JK aaga UN, aomba isaidie kutekeleza SDGs
RAIS Jakaya Kikwete ameaga Umoja wa Mataifa (UN) na kuuomba uweke mikakati kabambe ya kusaidia mataifa duniani kufikia Malengo 17 ya Maendeleo Endelevu (SDGs). Amesema huko nyuma mataifa mengi yalishindwa kutekeleza Malengo ya Milenia (MDGs), kwa sababu hayakusaidiwa kikamilifu kufikia malengo hayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
Tanzania yajipanga kutekeleza Mpango mpya wa Maendeleo Endelevu (SDGs)
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akizungumza leo jijini Dar es salaam katika mkutano wa wadau wa takwimu uliondaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) wenye lengo la kujadili na kukubaliana jinsi ya kutekeleza mpango wa Maendeleo Endelevu (SDGs).
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dkt. Albina Chuwa akizungumza katika mkutano wa wadau wa takwimu uliondaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) wenye lengo la kujadili na kukubaliana jinsi ya kutekeleza mpango wa Maendeleo...
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Jamii isaidie watoto-SA
10 years ago
Mwananchi03 Feb
‘Serikali isaidie teknolojia mpya’
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Mkosamali ataka Pasaka isaidie wanyonge
MBUNGE wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCR-Mageuzi), amesema Tamasha la Pasaka ni moja ya matukio muhimu yanayoweza kuwajenga wananchi katika kusherehekea ufufuko wa Yesu Kristo na ukombozi wa mwanadamu. Mkosamali alisema...
10 years ago
Mwananchi23 Apr
CCM isaidie Takukuru kukamata wala rushwa
9 years ago
Habarileo08 Sep
Kikwete aagiza UWT isaidie kuleta ushindi
MWENYEKITI wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM ), Jakaya Kikwete amewaagiza viongozi wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) kujipanga na kubuni mikakati itakayokiwezesha chama hicho kupata ushindi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba.
11 years ago
Tanzania Daima26 May
TTCL: Jamii isaidie wenye shida nchini
WATU binafsi na taasisi mbalimbali nchini zimetakiwa kuendelea kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu, ili kuwaendeleza na hatimaye waje kuwa na mchango kwa taifa. Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu...
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Utafiti: Wananchi wanataka gesi isaidie afya, elimu
9 years ago
TheCitizen09 Oct
Scholars optimistic about SDGs