MAINDA AWAJIBU WANAOHOJI ULOKOLE WAKE
![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNRtCbMnoCaYPQM7RaGtwqEOl3iT96UVGIGI2F2j7KWoSaEYB6NLSyWv3g-TKDGhTGzR3r*7908OntPTIocPrR6L/mainda.jpg)
Stori: Gabriel Ng’osha Staa wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amefunguka kuwa kwa sasa hatakubali tena kusumbuliwa na wanaohoji juu ya maisha yake mapya ya wokovu. Staa wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’. Akizungumza na paparazi wetu, Mainda alisema mwanzoni alikuwa anapata shida sana kuishi na watu kwani yeye kama msanii kila anachofanya watu wanachukulia ndivyo sivyo na hata katika...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3r*H3JtUV-dfA99fOVTIuZciuFEuTC6DKmaMoOBd7OvyiLlpLmFRcfArOZ694b7nYdPjGE2UaYaM*kmy1g0Wy9jfwm*3cGAA/Luluz.jpg?width=650)
LULU AWACHARUKIA WANAOHOJI GHARAMA ZA UREMBO WAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XswnwlaLlAiAixQo7KZU5fDp3t6Gq5R3PhSOGnjxds1*GDGwucGfCn1XEJ*Jfiz7k7zJ1-OJIOdj6D0L4iuaOWiFnxidndH*/SUGUNAMWANAYE.jpg)
FAIZA ALLY AWAJIBU WANAOULIZA KUHUSU UHUSIANO WAKE NA MHE. SUGU
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
‘Wanaohoji fulana za Lowassa washamba’
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Talib Ali Talib, amesema wanachama na viongozi wanaohoji Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa kutengenezewa fulana zenye picha yake na ujumbe wa...
10 years ago
Habarileo02 May
Kikwete awajibu walimu
RAIS Jakaya Kikwete amewajibu walimu kuwa katika kipindi cha miaka 10 ya uongozi wake amefanya kazi ya uboreshaji maslahi yao na kuahidi kumaliza madai yao yote kabla hajang’atuka madarakani Oktoba mwaka huu.
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Akon awajibu wanamuziki wa Kenya
10 years ago
Bongo Movies20 Mar
Faiza Ally (Ex wa Mheshimiwa), awajibu Wambea
Staa wa Bongo Movie, Faiza Ally ambaye amezaa na Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, leo amewatolea uvuvi watu waliokuwa wakijiuliza maswali kuhusu mwanaye Sasha na na baba yake.
Kupita akaunti yake ya Instagram, Faiza ameweka picha na Mhe. Sugu akiwa na mwanaye Sasha na kuandika kuwa "Mara nyingi huwa nawapiga picha mimi mwenyewe sema tu sipendi sana kurusha kwangu"
Na kwa wale waliokuwa wanauliza maswali juu yao, Faiza amewajibu hivi: "Ni kweli kuna wakati tulikuwa hatuelewani...
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Hassan Rehani awajibu walioikimbia Twanga Pepeta
NA MWALI IBRAHIM
BAADA ya baadhi ya wanamuziki wa bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Ramadhani Athumani na Salehe Kupaza kueleza sababu iliyowafanya waikimbie bendi hiyo na kuhamia Double M Sound Plus ni maslai na madeni yao wanayoidai Twanga Pepeta, meneja wa bendi hiyo, Hassan Rehani, ameibuka na kukana madai hayo.
Wanamuziki hao tayari wameshatambulishwa rasmi kwenye bendi ya Double M Sound Plus iliyopo chini ya Mwinjuma Muumini ‘Kocha wa Dunia’, wamedaiwa kutumia maneno ya kudai...