzi (CCM) have shown interest in the Mtera Parliamentary seat, ready to challenge outgoing MP Livingstone Lusinde, who has picked up nominations forms to defend the seat. The hopefuls are Samwel Malecela, ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gGudHkDewkw/VQD3FrWZvGI/AAAAAAAC1bg/Hs_-CEOQHKg/s72-c/17.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA WILAYANI CHEMBA MKOANI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-gGudHkDewkw/VQD3FrWZvGI/AAAAAAAC1bg/Hs_-CEOQHKg/s1600/17.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fw4BP1ZkJxc/VQD3McaQAII/AAAAAAAC1cA/xyR-4DazeUA/s1600/19.jpg)