Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msijione wanyonge, Pengo awaambia watawa

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amelitahadhalisha kanisa hilo kwamba ni hatari endapo mapadri watawa watashindwa kutekeleza wajibu wao kwa kigezo kwamba wenzao wa jimbo wanajitosheleza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Watawa waachiliwa huru Syria

Imethibitishwa kuwa waasi nchini Syria wamewaachilia huru watawa 13 na wafanyikazi 3 wa nyumbani waliotekwa nyara mwaka jana

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake wanaokuwa watawa waongezeka UK

Wanawake wanaokuwa watawa imeongezeka pakubwa katika kipindi cha miaka 25,kanisa katoliki nchini Uingereza na Wales limesema.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watawa 3 wakongwe wauawa Burundi

Watawa watatu wakongwe wameuawa mjini Bunjumbura katika makazi ya watawa wanawake na mhalifu mwenye tatizo la kiakili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Papa Francis kutawaza watawa 2 Wapalestina

Papa Francis atawatawaza watawa wawili wa Kipalestina walioishi katika karne ya 19 wakati wa utawala wa Ottoman.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watawa wakwama ndani ya lifti kwa siku 3

Watawa wawili wameokolewa kutoka kwa lifti mjini Rome baada ya kukwama kwa siku tatu bila chakula wala maji.

 

9 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete ahudhuria jubilei za watawa Lugoba

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Sista.Perpetua(kushoto) aliyekuwa anaadhimisha miaka 50 ya utawa na Sista Ponsiana(kulia) aliyekuwa anaadhimisha miaka 25 ya utawa .Maadhimisho hayo yalifanyika katika kanisa Katoliki Lugoba jana.(picha na Freddy Maro).

 

10 years ago

BBCSwahili

Watawa wakataa kumuuzia nyumba Katy Perry

Mpango wa Katy Perry wa kutaka kununua jumba moja la watawa wa kikatoliki umepingwa na watawa waliokuwa wakiishi katika jumba hilo.

 

9 years ago

Michuzi

Rais Kikwete ahudhuria jubilei za watawa Lugoba, Bagamoy, Mkoa wa Pwani

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Sista.Perpetua(kushoto) aliyekuwa anaadhimisha miaka 50 ya utawa na Sista Ponsiana(kulia) aliyekuwa anaadhimisha miaka 25 ya utawa .Maadhimisho hayo yalifanyika katika kanisa Katoliki Lugoba jana. Picha na Freddy Maro

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasomi watakiwa kutetea wanyonge

WASOMI nchini wametakiwa kuwa mstari wa mbele kutetea maslahi ya wanyonge badala ya kujiingiza katika kundi la kutetea mafisadi na wezi wa mali za umma. Ushauri huo ulitolewa mjini hapa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani