Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge wamkaba Waziri tozo za mafuta

Kati ya mambo ambayo Waziri wa Fedha, Saada Mkuya atalazimika kufanya kazi ya ziada kutolea maelezo ni tozo za mafuta, maji na umeme.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Tozo mafuta ya taa itawanyonga wanyonge

Hatua ya Serikali ya kupandisha maradufu tozo ya mafuta ya taa katika Bajeti ya 2015/16, imewaacha njia panda mamilioni ya wananchi masikini, hasa waishio vijijini. Ni hatua ambayo inaonekana bayana kufifisha matumaini yao na kuwafanya wajione kama raia wa daraja la pili, kujiona wako nje kabisa ya vipaumbele vya Serikali katika mipango yake ya maendeleo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kigamboni wamkaba koo Waziri Tibaijuka

Viongozi wa Mji wa Kigamboni wamemtaka Waziri wa Ardhi na Maendeleo na Makazi, Profesa Anna Tibaijuka kuharakisha malipo ya fidia kwa wakazi watakaopisha ujenzi wa mji mpya na kuacha mikutano ya hadhara isiyokuwa na tija.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bodaboda wamkaba RC Dar

KAMATI Maalumu ya waendesha pikipiki za miguu miwili (bodaboda) Mkoa wa Dar es Salaam, wamemtaka mkuu wa Mkoa, Saidi Meck Sadiki kusitisha agizo la vyombo hivyo kutoingia katikati ya jiji....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanahabari wamkaba Sitta

CHAMA Waandishi wa Habari wa Kupiga Vita Matumizi ya Dawa za Kulevya na Uhalifu Tanzania (OJADACT), kimemtaka Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katika, Samuel Sitta kufuta mara moja kauli yake...

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Nigeria kuwa waziri wa mafuta

Rais mpya wa Nigeria Jenerali Muhammadu Buhari atahudumu pia kama waziri wa mafuta.

 

11 years ago

Mwananchi

Watendaji wakuu nchini wamkaba koo Muhongo

Mwenyekiti wa Shirikisho la Watendaji Wakuu wa Makampuni nchini (CEO Roundtable -Tanzania), Ali Mufuruki amesema Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameonyesha kuwa hastahili kuongoza sekta muhimu kama hiyo kutokana na maneno yake ya kuwadhalilisha wazawa.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI KAIRUKI-CHANGAMKIENI FURSA ZA UWEKEZAJI WA MAFUTA YA ALIZETI

Na Mwandishi wetuWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji nchini, Angellah Kairuki ametoa rai kwa Watanzania kuwekeza katika sekta ya mafuta ya kula kwa kuzingatia uhitaji na soko lililopo ndani na nje ya nchi.
Ametoa rai hiyo Mei 28, 2020 alipotembelea na kukagua kiwanda cha kuzalisha mafuta ya kula cha SUNSHINE kinachozalisha mafuta yanayotengenezwa kwa kutumia malighafi ya alizeti yanayoitwa Sunbelt kilichopo katika eneo la Zuzu Jijini Dodoma.
Akiwa katika...

 

9 years ago

Bongo5

Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari kujiteua mwenyewe kuwa waziri wa mafuta

Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari Jumatano hii alitarajiwa kulitangaza baraza la mawaziri na kwamba angejiteua mwenyewe kuwa waziri wa mafuta. Jumanne hii, Buhari alisema jijini New York, anakohudhuria mkutano wa mkuu wa umoja wa mataifa kuwa atajiteua mwenyewe kuongoza wizara hiyo nyeti. Lengo lake ni kuondoa ufisadi na rushwa iliyokithiri kwenye sekta hiyo. Rais huyo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani