Waziri Mahenge aendelea na ziara mkoani Tanga
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Mhe.Dkt.Injinia Binilith Satano Mahenge (wa pili kushoto) akiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Bandari ya Tanga Bw. Fred Liundi (kushoto) pamoja na viongozi wa Mkoa wa Tanga wakielekea kupanda Boti kwenda kuangalia kisiwa cha Toten ambacho kiko hatarini kuzama.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Mhe.Dkt.Injinia Binilith Satano Mahenge (kulia), akikagua Kisiwa cha Toten kilichopo mkoani Tanga.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fqn5o34Nwlc/VQLvoQchQ0I/AAAAAAAHKF4/d6IjqlA1ato/s72-c/Untitled1.png)
Mh. Binilith Mahenge aendelea na ziara yake Mkoani Mbeya
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Dk. Binilith Mahenge ameishauri Halmashauri ya Jiji la Mbeya kutafuta wawekezaji watakaotumia taka kama malighafi katika shughuli uzalishaji viwandani ili kukabiliana na uchafuzi wa mazingira jijini humo.
Ushauri huo aliutoa, akiwa katika ziara ya siku mbili mkoani humo wakati alipotembelea Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mbeya na kuzungumza na Idara ya Usafishaji na Mazingira jiji humo jana.
Aliongeza...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-y4ejHCr5M3o/UzMnHNDG9-I/AAAAAAAFWqY/yIuI5B9N7UY/s72-c/unnamed+(5).jpg)
JK AENDELEA NA ZIARA YA KIKAZI MKOANI TANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-y4ejHCr5M3o/UzMnHNDG9-I/AAAAAAAFWqY/yIuI5B9N7UY/s1600/unnamed+(5).jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimtwisha ndoo ya maji Bibi Rukia Bakari muda mfupi baada ya kuzindua mradi wa maji katika kijiji cha Kwemhosi wilayani Muheza Mkoa wa Tanga leo.Mradi huo utavinufaisha vijiji vinane katika wilaya hiyo yenye uhaba mkubwa wa maji
![](http://1.bp.blogspot.com/-TMhZ67mnhNI/UzMnUZzCMgI/AAAAAAAFWqg/L11ibbQOX-o/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nl6iJs4MCbU/UzMnUZzeakI/AAAAAAAFWqk/1a_V0lC4I7Y/s1600/unnamed+(7).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HPfAIOae8ug/VC2tEcmy2UI/AAAAAAAARvs/6cIylFaZpuY/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYANI PANGANII MKOANI TANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-HPfAIOae8ug/VC2tEcmy2UI/AAAAAAAARvs/6cIylFaZpuY/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-q3rvR8C9600/VC2tJYT244I/AAAAAAAARv8/2dOrc6HOV60/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tZo6gRAeN9A/VC2tG64J7gI/AAAAAAAARv0/DjECOsu1ASw/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZkVvqUqCYwk/VC2tSoJVhlI/AAAAAAAARwE/hweSjPDE5IE/s1600/5.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MAJALIWA KUANZA ZIARA MKOANI TANGA KESHO
MKUU wa Mkua wa Tanga Martine Shigella akizungumza na waandishi wa habari mkoani humo leo ambao hawapo pichani kuhusu ziara maalumu ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa itakayoanza kesho Jumatatu
MKUU wa Mkua wa Tanga Martine Shigella akizungumza na waandishi wa
habari mkoani humo kuhusu ziara maalumu ya Waziri Mkuu Kassim
Majaliwa itakayoanza kesho Jumatatu mkoani hapa
WAZIRI mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwasili jijini Tanga kesho June Mosi Mwaka huu kwa ziara maalum ya kutembelea na...
5 years ago
CCM BlogZIARA YA WAZIRI MKUU MAJALIWA WILAYANI PANGANI MKOANI TANGA, LEO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zX1-jJ-lov4/VBQmggSRvjI/AAAAAAAGjaw/czyJRNih7M4/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
WAZIRI MKUU AWASILI MKOANI TANGA KWA ZIARA YA SIKU MOJA YA KIKAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-zX1-jJ-lov4/VBQmggSRvjI/AAAAAAAGjaw/czyJRNih7M4/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WwDxPXtqPlk/VBQmhaedaqI/AAAAAAAGja0/G8tSWnxA_Vw/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
9 years ago
Michuzi20 Dec
WAZIRI UMMY MWALIMU KATIKA ZIARA HOSPITALI YA RUFAA YA BOMBO MKOANI TANGA, KUKAGUA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA LEO
![IMG-20151220-WA0012](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/2jqSTb6rwwHyDPhhDJDSXM_Y9GTLhKQG3al0Byv191LsT6SJ3AF_f9Ns_75ry3stFkDjSojEMXG_c-9jJcfIxvraqQNFWRf2bd0A7-PJd7TS9I1S0bTuzt8uUAWN=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0012.jpg)
![IMG-20151220-WA0019](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/2FRm_TTrk97vFdEwTUPV_oDUPzwmBxAJrp3BDakrQ2l83AnH1aXG-RSnQsZJ-_u6n6AEYyVl2A26mjFskppUmLIcY3hZvQPTK4GFV3fXeyVzbLoDKL1Bd1MRGIQk=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0019.jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI MAHENGE AFANYA ZIARA JIJINI DAR LEO
Akiwa katika mwendelezo wa ziara zake za ukaguzi mazingira Mh. Mahenge alimtaka Mkurugenzi mtendaji wa kiwanda hicho Bwana Vijay Raghavan kutumia nishati mbadala kama gesi katika uendeshaji wa mitambo ya...