Akon awajibu wanamuziki wa Kenya
Akon amesema kuwa hakuna hata mwanamuziki mmoja wa Kenya ambaye amemuomba kufanya naye kushirikiana naye[kolabo}
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLAKON KUTUA KENYA MWEZI UJAO
10 years ago
Dewji Blog19 Sep
Akon kusambaza umeme Kibera Kenya
Rais Uhuru Kenyatta akiwa kwenye mazungumzo na msanii Akon kwenye Ikulu yake jijini Nairobi.(Picha zote kwa hisani ya ukurasa wa Facebook wa Rais Uhuru Kenyatta).
Na Mwandishi wetu
Mwanamuziki nyota wa R&B kutoka Marekani mwenye asili ya Senegal, Akon amekutana na Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta na kufanya mazungumzo nae juu ya mpango kusambaza umeme katika eneo la Kibera na sehemu nyingine za vijijini zisizokuwa na nishati hiyo.
Mpango huo ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wake wenye lengo...
10 years ago
Habarileo02 May
Kikwete awajibu walimu
RAIS Jakaya Kikwete amewajibu walimu kuwa katika kipindi cha miaka 10 ya uongozi wake amefanya kazi ya uboreshaji maslahi yao na kuahidi kumaliza madai yao yote kabla hajang’atuka madarakani Oktoba mwaka huu.
10 years ago
Bongo Movies20 Mar
Faiza Ally (Ex wa Mheshimiwa), awajibu Wambea
Staa wa Bongo Movie, Faiza Ally ambaye amezaa na Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, leo amewatolea uvuvi watu waliokuwa wakijiuliza maswali kuhusu mwanaye Sasha na na baba yake.
Kupita akaunti yake ya Instagram, Faiza ameweka picha na Mhe. Sugu akiwa na mwanaye Sasha na kuandika kuwa "Mara nyingi huwa nawapiga picha mimi mwenyewe sema tu sipendi sana kurusha kwangu"
Na kwa wale waliokuwa wanauliza maswali juu yao, Faiza amewajibu hivi: "Ni kweli kuna wakati tulikuwa hatuelewani...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNRtCbMnoCaYPQM7RaGtwqEOl3iT96UVGIGI2F2j7KWoSaEYB6NLSyWv3g-TKDGhTGzR3r*7908OntPTIocPrR6L/mainda.jpg)
MAINDA AWAJIBU WANAOHOJI ULOKOLE WAKE
10 years ago
Bongo531 Dec
Alikiba awajibu wanaodai video ya ‘Mwana’ ni mbovu
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Hassan Rehani awajibu walioikimbia Twanga Pepeta
NA MWALI IBRAHIM
BAADA ya baadhi ya wanamuziki wa bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Ramadhani Athumani na Salehe Kupaza kueleza sababu iliyowafanya waikimbie bendi hiyo na kuhamia Double M Sound Plus ni maslai na madeni yao wanayoidai Twanga Pepeta, meneja wa bendi hiyo, Hassan Rehani, ameibuka na kukana madai hayo.
Wanamuziki hao tayari wameshatambulishwa rasmi kwenye bendi ya Double M Sound Plus iliyopo chini ya Mwinjuma Muumini ‘Kocha wa Dunia’, wamedaiwa kutumia maneno ya kudai...
11 years ago
GPLWEMA SEPETU AWAJIBU WALIOMCHAFUA MAMA YAKE