Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Akon awajibu wanamuziki wa Kenya

Akon amesema kuwa hakuna hata mwanamuziki mmoja wa Kenya ambaye amemuomba kufanya naye kushirikiana naye[kolabo}

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AKON KUTUA KENYA MWEZI UJAO

Rais Kenyatta akiwa na Akon nchini Marekani. MWANAMUZIKI wa RnB kutoka Marekani, Akon anatarajiwa kutua nchini Kenya mwezi ujao baada ya kukutana na Rais Uhuru Kenyatta hivi karibuni huko Marekani. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Akon ameandika kuwa atawasili nchini Kenya mwezi Septemba mwaka huu kujadiliana na Rais Uhuru Kenyatta na kuona jinsi wanavyoweza kulinufaisha Taifa la Kenya. Staa huyo ameonekana kuvutiwa na rekodi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Akon kusambaza umeme Kibera Kenya

10394047_915466105148610_4585435289872044774_n

Rais Uhuru Kenyatta akiwa kwenye mazungumzo na msanii Akon kwenye Ikulu yake jijini Nairobi.(Picha zote kwa hisani ya ukurasa wa Facebook wa Rais Uhuru Kenyatta).

Na Mwandishi wetu

Mwanamuziki nyota wa R&B kutoka Marekani mwenye asili ya Senegal, Akon amekutana na Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta na kufanya mazungumzo nae juu ya mpango kusambaza umeme katika eneo la Kibera na sehemu nyingine za vijijini zisizokuwa na nishati hiyo.

Mpango huo ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wake wenye lengo...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete awajibu walimu

Moja ya mabango yaliyobebwa na walimu wakipita mbele ya Rais Jakaya Kikwete yakiwa na ujumbe ambao Rais aliujibu katika hotuba yake.RAIS Jakaya Kikwete amewajibu walimu kuwa katika kipindi cha miaka 10 ya uongozi wake amefanya kazi ya uboreshaji maslahi yao na kuahidi kumaliza madai yao yote kabla hajang’atuka madarakani Oktoba mwaka huu.

 

10 years ago

Bongo Movies

Faiza Ally (Ex wa Mheshimiwa), awajibu Wambea

Staa wa Bongo Movie, Faiza Ally ambaye amezaa na Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, leo amewatolea uvuvi watu waliokuwa wakijiuliza maswali kuhusu mwanaye Sasha na na baba yake.

Kupita akaunti yake ya Instagram, Faiza ameweka picha na Mhe. Sugu akiwa na mwanaye Sasha na kuandika kuwa "Mara nyingi huwa nawapiga picha mimi mwenyewe sema tu sipendi sana kurusha kwangu"

Na kwa wale waliokuwa wanauliza maswali juu yao, Faiza amewajibu hivi: "Ni kweli kuna wakati tulikuwa hatuelewani...

 

11 years ago

GPL

MAINDA AWAJIBU WANAOHOJI ULOKOLE WAKE

Stori: Gabriel Ng’osha Staa wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’  amefunguka kuwa kwa sasa hatakubali tena kusumbuliwa na wanaohoji juu ya maisha yake mapya ya wokovu. Staa wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’. Akizungumza na paparazi wetu, Mainda alisema mwanzoni alikuwa anapata shida sana kuishi na watu kwani yeye kama msanii kila anachofanya watu wanachukulia ndivyo sivyo na hata katika...

 

10 years ago

Bongo5

Alikiba awajibu wanaodai video ya ‘Mwana’ ni mbovu

Hatimaye Alikiba ameamua kuwajibu baadhi ya wapenzi wa muziki walioikosoa video ya wimbo wa ‘Mwana’ wanaodai kuwa haiendani na kile kinachoimbwa. Akizungumza na 255 ya XXL ndani ya Clouds FM, Alikiba amesema alichokifanya alimaanisha hivyo kuleta picha mpya kwenye vichwa vya watu. “Utofauti wa video ndio uzuri wake kwa sababu kila mtu kwenye mind yake […]

 

9 years ago

Mtanzania

Hassan Rehani awajibu walioikimbia Twanga Pepeta

dogoNA MWALI IBRAHIM

BAADA ya baadhi ya wanamuziki wa bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Ramadhani Athumani na Salehe Kupaza kueleza sababu iliyowafanya waikimbie bendi hiyo na kuhamia Double M Sound Plus ni maslai na madeni yao wanayoidai Twanga Pepeta, meneja wa bendi hiyo, Hassan Rehani, ameibuka na kukana madai hayo.

Wanamuziki hao tayari wameshatambulishwa rasmi kwenye bendi ya Double M Sound Plus iliyopo chini ya Mwinjuma Muumini ‘Kocha wa Dunia’, wamedaiwa kutumia maneno ya kudai...

 

11 years ago

GPL

WEMA SEPETU AWAJIBU WALIOMCHAFUA MAMA YAKE

Wema Sepetu. Sakata lenyewe lilianza hivi:
Baada ya picha feki ya Mama Wema kuwekwa mtandaoni na instagram account ijulikanayo kama Homa_ya_jiji_Team_Dengue na Account nyingine maarufu ya kumtetea Wema Ijulikanayo kama Dogiemasta13 ilifanya kazi ya ziada kumshawishi Homa_ya_jiji_Team_Dengue kuifuta hiyo picha na baada ya muda ilifutwa kwa masharti kuwa Dougiemasta13 aifunge account yake, na account ikafungwa kweli.
Wema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani