WASTARA: Imenisikitisha kuzushiwa kifo
Muigizaji wakike wa Filamu hapa nchini, Wastara Sajuki amesikitishwa na taarifa za uongo zilizo enea nchini Burundi kuwa alishafariki kwa ajali ya gari. Kupitia ukurasa wake wa matandao wa INSTAGRAM muigizaji huyo ambaye aliondoka hapa nchini juzi kuelekea nchini humo kizazi, mbali na kuonekana mwenye furaha kwa picha alizoziweka kwenye ukurasa huo akiwa sehemu za ufukweni (Baadhi ya picha kama unavyoziona hapo chini), Wastara alikutana na mashabiki wake na taarifa za kuwa walidhani...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM16 Apr
Baada ya kuzushiwa kifo,Hussein Machozi asema ameamini thamani ya msanii huonekana akishafariki dunia.
Msanii wa Bongo Fleva,Hussein Machozi amefunguka na kusikitishwa na habari zilizoenea kuwa amefariki dunia baada ya kupata ajali ya gari mkoani Dodoma.
10 years ago
Bongo510 Nov
Macaulay Culkin (Kevin) wa ‘Home Alone’ athibitisha kuwa yupo hai baada ya kuzushiwa kifo weekend iliyopita
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jHwMyBM71OWe97ktPL26UpNhXO*bE05m-Xan706OYcS168mzy06LAsv375XqPyjGfd1NH*UjJJgZYNcP6chTAFh/WASTARA2.jpg)
WASTARA ASUMBULIWA NA ROHO YA KIFO
5 years ago
BBCSwahili30 May
Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani