Andy Murray atwaa tuzo ya tenisi ya BBC
BELFAST,IRELAND
NYOTA wa mchezo wa tenisi, Andy Murray, ameibuka kuwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa tenisi wa BBC baada ya kuwazidi wapinzani wake kwa kura nyingi.
Tuzo hizo ambazo zilifanyika huko Ireland ya Kaskazini, Murray alifanikiwa kushinda kwa idadi ya kura 361,446, sawa na asilimia 35 dhidi ya Kelvin Sinfield ambaye alipata kura 278,353, sawa na asilimia 28 na Ennis Hill akipata kura 78,898, sawa na asilimia 8.
Hii ni mara ya pili kwa Murry kuchukua tuzo hiyo, na mwaka huu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili17 Aug
Andy Murray atwaa kikombe
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
Andy Murray mshindi wa BBC tennis
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Cristiano Ronaldo atwaa tuzo ya BBC.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEVLOMU5TIZzSOxVjuZT7IovpX4KiY*uLEdxS-zD6BTVdrcg1yROp2nYngIGpNVe-Tfjz3I*fgy*dmE-SC91fsAq/NovakDjokovic.jpg)
ANDY MURRAY AONDOLEWA US OPEN
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Andy Murray nje US Open
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Andy Murray ambwaga Grigor Dimitrov
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Andy Murray atinga robo fainali
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Loic Courteau kujiunga na Andy Murray?
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Andy Murray azidi kufanya vyema