WAFUMWA!
![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOR3vDzjywLZYeYa0RCi7NtmvRImQMW-4aBJ2fkmRzPOWVTQkB8gOUSN8w6IXOW2BoTYzZVxo*xIRKr0bSFJvBFK/ofm.jpg?width=650)
Stori: WAANDISHI WETU AMA kweli shetani anafanya hesabu zake za mwisho! Tangu mwaka 2014 uanze yapo yaliyotokea na kusisimua likiwemo la kunaswa kwa kinara wa utoaji mimba, Dk. Mambo, maeneo ya Kawe, Dar lakini hili la warembo kufumwa wakitoa dozi ya ngono linaweka historia nyingine, Ijumaa linaibumburua. Warembo wanaotoa huduma wakiwa wameficha sura zao baada ya kunaswa na OFM. Hebu sikia, saluni inayojihusisha na vitendo vya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Wasanii wafumwa wakivunja amri ya sita
WASANII wa filamu wa kundi la Hamadombe la jijini Dar es Salaam, Moses Mfaume ‘Zahilo’ na Rukia Shaban ‘Kendy’, mwanzoni mwa wiki hii walikula kichapo baada ya kufumaniwa wakifanya ngono...