Andy Murray mshindi wa BBC tennis
Andy Murray ameibuka kuwa mshindi katika kura za kusaka mchezaji bora wa Tennis katika shindano lililoandaliwa na BBC.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Andy Murray atwaa tuzo ya tenisi ya BBC
BELFAST,IRELAND
NYOTA wa mchezo wa tenisi, Andy Murray, ameibuka kuwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa tenisi wa BBC baada ya kuwazidi wapinzani wake kwa kura nyingi.
Tuzo hizo ambazo zilifanyika huko Ireland ya Kaskazini, Murray alifanikiwa kushinda kwa idadi ya kura 361,446, sawa na asilimia 35 dhidi ya Kelvin Sinfield ambaye alipata kura 278,353, sawa na asilimia 28 na Ennis Hill akipata kura 78,898, sawa na asilimia 8.
Hii ni mara ya pili kwa Murry kuchukua tuzo hiyo, na mwaka huu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEVLOMU5TIZzSOxVjuZT7IovpX4KiY*uLEdxS-zD6BTVdrcg1yROp2nYngIGpNVe-Tfjz3I*fgy*dmE-SC91fsAq/NovakDjokovic.jpg)
ANDY MURRAY AONDOLEWA US OPEN
9 years ago
BBCSwahili17 Aug
Andy Murray atwaa kikombe
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Andy Murray nje US Open
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Andy Murray ambwaga Grigor Dimitrov
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Loic Courteau kujiunga na Andy Murray?
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
Andy Murray atinga nane bora
10 years ago
BBCSwahili28 May
Andy Murray kumvaa Joao Sousa,
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Andy Murray atinga robo fainali