Watakiwa kuendelea kujihadhari na ebola
Serikali imewataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa ebola ambao bado unaendelea kuzikumba nchi za Afrika Magharibi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
Wanahabari Rukwa watakiwa kuwa makini kujikinga na Corona ili kuendelea kuihabarisha jamii

Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Rukwa Izrael Mwaisaka (Kushoto)akipokea bahasha zilizowekwa barakoa kwaajili ya Waandishi waliohudhuria semina ya Waandishi wa Habari katika Ofisi ya mkuu wa mkoa kutoka kwa Katibu Tawala wa Mkoa Bernard Malaki (kulia) ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Mkuu wa Mkoa huo kutoa vifaa vya kujikinga kwa Waandishi.

Mkuu wa mkoa wa Rukwa mh. Joachim Wangabo (waliokaa katikati) katika picha ya pamoja na baadhi ya Waandishi wa habari Mkoa wa Rukwa...
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Ebola:Mashabiki watakiwa kuwa na subra
Mlinzi wa Ivory Coast Kolo Toure amewataka mashabiki katika michuano ya mataifa ya Afrika nchini Equitorial Guinea kuwa na Subra
10 years ago
Ykileo
TU UFUNGE MWAKA KWA KUJIHADHARI NA UHALIFU MTANDAO

Kubwa zaidi ni uelewa mdogo wa watumiaji mtandao juu ya kujiweka salama kimtandao iliyo ambatana na wana usalama mitandao kuwa wachache sana katika ngazi ya kidunia huku baadhi ya mataifa kutotoa kipaumbele katika maswala ya usalama...
5 years ago
Michuzi
VIONGOZI WA DINI RUKWA WAAZIMIA KUPUNGUZA MUDA WA IBADA KUJIHADHARI NA CORONA

Mganga Mkuu wa mkoa wa Rukwa Dkt. Boniface Kasululu akitoa Elimu ya Ugonjwa wa Corona (Covid -19) Kwa viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini (Hawapo pichani).

Mchungaji Byanosisi Mwikole wa kanisa la Monravian akichangia mada katika kikao cha viongozi wa dini kilichoitishwa na mkuu wa mkoa wa Rukwa ili kupewa elimu juu ya namna ya kuepukana na Ugonjwa wa Corona (Covid -19)

Baadhi ya Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini wakisikiliza kwa makini elimu wanayopatiwa juu ya namna ya...
5 years ago
Michuzi
KAMPUNI YA LIQUID TELECOM'S KUENDELEA KUZIUNGANISHA KIDIGITAL NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA ILI KUENDELEA NA SHUGHULI ZAO

KAMPUNI ya Liquid Telecom's Afrika Mashariki imezihakikishia nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuendelea kufanya kazi zake kwa ukaribu na kawaida kupitia mgongo wake wa jumuiya ya nchi hizo katika mabadiliko yake ya kidigitali chini ya mwezi wa mmoja kutokana na janga la COVID- 19
Kwa mujibu wa kampuni imeeleza kuwa ndiyo inayoongoza katika mawasiliano na imewezesha wanachama wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kufanya kazi kwa ukaribu na kawaida licha ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania