Bei ya umeme juu
WATANZANIA wataanza Mwaka Mpya 2014 kwa maumivu, baada ya Shirika la Umeme (TANESCO) kuidhinishiwa kupandisha bei za umeme kuanzia Januari mosi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXvOUEGkKMtstHeMkb8l0ZjTojc543RkuYWQH3E0jEBwhj4BXmRfOxVgRPy2wcrETG8v27Nh1T1d4VfGfQpTjX3H/tanescologo.jpg?width=600)
UMEME BEI JUU JANUARI MOSI
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Umeme bei juu, huduma zilezile
9 years ago
Habarileo28 Dec
Muhongo achoshwa umeme wa bei juu
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameuagiza uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Kanda ya Ziwa kuhakikisha wanauingiza mkoa wa Kagera katika Gridi ya Taifa baada ya kubainika nchi inaingia gharama kubwa kununua umeme kutoka Uganda.
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Muhongo achoshwa na umeme wa bei ya juu unaonunuliwa Uganda
![](http://3.bp.blogspot.com/-dUivJwVx798/VoDIXOL-zYI/AAAAAAAAsxI/xNkEJqx7umE/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cCgFZZD9Tjs/VoDIXAPKD2I/AAAAAAAAsxE/TZtmNpIJtmE/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wy30vnLED_c/VoDIXsdjq0I/AAAAAAAAsxM/gdPetgEERUQ/s1600/4.jpg)
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
Kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni 128 zatolewa kwa ajili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu na Umeme
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakisaini hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu katika makutano ya TAZARA na usambazaji umeme jijini Dar es salaam leo zenye thamani ya zaidi ya bilioni 128.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakibadilishana hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa...
10 years ago
Habarileo12 Feb
Umeme kushuka bei
BAADA ya kushuka kwa bei ya mafuta nchini, wakati wowote kuanzia leo Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) linatarajiwa kutangaza bei mpya za umeme ambazo zitakuwa na unafuu kwa wananchi.
10 years ago
Habarileo17 Sep
Bei ya umeme kushuka
SERIKALI imesema inatarajia kuondoa mitambo yote inayotumia mafuta katika kuzalisha umeme ifikapo Januari mwakani. Hali hiyo itaokoa Sh trilioni 1.6 kwa mwaka, lakini pia kuwapa Watanzania umeme wa uhakika na wa gharama nafuu.
10 years ago
Habarileo14 Feb
Umeme washuka bei
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imeshusha kidogo bei ya umeme kuanzia Machi Mosi mwaka huu, huku ikisisitiza kwamba bei hiyo itaendelea kupungua zaidi mradi wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam utakapoanza kazi.
10 years ago
Mtanzania14 Feb
Bei ya umeme yashuka
Jonas Mushi na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kushusha bei ya nishati ya umeme kwa watumiaji wakubwa wa majumbani wanaotumia zaidi ya uniti 75 kwa mwezi pamoja na viwanda vikubwa na vya kati.
Tangazo la kushushwa kwa bei ya nishati ya umeme limetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Felex Ngamlagosi, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyikia jana ofisini kwake, Dar es Salaam.
Alisema punguzo hilo limezingatia gharama za...