Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASTARA ASUMBULIWA NA ROHO YA KIFO

Wastara Juma. Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan
OOOH! Zikiwa zimepita siku chache tangu staa wa filamu Bongo, Wastara Juma kunusurika kifo baada ya kudaiwa kunywa sumu na baadaye kupata ajali, anadaiwa kusumbuliwa na roho wa kifo. Kupitia ukurasa wake katika Mtandao wa Kijamii wa Instagram, Wastara aliweka picha za wasanii mbalimbali huku akimwelezea kila mmoja alivyo na mwishoni mwa maelezo hayo alimalizia kwa kusema...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ROHO WA KIFO BADO KWA MASTAA

Stori: Hamida Hassan na  Haroun Sanchawa
MTOTO wa  aliyekuwa mtabiri  maarufu nchini, Shehe Yahya Hussein, Maalim Hussein Yahya ametoa utabiri wake wa mwaka na kusema kwamba vifo zaidi vitaendelea kutokea kwa mastaa wa filamu, muziki, waandishi wa habari, viongozi wa dini pamoja na wanasiasa, Risasi Jumamosi linaweka bayana. Aliyekuwa mtabiri  maarufu nchini, Shehe Yahya… ...

 

10 years ago

Bongo Movies

WASTARA: Imenisikitisha kuzushiwa kifo

Muigizaji wakike  wa Filamu hapa nchini, Wastara Sajuki amesikitishwa na taarifa za uongo zilizo enea nchini Burundi kuwa alishafariki kwa ajali ya gari. Kupitia ukurasa wake wa matandao wa INSTAGRAM muigizaji huyo  ambaye aliondoka hapa nchini juzi kuelekea nchini humo kizazi, mbali na kuonekana mwenye furaha kwa picha alizoziweka kwenye ukurasa huo akiwa sehemu za ufukweni (Baadhi ya picha kama unavyoziona hapo chini), Wastara alikutana na mashabiki wake na taarifa za kuwa walidhani...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

9 years ago

GPL

MIRATHI NUSURA IMTOE ROHO!

Masanga Said Bori, anayevuja damu. Boniphace Ngumije na Mayasa Mariwata BALAA! Mkazi wa Mtaa wa Manyoni, Ilala jijini Dar aliyejulikana kwa jina la Masanga Said Bori (pichani), Jumamosi iliyopita nusura atolewe uhai akitetea mirathi ya nyumba iliyoachwa na shangazi yake, Mwanafatima binti Mchinga akiwa na ndugu zake, Panya Bori, Mchinga Bori, Mwanafatima Bori na Zaujiha Bori. Kwa mujibu wa chanzo, nyumba hiyo namba 27/1 yenye...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, ZARI ROHO MKONONI

MUSA MATEJA NA SIFAEL PAUL TAHADHARI ichukuliwe! Habari zikufikie kuwa, baada ya staa mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz‘ na mpenzi wake, Zarinah Hassani ‘Zari’, kuhamia kwenye mjengo wake mpya uliopo Madale jijini Dar, imebainika kuwa familia hiyo inaishi roho mkononi kufuatia ulinzi sifuri, jambo linalowafanya kuishi kwa hofu tupu, Ijumaa Wikienda linakuhabarisha. Nyumba mpya ya...

 

10 years ago

Raia Mwema

Sasa roho yangu imetulia

WAKATI wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005, Rais Jakaya Kikwete, alivuma sana na alipendwa na watu wen

Privatus Karugendo

 

11 years ago

GPL

ROSE MUHANDO ROHO MKONONI

Stori:   Erick Evarist MY GOD! Mwanamuziki wa Injili daraja la kwanza nchini, Rose Muhando anaishi roho mkononi kufuatia madai kwamba kuna watu wanaomsaka wakisemekana wametumwa kuichukua roho yake, Ijumaa Wikienda lina kisa kizima. Mwanamuziki wa Injili daraja la kwanza nchini, Rose Muhando. Kwa mujibu wa chanzo makini, Rose…

 

11 years ago

GPL

JOHARI AWARUSHA ROHO RAY, CHUCHU!

Stori: Erick Evarist
WATU bwana! Picha zilizosambaa mitandaoni zikimuonesha staa wa sinema za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ akiwa kwenye pozi tata na Ostaz Juma Namusoma zimetafsiriwa kuwa zililenga kuwarusha roho wapendanao; Vincent Kigosi ‘Ray’ na Chuchu Hans. Johari. Hiyo imekuja baada ya kuvuja habari za Ray kumpangia Chuchu nyumba ya gharama maeneo ya Mwananyamala jijini Dar hivyo Johari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani