WAFANYABIASHARA WAASWA KUTOWAKIMBIA TRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-eD1G8NIYocQ/XuG6sVikr0I/AAAAAAAEHlY/2dkEmLVZ4UwOMTyDFNBX9Wv50FL12u7-wCLcBGAsYHQ/s72-c/catherine-2-768x530.jpg)
Afisa Msimamizi wa Kodi wa TRA Catherine Mwakilagala aki,fafanu;lia mfanyabiashara jambo
Afisam Msimamizi wa Kodi TRA Isihaka Sharif akihakiki cheti cha Namba ya Utambulisho wa Mlipakodi (TIN)
…………………………………………………………………………
Na Oliver Njunwa
Wafanyabiashara katika Mkoa wa Dar es salaam wameshauriwa kutowakimbia maofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wanapowatembelea katika maeneo yao ya biashara bali watoe ushirikiano ili waweze kufaidi elimu na ushauri unaotolewa na maofisa hao.
Ushauri...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima24 Nov
TRA Pwani waaswa kutoa elimu
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imetakiwa kutoa elimu kwa wafanyabiashara hasa inapotokea mabadiliko katika mfumo wa ulipaji kodi ili kuepusha migogoro ya mara kwa mara kati ya mamlaka hiyo na...
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Wafanyabiashara waionya TRA
JUMUIYA ya Wafanyabiashara nchini (JWT), imesema kuanzia leo endapo kutatokea mgongano baina ya wafanyabiashara na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhusu suala la mashine za EFDs wasije wakalaumiwa. Kauli hiyo...
11 years ago
Mwananchi04 Jan
TRA yafundwa wafanyabiashara
9 years ago
StarTV18 Nov
Wafanyabiashara waaswa kuziwekea mihuri bidhaa zao
Wizara ya Viwanda na Biashara imewataka wafanyabiashara kuanza utaratibu wa kuweka mihuri katika bidhaa zao ili kudhibiti utengenezwaji wa bidhaa bandia ambazo hazina viwango vya kitaifa na kimataifa.
Hatua hiyo itasaidia kuimarisha soko la nje kutokana na bidhaa na malighafi za Tanzania kuwa na ubora unaokidhi mahitaji ya masoko mbalimbali duniani.
Sekta ya viwanda na biashara inatajwa kuwa sekta ambayo itaiwezesha Tanzania kuimarika kiuchumi kwa maendeleo ya taifa, Wizara ya Viwanda...
11 years ago
Habarileo12 Feb
Wafanyabiashara waitunishia msuli TRA
MGOMO wa wafanyabiashara dhidi ya mashine za kielektroniki (EFDs) umetafsiriwa kuwa na ajenda ya siri kutokana na ushawishi unaodaiwa kufanyika nchi nzima huku katika maeneo mengine, ukiungwa mkono na wachuuzi wasiohusika na mashine hizo.
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Wafanyabiashara Tanga waivimbia TRA
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
TRA yawatoa hofu wafanyabiashara
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewatoa hofu wafanyabiashara kutumia mashine za EFD kwani kodi inayokatwa ni asilimia 30 ya faida baada ya kutoa gharama zote za uendeshaji na manunuzi. Kauli...
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
TRA kuwachukulia hatua wafanyabiashara
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Mwanza, imesema haitasita kuwachukulia hatua za kisheria wafanyabiashara wenye mitaji kuanzia sh. milioni 18 ambao hawatumii mashine za elektroniki (EFD’s) kama ilivyoagizwa na Serikali....
10 years ago
Mwananchi13 Jan
TRA Mbinga yawatuliza wafanyabiashara