Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK aaga UN, aomba isaidie kutekeleza SDGs

RAIS Jakaya Kikwete ameaga Umoja wa Mataifa (UN) na kuuomba uweke mikakati kabambe ya kusaidia mataifa duniani kufikia Malengo 17 ya Maendeleo Endelevu (SDGs). Amesema huko nyuma mataifa mengi yalishindwa kutekeleza Malengo ya Milenia (MDGs), kwa sababu hayakusaidiwa kikamilifu kufikia malengo hayo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Tanzania yajipanga kutekeleza Mpango mpya wa Maendeleo Endelevu (SDGs)

SDGs 1

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akizungumza leo jijini Dar es salaam katika mkutano wa wadau wa takwimu uliondaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) wenye lengo la kujadili na kukubaliana jinsi ya kutekeleza mpango wa Maendeleo Endelevu (SDGs).

SDGs 2

Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dkt. Albina Chuwa akizungumza katika mkutano wa wadau wa takwimu uliondaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) wenye lengo la kujadili na kukubaliana jinsi ya kutekeleza mpango wa Maendeleo...

 

11 years ago

Mwananchi

Jamii isaidie watoto-SA

Jamii na viongozi kwa kada mbalimbali nchini wametakiwa kujenga tabia ya kusaidia na kujitolea katika kazi za jamii hasa kwa watoto wenye mahitaji maalumu.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Serikali isaidie teknolojia mpya’

Arusha. Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, wametakiwa kuziunga mkono teknolojia mpya zinazoibuliwa za nishati mbadala za umeme wa jua ili ziweze kuwafikia wananchi walio wengi hususan wa vijijini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkosamali ataka Pasaka isaidie wanyonge

MBUNGE wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCR-Mageuzi), amesema Tamasha la Pasaka ni moja ya matukio muhimu yanayoweza kuwajenga wananchi katika kusherehekea ufufuko wa Yesu Kristo na ukombozi wa mwanadamu. Mkosamali alisema...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM isaidie Takukuru kukamata wala rushwa

Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula yuko katika ziara ya kichama mkoani Dar es Salaam. Moja ya ajenda ya ziara hiyo ni kukemea rushwa ndani ya chama hicho tawala. Kwa msisitizo alitamka kuwa yeyote anayetafuta uongozi kwa kutumia fedha, kununua wanachama ili apigiwe kura au apitishwe, akiona jina lake halikutoka ajue limemezwa na kanuni na sheria za uchaguzi.

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete aagiza UWT isaidie kuleta ushindi

MWENYEKITI wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM ), Jakaya Kikwete amewaagiza viongozi wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) kujipanga na kubuni mikakati itakayokiwezesha chama hicho kupata ushindi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TTCL: Jamii isaidie wenye shida nchini

WATU binafsi na taasisi mbalimbali nchini zimetakiwa kuendelea kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu, ili kuwaendeleza na hatimaye waje kuwa na mchango kwa taifa. Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu...

 

9 years ago

Mwananchi

Utafiti: Wananchi wanataka gesi isaidie afya, elimu

Utafiti mpya umeonyesha kuwa asilimia 80 ya wananchi wanataka mapato yatakayopatikana kwenye mauzo ya gesi asilia yatumike kwa ajili ya kuboresha huduma za afya na elimu.

 

9 years ago

TheCitizen

Scholars optimistic about SDGs

African scholars have expressed  their optimism that the newly set post-millennium development goals can be achieved by developing countries.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani