Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walalamikia tozo la maji lisilorandana na kipato

DSC00773

Katibu mkuu  wa jumuiya ya umoja wa serikali aa mitaa (ALAT), Habrahani Shamumoyo, akitoa nasaha zake kwenye hafla ya uzinduzi wa ofisi ya Jumuiya ya watumia maji (MWITIJA) kata ya Mgori Singida vijijini, Ofisi hiyo imejengwa kwa ufadhili wa serikali ya Sweden kupitia shirika lake la misaada la SIDA wa zaidi ya shilingi 42 milioni.Wa kwanza kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone na Mkuu wa wilaya Singida, Amanzi.

DSC00774

Mkurungezi mtendaji wa ahalmashauri ya wilaya ya Singida, Hajat...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

BENKI YA EQUITY KUTOA MIKOPO YA MAJI KWA WANANCHI WA KIPATO CHA CHINI

Mkuu wa Mahusiano ya Biashara wa Benki ya Equity, Eric Shao (katikati) akimkabidhi hati za makubaliano Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Mkoa wa Dodoma, Mhandisi Kashilimu Mayunga, wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mzunguko wa Makole (Round About) na kuanzisha rasmi utaratibu wa kuwakopesha wananchi wanaohitaji huduma ya Maunganisho mapya ya Maji safi na Maji taka. Hafla hiyo ilifanyika katika mzunguko huo wa Makole jijini Dododma leo. Kulia ni Naibu Meya wa jiji...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio)

Headlines za soka la bongo mtu wangu wa nguvu zimenifikia, safari hii sio kuhusu Simba na Yanga bali ni kuhusu staa wa soka aliyewahi kuvitumikia vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Danny Mrwanda, staa huyo ameingia kwenye headlines baada ya kuingia mkataba wa kuitumikia klabu ya Maji Maji FC ya Songea na kupewa malipo yake […]

The post Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Mtanzania

Nyalandu: tozo kukokotolewa upya

NyalanduNa Arodia Peter, Dar es Salaam
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, atatoa tangazo kwenye Gazeti la Serikali (GN) juu ya tozo mpya za hoteli za kitalii, baada ya kufanya upya ukokotoaji kwa kutumia kanuni namba 50 ya mwaka 2002.
Kauli ya Waziri Nyalandu, imekuja siku moja baada ya maazimio ya Bunge kumtaka kutoa tangazo kwenye Gazeti la Serikali (GN) kuhusu kuanza kutoza tozo mpya ya hoteli za kitalii zilizopo kwenye hifadhi za taifa.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es...

 

11 years ago

Mwananchi

Tozo za mfuko wa fidia zakamilika

Dodoma. Serikali imekamilisha kanuni za tozo zitakazowabana waajiri wote wa sekta binafsi nchini kuchangia uendeshaji wa mfuko wa fidia kwa wafanyakazi.

 

10 years ago

Michuzi

Bodi ya ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) yatembelea Eneo la Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda


 Meneja Usimamizi, Uendeshaji na Mazingira toka Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) Bi.Modesta Mushi akiwaonesha wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) ramani ya maeneo yatakayoguswa na Ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Kidunda lenye ujazo wa Mita milioni 190, wakati wa Ziara ya Bodi hiyo katika eneo la Mradi Mkoani Morogoro.Mkuu wa Msafara wa Timu ya Ulipaji fidia kwa Wakazi walio katika Eneo la Mradi Mhandisi John...

 

10 years ago

GPL

BODI YA WAKURUGENZI YA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA DAR ES SALAAM (DAWASA) YATEMBELEA ENEO LA MRADI WA UJENZI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA

Meneja Usimamizi, Uendeshaji na Mazingira toka Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) Bi.Modesta Mushi akiwaonesha wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) ramani ya maeneo yatakayoguswa na Ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Kidunda lenye ujazo wa Mita milioni 190, wakati wa Ziara ya Bodi hiyo katika eneo la Mradi Mkoani Morogoro.… ...

 

9 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA WASAMBAZA MAJI NCHI (AWAC) CHAWAKUTANISHA WADAU MBALIMBALI WA MAJI ILI KUJADILI NAMNA YA KULINDA NA KUVITUNZA VYANZO VYA MAJI

  Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Luteni mstaafu Chiku Gallawa akisalimiana na viongozi wa Chama cha Wasambazaji maji(AWAC) pamoja na wadau mbalimbli wa maji mara baada ya kuwasili hotelini hapo kwa ajili ya ufunguzi wa kongamano.(Picha na John Banda wa Pamoja Blog)Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Luteni mstaafu Chiku Gallawa akizungumza jambo kwenye ufunguzi wakongamano la wadau wa maji lililoandaliwa na Chama cha wasambazaji wa maji (AWAC) na linalofanyika kwa siku tatu ili kujadili namna ya kupunguza...

 

9 years ago

Habarileo

Mgombea Chadema kufuta tozo hospitalini

MGOMBEA Ubunge Jimbo la Kibaha Vijijini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Editha Babeiya ameahidi atakapochaguliwa ataondoa gharama za kujifungua hospitalini.

 

10 years ago

Mwananchi

GHARAMA: ‘Tozo za huduma za simu hazizuiliki’

>Wakati Watanzania wakizidi ‘kutoboa’ mifuko yao kununua vifurushi vya kupiga simu na kutuma ujumbe wa mfupi, baada ya mabadiliko ya viwango vya huduma hizo, Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo imesema mabadiliko hayo hayazuiliki kutokana na changamoto za uwekezaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani