Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASICHANA WERUWERU WAASWA

Ofisa Mkuu wa Uhusiano wa Kampuni ya Vodacom Tanzania, Georgia Mutagahywa (wa pili kutoka kushoto) akimkabidhi chetu cha uhitimu mmoja wa wahitimu wa Kidato cha Sita wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Weruweru wakati wa mahafali ya shule hiyo yaliyofanyika mjini Moshi, Kilimanjaro mwishoni mwa wiki. Ofisa huyo aliwakilisha wafanyakazi wa Vodacom kupitia Vodacom Foundation ikiwa ni sehemu ya mchango wao katika kusaidia wasichana katika elimu ambapo kampuni hiyo pia ilitoa msaada wa mashine...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WASICHANA WERUWERU WAASWA: “FUATENI NYAYO, JIFUNZE NA KUPATA USHAURI KWA WANAWAKE WALIOFANIKIWA “

Ofisa Mkuu wa Uhusiano wa Kampuni ya Vodacom Tanzania, Georgia Mutagahywa (wa pili kutoka kushoto) akimkabidhi chetu cha uhitimu mmoja wa wahitimu wa Kidato cha Sita wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Weruweru wakati wa mahafali ya shule hiyo yaliyofanyika mjini Moshi, Kilimanjaro mwishoni mwa wiki. Ofisa huyo aliwakilisha wafanyakazi wa Vodacom kupitia Vodacom Foundation ikiwa ni sehemu ya mchango wao katika kusaidia...

 

5 years ago

Michuzi

CHUO KIKUU MZUMBE WASHEREKEA SIKU YA WANAWAKE NA WANAFUNZI, WASICHANA WAASWA KUSOMA MASOMO YANAYO TUMIA RASILIMALI ZAIDI


CHUO kikuu cha Mzumbe kampasi ya Dar es Salaam wamesheherekea siku ya Mwanamke Dunia kwa Kuzungumza yapasayo mtoto wa kike na wanafunzi wa shule ya sekondari ya Hananasif jijini Dar es Salaam leo.
Wanafunzi hao wameaswa kusoma masomo ambayo hayatumii watu wengi na kusoma masomo ambayo yanatumia rasilimali ili iwe rahisi kuajiliwa na kujiajili wenyewe.
Hayo ameyasema Mhadhiri wa Chuo kikuu cha Mzumbe Kampasi ya Dar es Salaam, Dkt. Godberther Kinyondo jijini Dar es Salaam leo wakati wa...

 

11 years ago

Michuzi

Attention- Weruweru Alumni in the Diaspora

 Now, we have been receiving lots of inquiries on how the Weruweru Alumni community living outside of Tanzania, can get access to the Khanga, Tshirts and Mugz of Weruweru Alumni?! ...Today,let me help you all with the answer. Our Alumni Association leaders and Steering Committee will be traveling in different countries for their personal and official duties... What they will be doing is, CARRYING a number of Khanga, Tshirts and Mugs for those Alumni who will be ready to buy them. How would...

 

5 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wanawake TCRA Kanda ya Kaskazini Watembelea shule ya Weruweru na kutoa Elimu.

Wafanyakazi na wake wa wafanyakazi wa TCRA katika picha ya pamoja walipokwenda kutoa elimu ya matumizi bora ya mtandao Weruweru
Baadhi ya wanafunzi wa kidato cha sita katika shule ya sekondari ya Weruweru wakiwa katika picha za pamojaEng. Emelda wakati akiwasilisha mada ya matumizi bora ya mitandao kwa wanafunzi wa Sekondari WeruweruEng. Emelda Salum akiongea na wanafunzi wa kike katika shule ya sekondari ya weruweru iliyopo mkoa wa Kilimanjaro
Na.Vero Ignatus,Arusha
Katika kusheherekea siku ya...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MKUTANO KWA WANA WERUWERU JUMAMOSI CINE CLUB, MIKOCHENI, DAR ES SALAAM

NOTICE IS HEREBY Given that a General Meeting of the foundation will be held at Cine Club, Mikocheni/Msasani, Dar es Salaam on Saturday, 8th February, 2014 at 10.00hrs. 
 Mkutano wa Weruweru Alumnae Foundation utafanyika Jumamosi tarehe 8 Februari 2014, Cine Club, Mikocheni/Msasani, Dar es Salaam kuanzia saa Nne (4) asubuhi Tafadhali mtaarifu Golden Girl mwingine

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani