WAREMBO DAR WATOA ZAWADI, WALA NA YATIMA DAR
![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYg7oNYOFxTgEIspNzu5IIKWMEEECioAvomfnplPxsdVrzpyLlns2AmZKhSa-lmx2CTYE6XZaIrouudkVTRpeG6K/talent.jpg?width=650)
Miss Talent Kinondoni 2014, Zubeda Ibrahimu, akiwa katika pozi. … Akiwa amesimama mbele ya warembo wenzake. …..Akiwa na mmoja wa wamiliki wa kituo hicho.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi26 Jul
TTCL Yatoa Zawadi ya Eid El Fitr kwa Yatima Dar
Msaada huo wenye jumla ya thamani ya shilingi milioni 3 umekabidhiwa na Meneja wa TTCL, Dar es Salaam Kati, Jane Mwakalebela kwa niaba ya Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, ambaye alisema utaratibu huo ni wakawaida kwa kampuni yao kusaidia makundi na taasisi na...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0876.jpg?width=650)
KAMPUNI YA TTCL YATOA ZAWADI YA EID EL FITR KWA YATIMA DAR
9 years ago
Dewji Blog01 Jan
TTCL yatoa zawadi ya mwaka mpya kwa vituo vya Yatima Dar!!
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Nicodemus Thomas (kushoto) kwa niaba ya Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, Dk. Kamugisha Kazaura akizungumza na wanahabari mara baada ya kukabidhi sehemu ya msaada wa chakula kwa ajili ya Siku Kuu ya Mwaka Mpya 2016 kwa vituo vitatu vya watoto yatima Dar es Salaam. Kulia ni Mlezi wa Watoto na Vijana wa Kituo cha kulelea watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha Kiwohede, Stella Mwambenja.
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL),...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TksgcaWB8w8/VlHuMakQpjI/AAAAAAAAvuk/5aZjy8GpptA/s72-c/DSCF8984.jpg)
VWG watoa msaada kwa yatima wa kituo cha chakuwama jijini dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-TksgcaWB8w8/VlHuMakQpjI/AAAAAAAAvuk/5aZjy8GpptA/s640/DSCF8984.jpg)
VWG iliamua kutembelea kituo hicho ikiwa ni sehemu ya maadhimisho yake ya kutimiza mwaka mmoja toka kuanzishwa kwake.
Akizungumza katika hafla fupi iliyofanyika kituoni hapo, Mwenyekiti wa VWG, Bi....
9 years ago
MichuziTTCL YATOA ZAWADI YA MWAKA MPYA KWA VITUO VYA YATIMA DAR ES SALAAM.
10 years ago
Dewji Blog24 Dec
Alex Msama amwaga zawadi za Krismas kwa vituo vya watoto yatima jijini Dar
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akikabidhi vyakula mbalimbali kwa Bi. Honorata wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Honorata kilichopo Temeke jijini Dar es salaam leo wakati alipokabidhi msaada wa vyakula kwa vituo mbalimbali vya jijini Dar es salaam ikiwa ni zawadi yake ya sikukuu ya Krismas kwa vituo hivyo, Bw. Alex Msama amesema pia katika Tamasha la Pasaka litakalofanyika kesho wakati wa sikukuu ya Krismas mkoani Mbeya, kiasi cha fedha zitakazopatikana...
9 years ago
Dewji Blog31 Aug
PSPF watoa zawadi kwa washindi wa ligi ya madereva wa Bodaboda wa Kipunguni jijini Dar
10 years ago
Michuzi25 Dec
ALEX MSAMA AMWAGA ZAWADI ZA KRISMAS KWA VITUO VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR ES SALAAM
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/120.jpg)
9 years ago
GPLPSPF WATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA LIGI YA MADEREVA WA BODABODA WA KIPUNGUNI JIJINI DAR