Watakiwa kuliombea taifa
KONGAMANO la kimataifa la Kiislamu lenye lengo la kuombea amani nchini wakati wa kuelekea uchaguzi mkuu, linatarajiwa kufanyika Oktoba 16, mwaka huu mkoani Dodoma.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMKESHA MKUU WA KULIOMBEA DUA TAIFA KUFANYIKA DESEMBA 31-2014 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ALIHUTUBIA TAIFA KWENYE TAMASHA LA MKESHA WA KULIOMBEA TAIFA,JIJINI DAR
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ALIHUTUBIA TAIFA KWENYE TAMASHA LA MKESHA WA KULIOMBEA TAIFA, JIJINI DAR
9 years ago
Dewji Blog13 Sep
Tamasha la kuliombea Taifa Amani kuelekea Uchaguzi Mkuu kufanyika Oktoba 4, 2015 uwanja wa Taifa jijini Dar
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Msama Promotion ambayo inaandaa matamasha mbalimbali kama lile la Pasaka na Chrismas, ambaye ni Mwenyekiti wa Tamasha hilo, Alex Msama, akisisitiza jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu kukamilika kwa maandalizi ya Tamasha la kuliombea Taifa Amani kuelekea uchaguzi mkuu ambalo litafanyika Oktoba 4, 2015 Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na baadaye mikoa mingine 12.
9 years ago
VijimamboMAANDALIZI YA TAMASHA LA KULIOMBEA TAIFA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU YA KAMILIKA LITAFANYIKA UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM, OKTOBA 4, 2015
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Kutoka-kushoto-ni-Mwenyekiti-wa-Dood-News-For-All-Ministry-Charles-Gadi-Mchungani-James-Manyama-na-Mchungaji-Leonard-Leonce-Kajuna-wa-kanisa-hilo..jpg)
Askofu kuliombea taifa mvua
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Pasaka itumike kuliombea taifa
LEO ni Sikukuu ya Pasaka, ambapo Wakristo nchini wanaungana na wenzao duniani kote kuadhimisha kumbukumbu ya mateso, kifo na ufufuko wa Yesu Kristo. Pasaka ambayo huadhimishwa baada ya siku 40...
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Wakatoliki Dar kuliombea taifa
9 years ago
Habarileo22 Sep
Bilal awataka waumini kuliombea taifa
WAUMINI wa dini mbalimbali nchini wamehimizwa kuliombea taifa katika wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuu ili shughuli hiyo iweze kumalizika kwa amani na utulivu. Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal alihimiza hayo kwenye ibada maalumu ya kuwekwa wakfu Askofu wa Kanisa la Moravian Jimbo la Kusini, mchungaji Kenan Panja iliyofanyika mjini Tukuyu wilayani Rungwe.