Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasomi watakiwa kutetea wanyonge

WASOMI nchini wametakiwa kuwa mstari wa mbele kutetea maslahi ya wanyonge badala ya kujiingiza katika kundi la kutetea mafisadi na wezi wa mali za umma. Ushauri huo ulitolewa mjini hapa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MIAKA 20 YA KIPANYA: Itaishi milele kutetea wanyonge (1)

Miongoni mwa Watanzania wengi, kuna vijana wachache walioamua kutumia maarifa na vipaji vyao ili kujiletea maendeleo na kuondokana na tatizo la kukosa ajira, wakijiajiri kwa kazi mbalimbali kisanaa kwa mikono yao.

 

10 years ago

Mwananchi

MIAKA 20 KATUNI YA KIPANYA: Itaishi milele kutetea wanyonge (2)

Baada ya kuanzishwa kwa gazeti huru la Majira mnamo mwaka 1994,Kipanya alifanikiwa kupata nafasi ya kuanzisha safu ya katuni katika gazeti hilo na kutoa mchora wake wa kwanza.

 

10 years ago

Habarileo

Wasomi watakiwa kuwa makini

VIJANA wasomi nchini wametakiwa kutokuwa chambo na kutumiwa na baadhi ya wanasiasa wenye uchu wa kutaka madaraka ya nchi bali wawaepuke hususani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanashangiliwa kwa kuua elimu ya wanyonge

Nguvu kubwa inayotumika kuigawa Tanzania na kuleta matabaka makubwa ya kiuchumi, kifikra na kiutamaduni ni kuua elimu ya Watanzania wengi maskini (wanyonge), ili wakose nguvu za kushindana katika ulimwengu wa ubunifu, uvumbuzi, ajira na biashara.

 

10 years ago

Habarileo

Kinana ataka mahakama zitetee wanyonge

IMEELEZWA kuwa mahakama zimegeuzwa kuwa vichaka vya kuwakandamiza wanyonge badala ya kutoa haki. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana kwenye shamba la mahindi la Kwamnyefu baada ya kupewa malalamiko ya wananchi waliokosa maeneo ya kulima huku wawekezaji wanaomiliki mashamba ya mkonge wakishindwa kuyaendeleza.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Salum Mwalimu: Chadema kimbilio la wanyonge

SALUM Mwalimu, si jina geni kwa Watanzania wengi wanaofuatilia matukio yanayotokea hapa nchini na nje ya nchi mara kwa mara. Jina hili ni la mwanahabari aliyejizolea umaarufu mkubwa akiwa katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkosamali ataka Pasaka isaidie wanyonge

MBUNGE wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCR-Mageuzi), amesema Tamasha la Pasaka ni moja ya matukio muhimu yanayoweza kuwajenga wananchi katika kusherehekea ufufuko wa Yesu Kristo na ukombozi wa mwanadamu. Mkosamali alisema...

 

10 years ago

Mwananchi

Msijione wanyonge, Pengo awaambia watawa

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amelitahadhalisha kanisa hilo kwamba ni hatari endapo mapadri watawa watashindwa kutekeleza wajibu wao kwa kigezo kwamba wenzao wa jimbo wanajitosheleza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Papa Francis atetea wanyonge wa vita

Papa Francis atoa hotuba yake ya kwanza ya Krismasi kwa kuwaomba wanaopigana wakumbuke wanyonge

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani