Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge wamuaga Mwaiposa

NA ARODIA PETER, DODOMA
VILIO na simanzi jana vilitawala katika viwanja vya Bunge mjini hapa wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Ukonga, Eugen Mwaiposa (CCM).
Mwaiposa (55) alifariki dunia juzi mjini hapa akiwa usingizini nyumbani kwake eneo la Chadulu na chanzo cha kifo hicho kimeelezwa kuwa ni shinikizo la damu.
Shughuli za kuaga mwili huo ziliongozwa na Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai pamoja na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Waziri Mkuu za zamani, Edward Lowassa, Katibu Mkuu...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

AllAfrica.Com

Tears As MP Eugen Mwaiposa Dies


Tears As MP Eugen Mwaiposa Dies
AllAfrica.com
Dodoma — SHOCK and silence dominated the National Assembly on Tuesday as Deputy Speaker Job Ndugai announced the death of Ukonga Member of Parliament Ms Eugen Mwaiposa, which occurred at her Chadulu residence in this municipality.

 

10 years ago

IPPmedia

JK sends condolences to Mwaiposa family


IPPmedia
JK sends condolences to Mwaiposa family
IPPmedia
President Jakaya Kikwete has sent condolences to the family of Ukonga Member of Parliament Eugen Mwaiposa and the people of Ukonga constituency that she represented so diligently. The condolence message was sent yesterday through the Speaker of ...
Many weep for Mwaiposa as Kikwete expresses 'deep loss'Daily News

all 4

 

10 years ago

Daily News

Many mourn Mwaiposa as JK expresses deep loss


Many mourn Mwaiposa as JK expresses deep loss
Daily News
IT was sad day indeed yesterday as MPs and other mourners gathered at the Bunge Grounds here to bid farewell to their colleague, friend and sister, the late Eugen Mwaiposa, who until her death here on Monday night was lawmaker for Ukonga. Dressed in ...

 

10 years ago

GPL

MBUNGE WA UKONGA, EUGENE MWAIPOSA AFARIKI DUNIA

Eugene Mwaiposa enzi za uhai wake. MBUNGE wa Jimbo la Ukonga, Eugene Mwaiposa (CCM) amefariki dunia akiwa nyumbani kwake mkoani Dodoma leo baada ya kusumbuliwa na shinikizo la damu kwa muda mrefu. Taarifa iliyotolewa na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kwamba marehemu alikuwa na tatizo la shinikizo la damu kwa muda mrefu na amefariki akiwa nyumbani kwake Dodoma. Ameongeza kuwa nyumbani kwa marehemu ni...

 

10 years ago

Daily News

Many weep for Mwaiposa as Kikwete expresses 'deep loss'


Many weep for Mwaiposa as Kikwete expresses 'deep loss'
Daily News
IT was sad day indeed as MPs and other mourners gathered at the Bunge Grounds here to bid farewell to their colleague, friend and sister, the late Eugen Mwaiposa, who until her death here on Monday night was lawmaker for Ukonga. Dressed in black dress ...

 

10 years ago

Habarileo

Vilio vyatawala bungeni kifo cha Mwaiposa

Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Ukonga, Eugen Mwaiposa ukiwasili kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma kwa ajili ya kuagwa jana. (Picha na Mohamed Mambo).WABUNGE jana walikuwa na wakati mgumu kuzuia machozi kutiririka katika nyuso zao wakati jeneza lililobeba mwili wa Mbunge wa Jimbo la Ukonga jijini Dar es Salaam, Eugen Mwaiposa lilipokuwa likiingia katika viwanja vya Bunge kwa ajili ya mazishi.

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZ......: Mbunge wa Ukonga, Mh. Eugene Mwaiposa afariki dunia

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIABUNGE LA TANZANIA 
 TANZIA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anasikitika kutangaza kifo cha Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Dar es Salaam, Mhe. EUGEN ELISHIRINGA  MWAIPOSA  kilichotokea usiku wa kuamkia tarehe 2 June 2015 nyumbani kwake Dodoma ambako amekuwepo kushiriki Mkutano wa Bunge la Bajeti.
Mwili wa Marehemu utaagwa kesho tarehe 3 Juni 2015 kuanzia saa 4 asubuhi katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma, na baadaye mwili kupelekwa nyumbani kwake...

 

10 years ago

Dewji Blog

Shughuli ya kuaga mwili wa Mhe. Eugen Mwaiposa aliyekuwa Mbunge wa Ukonga

6

Mwili wa marehemu  Mhe. Eugen Mwaiposa aliyekuwa mbunge wa Ukonga ukiwasili kwenye viwanja vya bunge leo mjini Dodoma kwa ajili ya kuagwa.

12

Wabunge Mhe. Anna Abdalla (kushoto) na Mhe. Ester Bulaya wakiaga mwili wa  marehemu Mhe. Eugen Mwaiposa aliyekuwa mbunge wa Ukonga kwenye viwanja vya bunge leo mjini Dodoma.

4

Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge Wanawake Mhe. Anna Abdallah akimfariji mume wa marehemu Mhe. Eugen Mwaiposa mbunge wa Ukonga aliyefariki usiku wa kuamkia Juni 2 nyumbani kwake...

 

10 years ago

Michuzi

BUNGE LAAHIRISHWA KUFUATIA KIFO CHA MBUNGE WA UKONGA EUGEN MWAIPOSA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge Mhe. Jenista Mhagama (mwenye nguo nyekundu) akimfariji Mwenyekiti wa Bunge Bi. Lediana Mng’ong’o mara baada ya bunge kuahirishwa kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Ukonga Bi. Eugen Mwaiposa. Kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora Bi. Mary Nagu na kushoto ni wabunge James Mbatia na Goodluck Ole Medeye.Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Anjela Kairuki (kushoto) akitoka nje ya ukumbi wa bunge akiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani