Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wanafunzi someni fani zenye fursa’

Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira, imeandaa mpango wa kutoa elimu kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali, ili kuwajenga wasomee fani zenye fursa za ajira.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wanafunzi wapelekwe sehemu zenye historia’

WALIMU wametakiwa kuwapa nafasi wanafunzi kutembelea sehemu zenye historia ya mambo ya kale, ili kuyaona yale wanayosoma katika historia na jiografia. Wito huo ulitolewa mwishoni mwa wiki na mwalimu wa...

 

9 years ago

StarTV

Wafanyabiashara wadogo Afrika Mashariki watakiwa kuongeza uzalishaji zenye bidhaa zenye ubora

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amewataka wafanyabiashara wadogo wadogo wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuzalisha bidhaa zenye ubora ili kukidhi soko la kimataifa la bidhaa hizo.

Rais Magufuli amesema endapo bidhaa zenye ubora zitazalishwa ndani ya Nchi hizo ,malalamiko ya mara kwa mara ya wafanyabiashara hao kuhusu masoko yatafikia ukomo kutokana na kuwa na wateja wengi  kutoka nchi mbalimbali Duniani.

Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Said Meck...

 

10 years ago

Mwananchi

BVR Isiwanyime fursa wanafunzi wa vyuo vikuu kama 2010

Mpango wa uandikishaji wa wapiga kura kwa kutumia kifaa cha mfumo wa kielektroniki ya Biometric Voter Registration (BVR), unaendelea katika mikoa mbalimbali hususan ya Kanda ya Ziwa. Pamoja na malalamiko ambayo yamekuwa yakitolewa na wadau wakuu wa siasa ikiwemo vyama vya upinzani, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekuwa ikiendelea na ratiba kama ilivyopangwa.

 

9 years ago

Michuzi

Mwinyi awaasa wanafunzi kuchangamkia fursa ya kupata taaluma Chuo Kikuu cha Kampala

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kampala International cha jijini Dar es Salaam,Rais Mstaafu wa Tanzania Mheshimiwa Ali Hasani Mwinyi amewataka watanzania kuchangamkia fursa za masomo ya taaluma mbalimbali nanayotolewa na Chuo Kikuu cha Kampala kilichopo eneo la Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam.
Akiongea wakati wa mahafali ya tatu ya chuo hicho kwa upande wa Tanzania jana ambapo wahitimu walitunikiwa shahada ,stashahada na vyeti vya kufuzu fani mbalimbali alisema chuo hicho kinatoa elimu bora ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Flaviana Matata atoa elimu ya fursa mbalimbali zinazopatikana PSPF kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali jijini Mwanza

Balozi wa PSPF, Bi. Flaviana Matata akitoa elimu kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya elimu ya juu (hawapo pichani) jijini Mwanza.

Afisa Mfawidhi Ofisi ya PSPF Mwanza, Bw. Salim Salim, akisalimiana na Balozi wa PSPF, Bi. Flaviana Matata, kabla ya kuanza semina ya siku moja kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya elimu ya juu jijini Mwanza.

Baadhi ya wanafunzi wakisoma vipeperushi vyenye taarifa kuhusu Mfuko wa PSPF wakati wa semina juu ya Mfuko huo iliyotolewa na Balozi wa PSPF, Bi....

 

10 years ago

Michuzi

FLAVIANA MATATA ATOA ELIMU YA FURSA MBALIMBALI ZINAZOPATIKANA KATIKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF KWA WANAFUNZI WA VYUO MBALIMBALI JIJINI MWANZA

 Balozi wa PSPF, Bi. Flaviana Matata akitoa elimu kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya elimu ya juu (hawapo pichani), katika semina ya siku moja juu ya Fursa zinazopatikana kwa wanachama wa Mfuko wa PSPF, iliyofanyika jana jijini Mwanza Afisa Mfawidhi Ofisi ya PSPF Mwanza, Bw. Salim Salim, akisalimiana na Balozi wa PSPF, Bi. Flaviana Matata, kabla ya kuanza semina ya siku moja kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya elimu ya juu jijini Mwanza.
Baadhi ya wanafunzi wakisoma vipeperushi vyenye...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI DORA MSECHU AWASILISHA HATI ZAKE ZA UTAMBULISHO KWA RAIS WA ESTONIA,PIA ATEMBELEA CHUO KIKUU CHA Tallinn KUJADILI FURSA ZA MASOMO KWA WANAFUNZI WA TANZANIA

Balozi wa Tanzania kwenye Nchi za Nordic na Baltic,Mh. Dora Mmari Msechu (kushoto) akipeana mkono na Rais wa Estonia,Mh. Toomas Hendrik Ilves,wakati alipofika Ikulu ya nchi hiyo kuwasilisha hati utambulisho wake kwa Rais.Mhe. Balozi Dora Msechu (wa pili kulia) na timu yake wakiwa kwenye Mazungumzo na baadhi ya viongozi wa Chuo  cha Tallinn University of Technology. Mazungumzo yao yalilenga kuanzisha ushirikiano na vyuo vya Tanzania (UDSM na UDOM) na pia kutafuta fursa zaidi za masomo ya...

 

10 years ago

GPL

BALOZI WA PSPF FLAVIANA MATATA ATOA ELIMU YA FURSA MBALIMBALI ZINAZOPATIKANA KATIKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF KWA WANAFUNZI WA VYUO MBALIMBALI JIJINI MWANZA

  Balozi wa PSPF, Bi. Flaviana Matata akitoa elimu kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya elimu ya juu (hawapo pichani) jijini Mwanza…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani