Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Adele atawala tuzo za BBC

Nyota wa muziki wa Pop Adele ametawala tuzo za pili za BBC baada ya kushinda tuzo ya msanii bora Uingereza na maonyesho bora ya moja kwa moja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

ADELE: STAA ALIYEZOA TUZO, ASIYEISHI KISTAA

Kwa jina lake kamili anajulikana kama Adele Laurie Blue Adkins. Ni Muingereza ambaye kwa kipindi kirefu cha nyuma alitamani kuwa staa mkubwa, alipambana na kutoa nyimbo kali kama First Love (2008), Make You Feel My Love (2008) na nyinginezo nyingi. Hizo zote, hazikuweza kumtambulisha katika ulimwengu wa muziki mpaka pale alipotoa singo kali iliyobeba jina la Someone Like You ambayo ilimfanya kutambulika zaidi duniani na watu...

 

9 years ago

BBCSwahili

Tuzo za BBC

Tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka inayoandaliwa na BBC, itawekwa hadharani hii leo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachezaji 10 wachaguliwa tuzo za BBC

Wachezaji kumi wamechaguliwa katika kugombea tuzo ya Mwanasoka bora wa BBC Sport Personality kwa mwaka 2014.

 

10 years ago

BBCSwahili

Lewis Hamilton kinara tuzo za BBC

Lewis Hamiliton dereva wa timu ya Mercedes, ameibuka kidedea kwa kutwaa tuzo ya BBC ya mwanamichezo bora.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tuzo la BBC la mchezaji bora Afrika

Siku chache kabla ya kutajwa majina ya wachezaji watakaowania tuzo la BBC la Mchezaji bora Afrika katika kandanda BBC inawataja wachezaji wanaoibuka

 

10 years ago

BBCSwahili

Cristiano Ronaldo atwaa tuzo ya BBC.

Cristiano Ronaldo ametwaa tuzo ya mwanamichezo bora wa mwaka wa shirika la utangazaji la BBC.

 

10 years ago

BBCSwahili

BBC yazindua tuzo ya Komla Dumor

Shirika la habari la BBC linazindua tuzo kwa heshima ya aliyekuwa mtangazaji wake Komla Dumor, mwaka mmoja baada ya kifo chake akiwa na umri wa miaka 41.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tuzo ya BBC ya mchezaji bora wa Afrika 2014

Tuzo ya BBC ya mchezaji bora wa Afrika mwaka wa 2014 imetangazwa

 

9 years ago

Mtanzania

Andy Murray atwaa tuzo ya tenisi ya BBC

Andy MurrayBELFAST,IRELAND

NYOTA wa mchezo wa tenisi, Andy Murray, ameibuka kuwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa tenisi wa BBC baada ya kuwazidi wapinzani wake kwa kura nyingi.

Tuzo hizo ambazo zilifanyika huko Ireland ya Kaskazini, Murray alifanikiwa kushinda kwa idadi ya kura 361,446, sawa na asilimia 35 dhidi ya Kelvin Sinfield ambaye alipata kura 278,353, sawa na asilimia 28 na Ennis Hill akipata kura 78,898, sawa na asilimia 8.

Hii ni mara ya pili kwa Murry kuchukua tuzo hiyo, na mwaka huu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani