Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkosamali ataka Pasaka isaidie wanyonge

MBUNGE wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCR-Mageuzi), amesema Tamasha la Pasaka ni moja ya matukio muhimu yanayoweza kuwajenga wananchi katika kusherehekea ufufuko wa Yesu Kristo na ukombozi wa mwanadamu. Mkosamali alisema...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kinana ataka mahakama zitetee wanyonge

IMEELEZWA kuwa mahakama zimegeuzwa kuwa vichaka vya kuwakandamiza wanyonge badala ya kutoa haki. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana kwenye shamba la mahindi la Kwamnyefu baada ya kupewa malalamiko ya wananchi waliokosa maeneo ya kulima huku wawekezaji wanaomiliki mashamba ya mkonge wakishindwa kuyaendeleza.

 

10 years ago

GPL

MTOKO WA PASAKA WA GWT ULIVYOFANA SIKUKUU YA PASAKA

Waimbaji wa Glorious Worship Team (GWT) wakiwa stejini wakati wa kumsifu Mungu na kumwabudu. Glorious Worship Team wakizidi kumwabudu Mungu katika Ukumbi wa Victoria Petrol Station. Mpiga gitaa la sauti nzito (base) wa GWT, Emmanuel Materu akicharaza gitaa hilo. Pembeni yake ni…

 

11 years ago

Mwananchi

Jamii isaidie watoto-SA

Jamii na viongozi kwa kada mbalimbali nchini wametakiwa kujenga tabia ya kusaidia na kujitolea katika kazi za jamii hasa kwa watoto wenye mahitaji maalumu.

 

11 years ago

Michuzi

KAPOTIVE STAR SINGERS-BUKOBA KUFANYA TAMASHA LA PASAKA LINA'S CLUB, PASAKA PILI NI KATIKA MJI WA BIHARAMULO

Kikundi mahiri cha KAPOTIVE Star Singers- Bukoba,Wanayo furaha kuwatangazia kuwa kwa mapenzi ya Mungu, Tar. 20/04/2014 sikukuu ya Pasaka watakuwa na tamasha la Pasaka LINA’S CLUB -Bukoba, kuanzia saa 9 mchana hadi 2 usiku na kesho yake tar. 21/04/2014 Watakuwa katika mji wa Biharamulo. 
 Mratibu wa Tamasha hilo Bw. Andrew Kagya amesema kuwa Mwimbaji mgeni (Guest singer) atakuwa Flora Mbasha na kundi lake zima kutoka jijini Dar es Salaam na pia Kutakuwepo kwaya mbalimbali za RC, KKKT na...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Serikali isaidie teknolojia mpya’

Arusha. Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, wametakiwa kuziunga mkono teknolojia mpya zinazoibuliwa za nishati mbadala za umeme wa jua ili ziweze kuwafikia wananchi walio wengi hususan wa vijijini.

 

9 years ago

Habarileo

JK aaga UN, aomba isaidie kutekeleza SDGs

RAIS Jakaya Kikwete ameaga Umoja wa Mataifa (UN) na kuuomba uweke mikakati kabambe ya kusaidia mataifa duniani kufikia Malengo 17 ya Maendeleo Endelevu (SDGs). Amesema huko nyuma mataifa mengi yalishindwa kutekeleza Malengo ya Milenia (MDGs), kwa sababu hayakusaidiwa kikamilifu kufikia malengo hayo.

 

11 years ago

TheCitizen

Nothing personal, says Mkosamali

Constituent Assembly member Felix Mkosamali says there is nothing personal between him and NCCR-Mageuzi chairman James Mbatia.

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete aagiza UWT isaidie kuleta ushindi

MWENYEKITI wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM ), Jakaya Kikwete amewaagiza viongozi wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) kujipanga na kubuni mikakati itakayokiwezesha chama hicho kupata ushindi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM isaidie Takukuru kukamata wala rushwa

Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula yuko katika ziara ya kichama mkoani Dar es Salaam. Moja ya ajenda ya ziara hiyo ni kukemea rushwa ndani ya chama hicho tawala. Kwa msisitizo alitamka kuwa yeyote anayetafuta uongozi kwa kutumia fedha, kununua wanachama ili apigiwe kura au apitishwe, akiona jina lake halikutoka ajue limemezwa na kanuni na sheria za uchaguzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani