Waziri ajia juu ujenzi hifadhi ya bahari
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dk Binilith Mahenge amesema hakuna mtu, wakiwemo vigogo atakayekuwa juu ya sheria katika ujenzi wa nyumba katika Hifadhi ya Bahari ya Hindi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VBhu39Zvo9c/Vkw7Dv2ODCI/AAAAAAAAJM0/uPeUCkHXWkA/s72-c/Bango%2Bla%2BHotel.jpg)
Kujengwa kwenye hifadhi ya Bahari Golden Tulip kwazua maswali ya sheria ya mita 60
9 years ago
MichuziSSRA YASHIRIKI MAONESHO YA SIKU YA BAHARI MKOANI MTWARA NA KUTOA ELIMU KWA MABAHARIA NA WAVUVI KUHUSU UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
Kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni 128 zatolewa kwa ajili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu na Umeme
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakisaini hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu katika makutano ya TAZARA na usambazaji umeme jijini Dar es salaam leo zenye thamani ya zaidi ya bilioni 128.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakibadilishana hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa...
11 years ago
MichuziWAZIRI WA UJENZI DK. MAGUFULI AIFAGILIA NSSF UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI
Ujenzi wa daraja hilo umekamilika kwa asilimia 60 ambapo mpaka sasa NSSF imetoa sh. bilioni 117 kati ya Bilioni 214 zitakazokamilisha ujenzi wa daraja hilo.
Akizungumza leo jijini Dar es salaam, alipotembelea daraja kuona namna ujenzi unavyoendelea, Dk. Magufuli alisema kuwa ujenzi wa daraja hilo umekutana na changamoto nyingi ikiwemo kina kilichokuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YwG-dFCTOGg/VbvAZyF6H-I/AAAAAAAHs98/30gZE5BItd8/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
WAZIRI WA UJENZI AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA TENGERU-SAKINA (KM 14.1) ITAKAYOJENGWA KWA NJIA NNE MKOANI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-YwG-dFCTOGg/VbvAZyF6H-I/AAAAAAAHs98/30gZE5BItd8/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GGBEZsSU4mg/VbvAcIoC7wI/AAAAAAAHs-E/3ymrEpM4VAg/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YGvjN1w1Mv4/XmTd9m0bUEI/AAAAAAALh60/BcPXuTxye_4BNAFnC_-ZdowBxuN2fsg2ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI ZUNGU ASHIRIKI USAFI WA FUKWE ZA BAHARI JIJINI DAR ES SALAAM
Aliongeza kuwa anawashukuru sana kikundi cha utunzaji wa mazingira cha Save the Coast kwa...
11 years ago
MichuziNaibu Waziri wa Uchukuzi atemebelea chuo cha bahari dar es Salaam (DMI)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Madini ya ujenzi bei juu
SERIKALI kupitia Ofisi ya Kamishna Msaidizi wa Madini Kanda ya Mashariki na Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), imepandisha bei za madini ya ujenzi katika mikoa ya Dar es...