Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WARSHA YA WAFANYABIASHARA WA TANZANIA NA CHINA YAFANYIKA JIJINI DAR LEO.

 Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko Sekta Binafsi Nchini (TPSF),Godfrey Simbeye akizungumza na waandishi wa habari katika warsha iliyowakutanisha wafanyabiashara wa China na Watanzania iliyofanyika leo katika Hoteli ya Hyatt Regency Jijini Dar es Salaam.  Mwenyekiti wa  Baraza la Biashara la China na Afrika (CABC) Tawi la Tanzania,Xian Ding akizungumza na waandishi wa habari  katika warsha iliyowakutanisha wafanyabiashara wa China na Watanzania iliyofanyika leo katika Hoteli ya Hyatt Regency...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Warsha ya kupunguza vifo na majeruhi wa ajali za Barabarani yafanyika jijini Dar

????????????????????????????????????

Kamishina Msaidizi wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Johansen Kahatano akifungua rasmi warsha ya waandishi wa habari ya kupunguza ajali na vifo vinavyotokana na ajali za barabarani iliyoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali la AMEND na kufadhiliwa na Jumuiya ya Umoja wa Ulaya EU warsha hiyo imefanyika kwenye jengo la Umoja House jijini Dar es salaam.

????????????????????????????????????

Gianluca Azzon Mwakilishi wa EU Nchini Tanzania, akiwasilisha mada katika warsha ya waandishi wa habari ya kupunguza ajali na vifo...

 

10 years ago

Michuzi

WARSHA YA KUPUNGUZA VIFO NA MAJERUHI WA AJALI ZA BARABARANI YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM

???????????????????????????????????? Kamishina Msaidizi wa Kikosi cha Usalama Barabarani,Johansen Kahatano akifungua rasmi warsha ya waandishi wa habari ya kupunguza ajali na vifo vinavyotokana na ajali za barabarani iliyoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali la AMEND na kufadhiliwa na Jumuiya ya Umoja wa Ulaya EU warsha hiyo imefanyika kwenye jengo la Umoja House jijini Dar es salaam.????????????????????????????????????Gianluca Azzon Mwakilishi wa EU Nchini Tanzania akiwasilisha mada katika warsha ya waandishi wa habari ya kupunguza ajali na vifo...

 

10 years ago

Michuzi

WARSHA YA STADI ZA MAISHA NA AFYA YA UZAZI KWA WARATIBU WA UKIMWI YAFANYIKA LEO JIJINI MWANZA


 Mtaalamu wa Afya ya Uzazi kutoka  chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania Mkoa wa Mwanza  Bi,Jacinta Mutakyawa (Aliyesimama)  akiongea na waratibu wa Ukimwi,Maafisa Vijana na Wadau mbalimbali juu ya haki za Afya ya Uzazi na Ujinsia leo jijini Mwanza.Haki izo zikiwemo haki ya kuwa huru  dhidi ya vitendo vya ukatili na haki ya kuchagua na kupanga uzazi.

Mratibu wa Ukimwi kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bw,Musa Varisanga(Aliyevaa Miwani)  akifurahia jambo na Mratibu wa...

 

10 years ago

Michuzi

warsha ya siku moja kujadili mpango mkakati wa Maendeleo wa miaka 25 ya benki ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania yafanyika jijini Dar

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Thomas Samkyi akizungumza katika warsha juu ya kujadili mpango wa maendeleo wa taasisi hiyo kwa miaka 25 ijayo. Warsha hiyo ilifanyika hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency, Dar es Salaam.Mkuu wa Mipango, Sera na Ushirikiano wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania, Francis Assenga akizungumza na wadau katika mkutano huo.Wadau wa sekta ya kilimo, uvuvi na ufugaji wakifuatilia warsha ya mpango wa maendeleo wa miaka 25 wa benki...

 

10 years ago

Michuzi

WARSHA YA WADAU KUHUSU HUDUMA ZITOLEWAZO NA MAMLAKA YA HALI YA HEWA YAFANYIKA JIJINI DAR

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), Dkt. Agnes Kijazi ambaye alikuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa warsha ya wadau kuhusu huduma zitolewazo na Mamlaka ya Hali ya Hewa na Uainishaji wa matakwa ya wadau,iliyofanyika kwenye Hoteli ya Blue Pearl, Ubungo jijini Dar es Salaam, Machi 24, 2015.Mkurugenzi wa Huduma za Utafiti na Matumizi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), Dkt. Ladislaus Chang'a akitoa ufafanuzi kwenye warsha ya wadau kuhusu huduma zitolewaza na Mamlaka ya...

 

10 years ago

GPL

WARSHA YA KUPUNGUZA VIFO NA MAJERUHI WA AJALI ZA BARABARANI YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM‏

Kamishina Msaidizi wa Kikosi cha Usalama Barabarani,Johansen Kahatano akifungua rasmi warsha ya waandishi wa habari ya kupunguza ajali na vifo vinavyotokana na ajali za barabarani iliyoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali la AMEND na kufadhiliwa na Jumuiya ya Umoja wa Ulaya EU warsha hiyo imefanyika kwenye jengo la Umoja House jijini Dar es salaam. Gianluca Azzon Mwakilishi wa EU Nchini Tanzania akiwasilisha mada katika...

 

11 years ago

Michuzi

makamu wa rais wa china,Li Yuanchao afungua mkutano wa uwekezaji kati ya tanzania na china jijini Dar leo

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao wakitazama picha za ziara ya hayati Baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere kabla ya mgeni huyo kufungua mkutano wa Uwekezaji kati ya Tanzania na China kwenye ukumbi wa Benki Kuu jijini Dar es salaam  Juni 23, 3014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akimkabidhi zawadi ya kinyago, Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao  kabla ya mgeni huyo kufungua mkutano wa Uwekezaji kati ya Tanzania na China...

 

10 years ago

Michuzi

KONGAMANO LA KWANZA LA WANAWAKE WAFANYABIASHARA SOKONI TANZANIA LAFANYIKA JIJINI DAR LEO.

Na Dotto Mwaibale
MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti Tanzania (Repoa), Samwel Wangwe amewataka watanzania kuwawezesha wafanyabiashara wadogo wadogo hususani wanawake kwani wananafasi kubwa ya kuchangia pato la Taifa.
Akizunguza Dar es Salaam leo wakati wa Ufunguzi wa Kongamano la kwanza la wanawake wafanyabiashara sokoni Tanzania, Wangwe alisema ni muhimu kuhakikisha wafanyabiashara hao wanawezeshwa na kuwajali katika uzalishaji na uendeshaji wa biashara zao.
Alisema kwa mujibu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani