Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wanaohoji fulana za Lowassa washamba’

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Talib Ali Talib, amesema wanachama na viongozi wanaohoji Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa kutengenezewa fulana zenye picha yake na ujumbe wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAINDA AWAJIBU WANAOHOJI ULOKOLE WAKE

Stori: Gabriel Ng’osha Staa wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’  amefunguka kuwa kwa sasa hatakubali tena kusumbuliwa na wanaohoji juu ya maisha yake mapya ya wokovu. Staa wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’. Akizungumza na paparazi wetu, Mainda alisema mwanzoni alikuwa anapata shida sana kuishi na watu kwani yeye kama msanii kila anachofanya watu wanachukulia ndivyo sivyo na hata katika...

 

9 years ago

GPL

LULU AWACHARUKIA WANAOHOJI GHARAMA ZA UREMBO WAKE

Imelda mtema
STAA asiyekaukiwa matukio Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewacharukia watu wanaohoji kwa nini anapendeza angali mwanafunzi kwa kuwaambia, ‘kwani akiwa mwanafunzi ni mwiko kupendeza?’ Staa asiyekaukiwa matukio Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Lulu alisema amekuwa akiona maoni ya watu wengi mtandaoni wakihoji anapata wapi fedha za...

 

10 years ago

Vijimambo

CHADEMA WAISHTUKIA CCM COPY AND PASTE YA FULANA ZAO

"Jamaa wameishiwa sera hata ubunifu, wameamua kutuiga Tshirt , karibuni ccm mtajifunza mengi!" Hicho ndicho alichoandika Mhe. Peter Msigwa kwenye ukurasa wake wa facebook

 

11 years ago

GPL

GAZETI LA CHAMPIONI LAENDELEA KUGAWA FULANA KWA WAUZA MAGAZETI.

Muuzaji wa magazeti (kushoto) akiwa katika meza yake ya magazeti huku akiwa ametokelezea sambamba na mfanyakazi wa Global,  Jimmy Haroub (kulia). Muuzaji wa magazeti (kushoto) akionesha uso wa furaha baada ya kuvalishwa fulana ya Championi  na Jimmy Haroub.…

 

11 years ago

GPL

GLOBAL PUBLISHERS WAGAWA FEDHA NA FULANA KWA WAUZAJI WA MAGAZETI

Afisa Masoko wa Global Publishers, Benjamini  Mwanambuu akimkabidhi pesa muuza magazeti mama Rashid maeneo ya Tazara. Muuza  magazeti akipokea zawadi toka kwa Benjamini ambaye ni Afisa Masoko wa Global Publishers (pembeni yake ni Yohana). Bw.Kasenga akikabidhiwa…

 

5 years ago

BBCSwahili

Wachezaji wa EPL kuvalia fulana za 'Black Lives Matter’

Wachezaji wa Ligi Kuu ya England watavalia jezi iliyochapishwa maneno 'Black Lives Matter’ mgongoni katika mechi 12 za mwanzo ligi hiyo itakaporejelewa Juni 17.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS OBAMA ASIFU UVAAJI WA FULANA YA I CAN'T BREATHE ALIYOVAA MCHEZAJI WA KIKAKPU LEBRON JAMES

LeBron ObamaRais wa Marekani Mhe. Barack Obama amesifia uvaaji wa fulana wa mchezaji wa mpira wa kikapu Lebron James wakati alipokua akifanyiwa mahojiano na gazeti la the people magazine. Rais Barack Obama alipouliwa swali hilo nini mtizamo wake alisema nadhani ni jambo zuri kwa mchezaji huyo na wengine waliopaza sauti zao kuwakilisha mawazo yao kwa mambo yaliyotokea ya kuuwawa kwa Wamarekani weusi na polisi huko Ferguson jimbo la Missouri na Brooklyn New York na baadae mahakama kuwaachia huru polisi...

 

10 years ago

Vijimambo

Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”


HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO Hamfrey Polepole na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa wamekabana kwa hoja kali kuhusu uamuzi wa Chadema na Ukawa kwa ujumla kumpokea Edward Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea Urais.Polepole na Msigwa walikutana jana katika kipindi cha ‘Mada Moto’ kinachorushwa na kituo cha runinga cha Chanel Ten kujadili mada iliyotajwa kama ‘Lowassa Ndani ya CCM’.Polepole alionesha msimamo wake wa kumkataa Edward Lowassa kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani