Washia waandamana kupinga jeshi Nigeria
Waislamu wa dhehebu ya Shia kaskazini mwa Nigeria wameandamana kupinga operesheni wa kijeshi ambayo wanasema ilisababisha vifo vya mamia ya waumini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/05/IMG_0106.jpg)
WANAHARAKATI WAANDAMANA KUPINGA UTEKAJI WA WASICHANA NIGERIA
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Bi. Lilian Liundi (aliyeshika kipaza sauti) akisoma barua maalumu iliyotumwa kwa ubalozi wa Nigeria nchini Tanzania kuonesha wanaharakati hao kupinga utekaji wa wasichana uliofanyika Nigeria. Mkurugenzi wa WiLDAF, Dk. Judith Odunga, akizungumza kupinga ukatili uliofanywa kwa wanafunzi wa kike kutekwa na kitendo cha Jeshi la Polisi nchini Tanzania kuzuia maandamano hayo ya wanaharakati....
11 years ago
Michuzi16 May
Wanaharakati Waandamana jijini Dar es salaam Kupinga Utekaji wa Wasichana Nigeria
![Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Bi. Lilian Liundi (aliyeshika kipaza sauti) akisoma barua maalumu iliyotumwa kwa ubalozi wa Nigeria nchini Tanzania kuonesha wanaharakati hao kupinga utekaji wa wasichana uliofanyika Nigeria.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/05/IMG_0106.jpg)
![Mkurugenzi wa WiLDAF, Dk. Judith Odunga, akizungumza kupinga ukatili uliofanywa kwa wanafunzi wa kike kutekwa na kitendo cha Jeshi la Polisi nchini Tanzania kuzuia maandamano hayo ya wanaharakati.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/05/IMG_0068.jpg)
![Viongozi wakuu wa Mtandao wa Mashirika Huru ya Kijamii (CSOs) wakipokea mabango yenye jumbe anuai za kupinga vitendo vya kikatili vilivyofanywa na wanamgambo wa Boko Haram.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/05/IMG_0041.jpg)
9 years ago
Mwananchi07 Sep
Wachimbaji waandamana kupinga unyanyasaji
Wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite (WanaApolo) 500 wa Mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro, wameandamana kudai kupinga kitendo cha wawekezaji wa Kampuni ya TanzaniteOne kuteka migodi yao.
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Waandamana kupinga kodi ya mtandao
Maandamano nchini Hungary yanaendelea dhidi ya mpango wa serikali wa kutaka kuwatoza kodi wanaotumia mtandao
9 years ago
BBCSwahili01 Nov
Waandamana kupinga mauaji Bangladesh
Mamia ya watu wameandamana katika mji mkuu wa Bangladesh, Dhaka, kupinga mashambulio yaliyofanywa jana dhidi ya mchapishaji
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Waandamana kupinga kupunguzwa kazini
Wafanyakazi wa kampuni ya TanzaniteOne wameandamana kupinga uongozi wa kampuni hiyo kutaka kuwapunguza wafanyakazi 635 bila taratibu za kisheria, kwa madai kuwa wanajiendesha kwa hasara na wao kupoteza haki zao.
10 years ago
BBCSwahili26 Jun
Waeritrea waandamana kupinga udhalimu
Raia wa Eritrea wameandamana nje ya majengo ya Umoja wa Afrika huko Ethiopia wakipinga mateso chini ya utawala wa rais Isaias Afeworki
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Waandamana kupinga sera,Ubelgiji
Polisi mjini Belgian nchini Ubelgiji wamelazimika kutumia mabomu ya machozi na maji ili kuwatawanya waandamanaji wanaopinga sera
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Wavuvi waandamana kupinga uvamizi
ZAIDI ya wavuvi 30 wa Kisiwa cha Mazinga, Kata ya Mazinga wilayani Muleba, wameandamana hadi kituo cha polisi cha wilaya, kulalamikia kutokuwepo ulinzi katika Ziwa Victoria, kiasi cha kutoa mwanya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania