MAONI : Tozo mafuta ya taa itawanyonga wanyonge
Hatua ya Serikali ya kupandisha maradufu tozo ya mafuta ya taa katika Bajeti ya 2015/16, imewaacha njia panda mamilioni ya wananchi masikini, hasa waishio vijijini. Ni hatua ambayo inaonekana bayana kufifisha matumaini yao na kuwafanya wajione kama raia wa daraja la pili, kujiona wako nje kabisa ya vipaumbele vya Serikali katika mipango yake ya maendeleo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Wabunge wamkaba Waziri tozo za mafuta
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m3kRA-aqkq9sgK62kkAuMFrfXtYHYyDxgom9WLO7BdILi1-dr68mSfekisDdvbmKLOetMmNQ6fK0sqPxg2ZxkOi1oyE*DF*l/motoo.jpg)
AJILIPUA KWA MAFUTA YA TAA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Z0h0pqw5kCM/Xp2P0NvasWI/AAAAAAALnhM/asDGLaPP6JwnaOpX3n0ZbCSK9fPMhzPUgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_5479.jpg)
BODI YA USHAURI TAA YAIANGUKIA SERIKALI ISAIDIE TAA KATIKA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA COVID 19
Na Bahati Mollel,TAA
BODI ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imeiangukia serikali iisaidie TAA kuigharama huduma mbalimbali za uendeshaji kwenye viwanja vya ndege kutokana na kuathiriwa kwa asilimia 100 na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID19), inayoambukizwa na virusi vya corona.
Mwenyekiti wa MAB, Dkt. Masatu Chiguma, ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kikao cha dharura cha Bodi hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Watu Mashuhuri...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z0h0pqw5kCM/Xp2P0NvasWI/AAAAAAALnhM/asDGLaPP6JwnaOpX3n0ZbCSK9fPMhzPUgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_5479.jpg)
BODI YA USHAURI TAA YAIANGUKIA SERIKALI ISAIDIE TAA KATIKA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA COVID 19
Na Bahati Mollel,TAA
BODI ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imeiangukia serikali iisaidie TAA kuigharama huduma mbalimbali za uendeshaji kwenye viwanja vya ndege kutokana na kuathiriwa kwa asilimia 100 na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID19), inayoambukizwa na virusi vya corona.
Mwenyekiti wa MAB, Dkt. Masatu Chiguma, ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kikao cha dharura cha Bodi hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Watu...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2z3HhgT0EWg/U5iY62mT9OI/AAAAAAAFp0U/LZLD2Rg4aZA/s72-c/unnamed+(77).jpg)
WADAU WA SHUGHULI ZA UZALISHAJI NA UTAFUTAJI GESI,MAFUTA WATOA MAONI RASIMU YA SERA YA PETROLI
![](http://1.bp.blogspot.com/-2z3HhgT0EWg/U5iY62mT9OI/AAAAAAAFp0U/LZLD2Rg4aZA/s1600/unnamed+(77).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hrGBCz-EHV8/U5iY9Q-hfsI/AAAAAAAFp0c/4QLXH1nTkwE/s1600/unnamed+(76).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J8nPCmTttsU/XrpavNnuVVI/AAAAAAALp3A/Tkm_GdJVX8snL2--OHwlxbDJYszmi0DegCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B3.jpg)
EWURA yapewa siku 10 kupitia bei za mafuta katika maghala ya kuhifadhi na kupokea mafuta.
![](https://1.bp.blogspot.com/-J8nPCmTttsU/XrpavNnuVVI/AAAAAAALp3A/Tkm_GdJVX8snL2--OHwlxbDJYszmi0DegCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B3.jpg)
Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani (wa pili kulia)akipita kukagua mazingira ya ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP, alipofanya ziara katika eneo hilo mkoani Tanga, Mei 10, 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-KizeE0XqwiY/XrpavnCZSHI/AAAAAAALp3E/OlsgDnTG8EMM_llMxefz8sbypBsgsCgIACLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B4.jpg)
Shehena ya Mafuta ikiwa imepakiwa katika matangi tayari kwa kusafirishwa,hapa ni katika ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP mkoani Tanga, Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani, alifanya ziara katika eneo hilo, Mei 10,2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rZ963RWU-wc/Xrpav5vjNDI/AAAAAAALp3I/cn3LiMHp6nEX5Ttle59mKCBn02Mo6fiGQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B5.jpg)
Baadhi ya mapipa makubwa ya kuhifadhia mafuta...
10 years ago
VijimamboMamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), imepunguza bei za mafuta kote nchini
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Wasomi watakiwa kutetea wanyonge
WASOMI nchini wametakiwa kuwa mstari wa mbele kutetea maslahi ya wanyonge badala ya kujiingiza katika kundi la kutetea mafisadi na wezi wa mali za umma. Ushauri huo ulitolewa mjini hapa...
11 years ago
Mwananchi25 May
Tozo za mfuko wa fidia zakamilika