Waziri Ghasia avionya vyama vya siasa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia amevionya vyama vya Siasa nchini kutokuwa chanzo cha vurugu katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Desemba 14, mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Msajili avionya vyama vya siasa
MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, amevionya vyama vya siasa kujiepusha na vurugu, lugha za matusi, maandamano yasiyozingatia utaratibu uliowekwa kisheria na vitendo vya rushwa. Jaji Mutungi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4MR1TqB8FFc/VLwP61taVgI/AAAAAAABN_o/L3qhU-mql78/s72-c/IMG_6957.jpg)
JAJI MUTUNGI AVIONYA VYAMA VYA SIASA VINAVYOENDEKEZA MIGOGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-4MR1TqB8FFc/VLwP61taVgI/AAAAAAABN_o/L3qhU-mql78/s1600/IMG_6957.jpg)
Athari za migogoro hii ni nyingi, ikiwemo chama cha kushindwa kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa, kupoteza mvuto kwa jamii na wanachama wake, ukosefu wa amani na utulivu ndani ya chama na kupoteza sifa za usajili.Hivi sasa mfumo wa demokrasi ya vyama vingi vya siasa una takribani miaka...
9 years ago
VijimamboMSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAJA VYAMA VYA SIASA VYENYE USAJILI WA KUDUMU AMBAVYO VINASTAHILI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mbMo2RIkhrk/XnN-DtAnxMI/AAAAAAALkdY/0Vq_LBXoi70sQjqjAitQuaYrAUCi-9jrwCLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA-%2BOFISI%2BYA%2BMSAJILI%2BWA%2BVYAMA%2BVYA%2BSIASA.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ml0Wpxba5Kc/XoS0jOJrPkI/AAAAAAALlzs/9ye1ZJ2G4nszgXpPn6ImTmiGNgfeS8JQACLcBGAsYHQ/s72-c/RG1A1518.jpg)
WAZIRI MKUU ATOA NENO KWA VIONGOZI VYA VYAMA VYA SIASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ml0Wpxba5Kc/XoS0jOJrPkI/AAAAAAALlzs/9ye1ZJ2G4nszgXpPn6ImTmiGNgfeS8JQACLcBGAsYHQ/s400/RG1A1518.jpg)
“Hivyo basi, tudumishe utulivu, amani, mshikamano pamoja na ustaarabu wetu wa Kitanzania katika kipindi chote cha kampeni na Uchaguzi Mkuu ili kulifanya Taifa letu kuendelea kuwa kisiwa cha amani na mfano wa kuigwa barani Afrika na duniani kwa ujumla.”
Waziri Mkuu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGa0Y6kLfZla91oqfmkX7w6XfoZdF-i6o-K1i5EBO8j9GeqCxhzlIQnp3-EF77F3P4P-9rBrLEwU3ArjG3ZGt48n/1.jpg?width=650)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mPNKZ1VMfhM/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWntgnHXjghAmfo622aeeI8xHVW7f2LhfWZBhM5IC8bvhLMnLc4t91E1zaad*G2Se5VjQo3PWPkOSfRQoGCjv42d/ErnestMangu.jpg?width=650)
USINZIBE MDOMO VIKOSI VYA ULINZI VYAMA VYA SIASA?!
Elnest Mangu. TANZANIA tuna majeshi kadhaa na vyombo vya ulinzi na usalama vinavyotambulika kisheria. Tunalo Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza. Chini yake, JWTZ unawakuta JKT, kwa polisi, tunao Zimamoto, FFU, Usalama barabarani (Trafiki) na Mgambo. Majeshi na vikosi hivi vina majukumu yanayofahamika na kukubalika. Kwa hiyo haishangazi tunapoona polisi wakitumika kuwakamata majambazi, ambao wakati mwingine...
9 years ago
GPL05 Oct
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania