Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachezaji 10 wachaguliwa tuzo za BBC

Wachezaji kumi wamechaguliwa katika kugombea tuzo ya Mwanasoka bora wa BBC Sport Personality kwa mwaka 2014.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

SPORT NEWS: Haya ndiyo majina matano ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora Afrika ya BBC 2015

Wachezaji wanaoeania tuzo hiyo

Na Rabi Hume

Shirika la Utangazaji la Wingereza limetangaza majina matano (5) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka 2015.

Katika orodha hiyo pia yupo mchezaji aliyetwa tuzo hiyo msimu uliopita, Yacine Brahimi anayekipiga katika katika klabu ya Porto inayoshiriki ligi kuu ya Ureno na timu ya Taifa ya Algeria.

Majina kamili ya wachezaji hao;

1. Pierre – Emerick Aubameyang   (Gabon, Borussia Dortmund)

2. Andre Ayew   (Ghana, Swansea)

3. Sadio Mane    (Senegal,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Tuzo za BBC

Tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka inayoandaliwa na BBC, itawekwa hadharani hii leo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Adele atawala tuzo za BBC

Nyota wa muziki wa Pop Adele ametawala tuzo za pili za BBC baada ya kushinda tuzo ya msanii bora Uingereza na maonyesho bora ya moja kwa moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Cristiano Ronaldo atwaa tuzo ya BBC.

Cristiano Ronaldo ametwaa tuzo ya mwanamichezo bora wa mwaka wa shirika la utangazaji la BBC.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tuzo la BBC la mchezaji bora Afrika

Siku chache kabla ya kutajwa majina ya wachezaji watakaowania tuzo la BBC la Mchezaji bora Afrika katika kandanda BBC inawataja wachezaji wanaoibuka

 

10 years ago

BBCSwahili

Lewis Hamilton kinara tuzo za BBC

Lewis Hamiliton dereva wa timu ya Mercedes, ameibuka kidedea kwa kutwaa tuzo ya BBC ya mwanamichezo bora.

 

10 years ago

BBCSwahili

BBC yazindua tuzo ya Komla Dumor

Shirika la habari la BBC linazindua tuzo kwa heshima ya aliyekuwa mtangazaji wake Komla Dumor, mwaka mmoja baada ya kifo chake akiwa na umri wa miaka 41.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tuzo ya BBC ya mchezaji bora wa Afrika 2014

Tuzo ya BBC ya mchezaji bora wa Afrika mwaka wa 2014 imetangazwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Tuzo ya BBC:Heko kwa Asisat Oshoala

Mshambuliaji wa Nigeria na timu ya Wanawake ya Liverpool, Asisat Oshoala ni mshindi wa tuzo ya BBC ya mwanasoka bora wa mwaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani