Wabunge wamuaga Mwaiposa
NA ARODIA PETER, DODOMA
VILIO na simanzi jana vilitawala katika viwanja vya Bunge mjini hapa wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Ukonga, Eugen Mwaiposa (CCM).
Mwaiposa (55) alifariki dunia juzi mjini hapa akiwa usingizini nyumbani kwake eneo la Chadulu na chanzo cha kifo hicho kimeelezwa kuwa ni shinikizo la damu.
Shughuli za kuaga mwili huo ziliongozwa na Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai pamoja na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Waziri Mkuu za zamani, Edward Lowassa, Katibu Mkuu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
AllAfrica.Com03 Jun
Tears As MP Eugen Mwaiposa Dies
AllAfrica.com
Dodoma — SHOCK and silence dominated the National Assembly on Tuesday as Deputy Speaker Job Ndugai announced the death of Ukonga Member of Parliament Ms Eugen Mwaiposa, which occurred at her Chadulu residence in this municipality.
10 years ago
IPPmedia04 Jun
JK sends condolences to Mwaiposa family
IPPmedia
IPPmedia
President Jakaya Kikwete has sent condolences to the family of Ukonga Member of Parliament Eugen Mwaiposa and the people of Ukonga constituency that she represented so diligently. The condolence message was sent yesterday through the Speaker of ...
Many weep for Mwaiposa as Kikwete expresses 'deep loss'Daily News
all 4
10 years ago
Daily News04 Jun
Many mourn Mwaiposa as JK expresses deep loss
Daily News
IT was sad day indeed yesterday as MPs and other mourners gathered at the Bunge Grounds here to bid farewell to their colleague, friend and sister, the late Eugen Mwaiposa, who until her death here on Monday night was lawmaker for Ukonga. Dressed in ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70uEH2J4Zb3OPOrIs1ov5ED7STaDrOYdZPqJ*Z0TubmsPbWWW4c*WRwxF7qcalEJmxGNV7GsVaXBFVf8wvoZRlOc/BREAKING.gif)
MBUNGE WA UKONGA, EUGENE MWAIPOSA AFARIKI DUNIA
10 years ago
Daily News04 Jun
Many weep for Mwaiposa as Kikwete expresses 'deep loss'
Daily News
IT was sad day indeed as MPs and other mourners gathered at the Bunge Grounds here to bid farewell to their colleague, friend and sister, the late Eugen Mwaiposa, who until her death here on Monday night was lawmaker for Ukonga. Dressed in black dress ...
10 years ago
Habarileo04 Jun
Vilio vyatawala bungeni kifo cha Mwaiposa
WABUNGE jana walikuwa na wakati mgumu kuzuia machozi kutiririka katika nyuso zao wakati jeneza lililobeba mwili wa Mbunge wa Jimbo la Ukonga jijini Dar es Salaam, Eugen Mwaiposa lilipokuwa likiingia katika viwanja vya Bunge kwa ajili ya mazishi.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mjCUb-qEQpI/VW2inlnF2OI/AAAAAAAHbOk/Sj-gH18sfCc/s72-c/20150602051217.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ......: Mbunge wa Ukonga, Mh. Eugene Mwaiposa afariki dunia
![](http://3.bp.blogspot.com/-mjCUb-qEQpI/VW2inlnF2OI/AAAAAAAHbOk/Sj-gH18sfCc/s640/20150602051217.jpg)
TANZIA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anasikitika kutangaza kifo cha Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Dar es Salaam, Mhe. EUGEN ELISHIRINGA MWAIPOSA kilichotokea usiku wa kuamkia tarehe 2 June 2015 nyumbani kwake Dodoma ambako amekuwepo kushiriki Mkutano wa Bunge la Bajeti.
Mwili wa Marehemu utaagwa kesho tarehe 3 Juni 2015 kuanzia saa 4 asubuhi katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma, na baadaye mwili kupelekwa nyumbani kwake...
10 years ago
Dewji Blog03 Jun
Shughuli ya kuaga mwili wa Mhe. Eugen Mwaiposa aliyekuwa Mbunge wa Ukonga
Mwili wa marehemu Mhe. Eugen Mwaiposa aliyekuwa mbunge wa Ukonga ukiwasili kwenye viwanja vya bunge leo mjini Dodoma kwa ajili ya kuagwa.
Wabunge Mhe. Anna Abdalla (kushoto) na Mhe. Ester Bulaya wakiaga mwili wa marehemu Mhe. Eugen Mwaiposa aliyekuwa mbunge wa Ukonga kwenye viwanja vya bunge leo mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge Wanawake Mhe. Anna Abdallah akimfariji mume wa marehemu Mhe. Eugen Mwaiposa mbunge wa Ukonga aliyefariki usiku wa kuamkia Juni 2 nyumbani kwake...
10 years ago
MichuziBUNGE LAAHIRISHWA KUFUATIA KIFO CHA MBUNGE WA UKONGA EUGEN MWAIPOSA