Madini ya ujenzi bei juu
SERIKALI kupitia Ofisi ya Kamishna Msaidizi wa Madini Kanda ya Mashariki na Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), imepandisha bei za madini ya ujenzi katika mikoa ya Dar es...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo13 May
TEITI YAWANOA WANDISHI WA HABARI WA BIASHARA NA MADINI JUU YA UWAI SEKTA YA MADINI
![41](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/411.jpg)
![1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/12.jpg)
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/411.jpg?width=650)
TEITI YAWANOA WANDISHI WA HABARI WA BIASHARA NA MADINI JUU YA UWAI SEKTA YA MADINI
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
Kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni 128 zatolewa kwa ajili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu na Umeme
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakisaini hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu katika makutano ya TAZARA na usambazaji umeme jijini Dar es salaam leo zenye thamani ya zaidi ya bilioni 128.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakibadilishana hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa...
11 years ago
Mwananchi30 Jul
MADINI: Anguko la bei latikisa uchimbaji wa urani
11 years ago
Habarileo24 Dec
Bei ya umeme juu
WATANZANIA wataanza Mwaka Mpya 2014 kwa maumivu, baada ya Shirika la Umeme (TANESCO) kuidhinishiwa kupandisha bei za umeme kuanzia Januari mosi.
10 years ago
Mtanzania12 Jun
Mafuta ya petroli bei juu
SERIKALI imependekeza kuongeza tozo ya mafuta ya petrol na dizeli kutoka Sh 50 kwa lita hadi Sh 100 kwa lita, ikiwa ni ongezeko la Sh 50 kwa lita.
Akizungumzia kuhusu ongezeko hilo wakati akiwasilisha Bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16 bungeni mjini Dodoma jana, Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, alisema mafuta ya taa yanapaa kutoka Sh 50 kwa lita hadi Sh 150 kwa lita, ikiwa ni ongezeko la shilingi 100 kwa lita ili kuondoa uwezekano wa kuchakachua.
“Hatua ya kuongeza tozo ya mafuta ya petroli...
9 years ago
Habarileo28 Dec
Muhongo achoshwa umeme wa bei juu
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameuagiza uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Kanda ya Ziwa kuhakikisha wanauingiza mkoa wa Kagera katika Gridi ya Taifa baada ya kubainika nchi inaingia gharama kubwa kununua umeme kutoka Uganda.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXvOUEGkKMtstHeMkb8l0ZjTojc543RkuYWQH3E0jEBwhj4BXmRfOxVgRPy2wcrETG8v27Nh1T1d4VfGfQpTjX3H/tanescologo.jpg?width=600)
UMEME BEI JUU JANUARI MOSI
10 years ago
Mtanzania06 May
Mafuta ya petroli, dizeli bei juu
GRACE SHITUNDU NA TUNU NASSOR,
DAR ES SALAAM
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei mpya itakayoanza kutumika leo ambapo mafuta ya petroli na dizeli yamepanda huku mafuta ya taa yakishuka.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Meneja Mawasiliano na Uhusiano EWURA, Titus Kaguo, alisema bei ya jumla na rejareja ya mafuta aina zote imebadilika ikilinganishwa na bei elekezi iliyotolewa Aprili, mwaka huu.
Alisema bei ya rejareja kwa mafuta ya petroli imeongezeka kwa Sh...