Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanamazingira wahamasishwa kuwalinda binadamu, viumbe hai

Kamishna Msaidizi wa Nishati Mbadala kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Leonard Ishengoma akisoma hotuba ya ufunguzi (kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara, Eliakim Maswi) wa semina ya mafunzo kwa Maafisa Mazingira wa Wilaya kutoka Kanda ya Ziwa, juu ya mpango kazi wa mazingira wa sekta za nishati na madini, Septemba 1, 2014.Afisa Misitu Mkuu kutoka Kitengo cha Mazingira – Wizara ya Nishati na Madini, Theodory Silinge akisisitiza jambo wakati wa semina ya mafunzo kwa Maafisa Mazingira wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Viumbe hai kuendela kupotea:Utafiti

Utafiti wa kisayansi umebaini kupotea kwa viumbe hai ni tatizo kubwa kwa sasa ikilinganishwa na zamani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Viumbe sawa na binadamu vyapatikana AK

Wanasayansi nchi Afrika kusini wamevumbua masalia mapya yafananayo na binaadamu katika pango fulani nchini Afrika Kusini

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je ni viumbe gani wataishi binadamu watakapoangamia?

Kutokanana matishio kama vile mabadiliko ya tabia nchi au janga la sasa la virusi vya corona, watu wengi zaidi na zaidi wanaonya kuwa uhai wetu uko hatarini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanamazingira wapanda miti UDOM

KLABU ya Wanamazingira wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Kitivo cha Elimu kwa kushirikiana na uongozi wa serikali ya wanafunzi, wamepanda miti ya kivuli katika kitivo hicho ambacho kinatumia umwagiliaji...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE WA JIMBO LA HAI ATEMBELEA ENEO LA TAMBARARE WILAYANI HAI KUJIONEA ATHARI ZA MAFURIKO NA KUTOA POLE KWA WAATHIRIKA

Mbunge wa Jimbo la Hai  Mhe. Freeman Mbowe akiwa na mkuu wa wilaya ya Hai Mhe. Anthony Mtaka walipotembelea katika ukanda wa Tambarare kujionea athari za mafuriko yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha.Mbunge Mbowe akiwa na biongozi wengine wa wilaya ya Hai wakitazama miundombuni ya reli ilivyochukuliwa na mafuriko.Baadhi ya wananchi wakisalimiana na Mbunge Mbowe katika eneo la mafuriko yaliyosomba reli.Viongozi wa Chama cha mapinduzi wakiwa katika mkutano wa hadhara wa kutoa pole...

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE WA JIMBO LA HAI ATEMBELEA ENEO LA TAMBARALE WILAYANI HAI KUJIONEA ATHARI ZA MAFURIKO NA KUTOA POLE KWA WAATHIRIKA

Mbunge wa Jimbo la Hai  Mhe. Freeman Mbowe akiwa na mkuu wa wilaya ya Hai Mhe. Anthony Mtaka walipotembelea katika ukanda wa Tambarare kujionea athari za mafuriko yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha.Mbunge Mbowe akiwa na Viongozi wengine wa wilaya ya Hai, wakitizama miundombuni ya reli ilivyochukuliwa na mafuriko.Mbowe akijadili jambo na mkuu wa wilaya ya Hai Mhe. Anthony Mtaka na viongozi wengine baada ya kuona namna ambavyo miundo mbinu ya reli ilivyosombwa na maji.
Baadhi ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viumbe wa ajabu wa baharini

WATU wengi wanadhani kuwa utafiti kuhusiana na wanyama umekamilika. Lakini ukweli ni kuwa bado kuna maswali mengi sana kuhusiana na maisha ya wanyama mbalimbali ambayo hayajapatiwa majibu. Ndio maana kila...

 

9 years ago

GPL

UKWELI WA VIUMBE WAISHIO ANGANI-4

ALIENS WADAIWA KUTINGA IKULU YA MAREKANI! Wiki iliyopita niliishia pale nilipokuwa nikielezea muunganiko wa Aliens na makundi ya wanasayansi wa Marekani ambao wamekuwa wakielezwa kuwa huingia mikataba mbalimbali ya kubadilishana teknolojia na uvumbuzi wa teknolojia mpya. Mfano ni ile Teknolojia ya Aliens Software. SASA ENDELEA… Katika kuchimba juu ya viumbe hao na nikushauri msomaji wangu kuwa na utamaduni wa kujifunza vitu...

 

9 years ago

GPL

UKWELI WA VIUMBE WAISHIO ANGANI-13

VIUMBE WA AJABU WASITISHA SAFARI ZA MWEZINI ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Mpenzi msomaji wangu wiki iliyopita niliishia pale nilipokuwa nikielezea namna ambavyo Aliens na UFO vilivyoanza kuonekana kwenye anga la Israel, Iran na Australia. Ukweli ni kwamba tukio hilo lilishuhudiwa na maelfu ya watu ambao waliona UFO zikisafiri mita 200 kutoka ardhini. SASA ENDELEA… Watafiti wengi duniani wameendelea kulishughulikia suala la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani