‘Serikali isaidie teknolojia mpya’
Arusha. Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, wametakiwa kuziunga mkono teknolojia mpya zinazoibuliwa za nishati mbadala za umeme wa jua ili ziweze kuwafikia wananchi walio wengi hususan wa vijijini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z0h0pqw5kCM/Xp2P0NvasWI/AAAAAAALnhM/asDGLaPP6JwnaOpX3n0ZbCSK9fPMhzPUgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_5479.jpg)
BODI YA USHAURI TAA YAIANGUKIA SERIKALI ISAIDIE TAA KATIKA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA COVID 19
Na Bahati Mollel,TAA
BODI ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imeiangukia serikali iisaidie TAA kuigharama huduma mbalimbali za uendeshaji kwenye viwanja vya ndege kutokana na kuathiriwa kwa asilimia 100 na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID19), inayoambukizwa na virusi vya corona.
Mwenyekiti wa MAB, Dkt. Masatu Chiguma, ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kikao cha dharura cha Bodi hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Watu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Z0h0pqw5kCM/Xp2P0NvasWI/AAAAAAALnhM/asDGLaPP6JwnaOpX3n0ZbCSK9fPMhzPUgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_5479.jpg)
BODI YA USHAURI TAA YAIANGUKIA SERIKALI ISAIDIE TAA KATIKA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA COVID 19
Na Bahati Mollel,TAA
BODI ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imeiangukia serikali iisaidie TAA kuigharama huduma mbalimbali za uendeshaji kwenye viwanja vya ndege kutokana na kuathiriwa kwa asilimia 100 na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID19), inayoambukizwa na virusi vya corona.
Mwenyekiti wa MAB, Dkt. Masatu Chiguma, ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kikao cha dharura cha Bodi hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Watu Mashuhuri...
10 years ago
VijimamboUZINDUZI WA UTARATIBU MPYA WA KUSAJILI NA KUHAKIKI NAMBA ZA SIMU ZA MKONONI KWA TEKNOLOJIA MPYA YA KYC KUPITIA SMARTPHONE LEO JIJINI DAR.
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Wachina waleta teknolojia mpya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-03nYei4Dqf0/XvXfrVx6znI/AAAAAAALvgs/VbcLV4u9vYcQBId9Hv9FM7oO32Tk_cfTgCLcBGAsYHQ/s72-c/ce56e509-f63d-4b94-aabe-0df5f92ad50e.jpg)
TAASISI ZATAKIWA KUBUNI TEKNOLOJIA MPYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-03nYei4Dqf0/XvXfrVx6znI/AAAAAAALvgs/VbcLV4u9vYcQBId9Hv9FM7oO32Tk_cfTgCLcBGAsYHQ/s640/ce56e509-f63d-4b94-aabe-0df5f92ad50e.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/8ebaee4a-4a26-4205-9f49-225a657234c1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/d3e63701-da56-4458-b21f-e05d93670709.jpg)
10 years ago
Habarileo25 Apr
Teknolojia mpya 4G LTE yaingia Jijini
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali inashirikiana na sekta binafsi, ikiwa ni pamoja na kampuni za simu za mkononi kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama).
10 years ago
Habarileo19 Oct
Wakulima 2,379 wanufaika na teknolojia mpya
WAKULIMA 2,379 kutoka wilaya tano hapa nchini wamenufaika na elimu ya teknolojia mpya ya matumizi ya mbegu mpya za mahindi na mbaazi pamoja na kulima kwa kutumia kilimo mseto na kilimo hifadhi.
10 years ago
Habarileo30 Sep
Teknolojia mpya ujenzi wa ghorofa yaja
WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) una mpango wa kutumia teknolojia mpya ya kujenga nyumba ya ghorofa kwa siku moja lengo likiwa ni kuisaidia Serikali katika kupunguza uhitaji wa nyumba pamoja na kupunguza gharama za ujenzi.
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Teknolojia mpya ya mimba za ng’ombe yaja Tanzania
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
SERIKALI inatarajiwa kujenga maabara ya kisasa ya matumizi ya teknolojia ya vinasaba ya kuboresha mbegu za mimba za ng’ombe (embryo transfer).
Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu ilisema jana kuwa maabara hiyo ya kisasa itajengwa katika Ranchi ya Mzeli mkoani Tanga na kampuni ya Overland Livestock Multiplication Unit and Embryo Transfer kwa kutumia teknolojia kutoka New Zealand na kwa kushirikiana na Kampuni ya Taifa ya Ranchi...