Wanahabari wamkaba Sitta
CHAMA Waandishi wa Habari wa Kupiga Vita Matumizi ya Dawa za Kulevya na Uhalifu Tanzania (OJADACT), kimemtaka Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katika, Samuel Sitta kufuta mara moja kauli yake...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV05 May
Kuelekea uchaguzi mkuu, Sitta atoa changamoto wanahabari.
Na Lilian Mtono,
Dar es Salaam.
Waziri wa uchukuzi Samwel Sitta amewataka waandishi wa habari kuwa na ujasiri wa kuhoji mambo mazito na magumu wanayoandika hususan ya kisiasa, yanayomgusa mtu binafsi, ili kulinda dhamana yao kwa taifa na watu wake.
Amesema, haitakuwa sawa kuendelea kuandika habari zinazoelemea upande mmoja dhidi ya mtu mwingine, kwa kuwa nyingi zimekuwa na athari kubwa kuanzia ngazi ya familia hadi taifa.
Amesema inasikitisha kuona waandishi wa habari wakiandika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pt0rwz7BXb0/VRFlPV86sNI/AAAAAAAHM5g/y826K-wOCyQ/s72-c/DSC09035.jpg)
WAZIRI SITTA AZUNGUMZA NA WANAHABARI JUU YA UELEWA WA TAARIFA ZA HALI YA HEWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-pt0rwz7BXb0/VRFlPV86sNI/AAAAAAAHM5g/y826K-wOCyQ/s1600/DSC09035.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-e_AwphtVF2w/VRFlPGzbSZI/AAAAAAAHM5c/qORlneXHA0k/s1600/DSC09051.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
Bodaboda wamkaba RC Dar
KAMATI Maalumu ya waendesha pikipiki za miguu miwili (bodaboda) Mkoa wa Dar es Salaam, wamemtaka mkuu wa Mkoa, Saidi Meck Sadiki kusitisha agizo la vyombo hivyo kutoingia katikati ya jiji....
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Wabunge wamkaba Waziri tozo za mafuta
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Kigamboni wamkaba koo Waziri Tibaijuka
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Watendaji wakuu nchini wamkaba koo Muhongo