Nyalandu: tozo kukokotolewa upya
Na Arodia Peter, Dar es Salaam
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, atatoa tangazo kwenye Gazeti la Serikali (GN) juu ya tozo mpya za hoteli za kitalii, baada ya kufanya upya ukokotoaji kwa kutumia kanuni namba 50 ya mwaka 2002.
Kauli ya Waziri Nyalandu, imekuja siku moja baada ya maazimio ya Bunge kumtaka kutoa tangazo kwenye Gazeti la Serikali (GN) kuhusu kuanza kutoza tozo mpya ya hoteli za kitalii zilizopo kwenye hifadhi za taifa.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 May
Tozo za mfuko wa fidia zakamilika
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Wabunge wamkaba Waziri tozo za mafuta
10 years ago
Mwananchi20 Feb
GHARAMA: ‘Tozo za huduma za simu hazizuiliki’
10 years ago
Habarileo20 Nov
Sikika wapongeza kusitishwa tozo Muhimbili
SHIRIKA lisilo la Kiserikali la Sikika limepongeza Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kusitisha kutumika kwa viwango vipya vya gharama za matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Habarileo11 Sep
Mgombea Chadema kufuta tozo hospitalini
MGOMBEA Ubunge Jimbo la Kibaha Vijijini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Editha Babeiya ameahidi atakapochaguliwa ataondoa gharama za kujifungua hospitalini.
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Walalamikia tozo la maji lisilorandana na kipato
Katibu mkuu wa jumuiya ya umoja wa serikali aa mitaa (ALAT), Habrahani Shamumoyo, akitoa nasaha zake kwenye hafla ya uzinduzi wa ofisi ya Jumuiya ya watumia maji (MWITIJA) kata ya Mgori Singida vijijini, Ofisi hiyo imejengwa kwa ufadhili wa serikali ya Sweden kupitia shirika lake la misaada la SIDA wa zaidi ya shilingi 42 milioni.Wa kwanza kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone na Mkuu wa wilaya Singida, Amanzi.
Mkurungezi mtendaji wa ahalmashauri ya wilaya ya Singida, Hajat...
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Serikali ifute tozo hizi mpya Muhimbili
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Serikali nayo kuongeza tozo Uwanja wa Taifa
10 years ago
Mwananchi16 Jun
MAONI : Tozo mafuta ya taa itawanyonga wanyonge