Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKAZI WA JIJI LA DAR WAOMBA VODACOM EXPO IFANYIKE MARA MBILI KWA MWAKA‏

Kundi la TMK Dancers wakiburudisha wateja waliojitokeza katika gulio la Vodacom Expo lililofanyika katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam.Gulio hilo liliandaliwa na Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na wadau wa kampuni za mawasiliano liliwapatia wateja wake fursa ya kununua  bidhaa za mawasiliano kwa punguzo la bei kwa siku mbili mfululizo.…
...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WAKAZI WA JIJI LA DAR WAOMBA VODACOM EXPO IFANYIKE MARA MBILI KWA MWAKA.

Wakazi wa jiji la Dar es salaam na wateja wa Vodacom na watanzania kwa ujumla wamepata fursa ya kununua bidhaa mbalimbali kupitia gulio la”Vodacom Expo” lililofanyika kwa siku mbili mfululizo katika viwanja vya Leaders Club.  Sekta ya mawasiliano nchini inakua kwa kasi kila kukicha na kuchangia kwa kiasi kikubwa maendeleo ya nchi tofauti na zamani. Kampuni ya Vodacom kwa kulitambua hilo inafanya jitihada za kuhakikisha wateja wake wote wananufaika na teknologia ya kisasa ya huduma za...

 

10 years ago

Michuzi

WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA WAFURAHIA GULIO LA VODACOM EXPO

Afisa wa mauzo wa Duka la Simu la Bei nzuri la jijini Arusha,Martha Meena akitoa maelezo kwa wateja waliofika katika banda la duka hilo wakati wa gulio la punguzo kubwa la bei za simu za mkononi lijulikanalo kama Vodacom Expo linalofanyika katika uwanja wa Sheakh
Amri Abeid jijini Arusha.Kikundi cha sanaa kikionesha umahiri katika uchezaji wa sarakasi.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

GPL

WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WATIMKA NA BODABODA‏

Baadhi ya washindi wa Promosheni ya Timka na Bodaboda wa Mkoa wa Dar es Salaam, wakiwa wamesimama mbele ya pikipiki zao baada ya kukabidhiwa rasmi na Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Bw. Matina Nkurlu (hayupo pichani). Promosheni hiyo imeisha rasmi na imebadilisha maisha ya Watanzania zaidi ya mia saba (700).
Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Bw.Matina Nkurlu (kulia) akibadilishana mawazo na baadhi ya...

 

9 years ago

GPL

WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM KUENDELEA KUNUFAIKA NA HUDUMA ZA MAWASILIANO‏

Ofisa Mkuu wa Idara ya Mauzo na Usambazaji wa Vodacom Tanzania,Keith Tukei(katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa duka jipya la Vodacom Tanzania lililopo katika maduka ya Shoppers plaza Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.Wengine katika picha kushoto ni mteja wa kwanza kufika kupata huduma katika duka hilo Bw.Argylle Tsvakai na Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa kampuni hiyo, Rosalynn Mworia.… ...

 

10 years ago

GPL

VODACOM TANZANIA ILIVYOWARUSHA WATEJA WAKE KILA KONA YA JIJI LA DAR‏

Mfalme wa muziki wa taarabu na kiongozi wa kundi la Jahazi Modern taarabu  Mzee Yusuf  akitoa burudani kwa mashabiki wa muziki huo katika Tamasha la Wafalme lililofanyika Dar Live na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania hapo jana katika kusherehekea sikukuu ya Krismasi.…

 

10 years ago

GPL

WAKAZI WA KWAMTOGOLE-TANDALE JIJINI DAR WANUFAIKA NA KAPU LA PAMOJA NA VODACOM RAMADHANI‏

Mkuu wa Kitengo cha Vodacom Foundation, Renatus Rwehikiza (kushoto) akiongozana na baadhi ya washirika wenza kutoa msaada wa vyakula mbalimbali kwa baadhi ya wakazi wa Kwamtogole –Tandale jijini Dar es Salaam kwa ajilli ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Msaada huo ulitolewa na Taasisi ya Vodacom Foundation kupitia kampeni yake ya Pamoja na Vodacom kwa ushirikiano na Doris Mollel Foundation. Mkazi wa Kwamtogole...

 

11 years ago

GPL

WAKAZI WA JIJI LA DAR WAUNGANA NA MKUU WA MKOA, NA MEYA WA KINONDONI KUFANYA USAFI MTO MLALAKUWA‏

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki akiungana na Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda walipoungana na wananchi kufanya usafi katika mto wa Mlalakuwa jijini Dar es Salaam ili kuepukana na ugonjwa uliozuka wa Dengue ambao umekuwa tishio wakati akizindua zoezi la kufanya usafi jijini lililokwenda kwa jina la ‘MLALAKUWA MTO WETU, AFYA YETU’ lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita.…
...

 

10 years ago

GPL

VODACOM WASOGEZA HUDUMA KWA WAKAZI WA MJI WA KIHISTORIA WA BAGAMOYO‏

Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Ahmed Kipozi (katikati) akiagana na Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania Rosalynn Mworia (kulia) mara baada ya kuzindua duka jipya la kampuni hiyo lililopo barabara ya soko jipya Bagamoyo mjini mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Mkuu wa Idara ya Uuzaji na usambazaji bidhaa wa kampuni hiyo Upendo Richard.… ...

 

10 years ago

GPL

YAMOTO BAND KUFANYA LIVE SHOW KWA MARA YA KWANZA KWENYE JIJI LA LONDON‏

YAMOTO BAND COMFIRMED will performing all their major hits including NITAJUTA, NISEME, WAMBEA, NITAKUPWELEPWETA and many more @ The Royal Regency Banquet Hall, Sat 21 Feb 2015 From 8pm to 3:30am, there are limited VIP Tables available book yours now for ultimate VIP treatment or individual place your booking early to avoid disappointment. Table bookings please call 07405824696/ WhatsApp +447557304940…
...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani