WAZIRI MKUU AFUNGA MAONYESHO YA NANE NANE JIJINI MBEYA LEO
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na wakulima na wananchi wa mikoa ya Kanda ya Nyanda za juu kusini wakati akifunga maonesho ya sherehe za wakulima Nanenane katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya Agost 8 ,2015b .Picha Jamiimojablog.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akizungumza katika sherehe hizo za wakulima Nanenaneb Kanda ya Nyanda za juu kusini katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya.
wananchi na wakulima wa mikoa ya Kanda ya Nyanda za juu kusini wakimsikiliza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
Waziri Mkuu Mizengo Pinda kufungua Maonyesho ya Nane Nane Kitaifa mkoani Lindi Agosti 3, mwaka huu
Lindi kumekucha, pilikapilika za maandalizi ya Maonyesho ya Nane Nane kitaifa mwaka huu zimepamba moto ambapo Mgeni Rasmi katika maonesho hayo yatakayofunguliwa Jumatatu Agosti 3, 2015 anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda. Maonyesho hayo ya mwaka huu yanaongozwa na kauli mbiu “Matokeo Mkubwa Sasa, Tuchague Viongozi Bora kwa Maendeleo ya Kilimo na Ufugaji”.
Mratibu wa Maonyesho ya Nane Nane kutoka wilaya ya Newala Ado Kiwangu akiwaonesha na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VkEAFT2Lqac/U-SHgOQcrhI/AAAAAAAF93g/4zreYTNcIQY/s72-c/Maonyesho+ya+Kilimo+Nane+Nane+Kanda+ya+kati+katika+Viwanja+vya+NZUGUNI+DODOMA-2014+(8).jpg)
Katibu Mkuu kiongozi katika maonyesho ya Nane nane kanda ya kati Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-VkEAFT2Lqac/U-SHgOQcrhI/AAAAAAAF93g/4zreYTNcIQY/s1600/Maonyesho+ya+Kilimo+Nane+Nane+Kanda+ya+kati+katika+Viwanja+vya+NZUGUNI+DODOMA-2014+(8).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LnzYgndBy2Q/U-SHaVuayCI/AAAAAAAF92o/7ip9X80_Gcc/s1600/Maonyesho+ya+Kilimo+Nane+Nane+Kanda+ya+kati+katika+Viwanja+vya+NZUGUNI+DODOMA-2014+(10).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jzbr9Hw43EA/U-SHbPUZGzI/AAAAAAAF920/sVQMt4cx1dY/s1600/Maonyesho+ya+Kilimo+Nane+Nane+Kanda+ya+kati+katika+Viwanja+vya+NZUGUNI+DODOMA-2014+(11).jpg)
11 years ago
MichuziMaonyesho ya Nane Nane jijini Arusha
11 years ago
MichuziBANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU LAVUTIA NANE NANE DODOMA
11 years ago
MichuziOFISI YA WAZIRI MKUU WAIBUKA KIDEDEA KWA WIZARA ZA SERIKALI NANE NANE, 2014
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CjKaKhelIP8/VcTUKrR2MzI/AAAAAAAHvNc/kswsbJe-gTc/s72-c/unnamed%2B%252861%2529.jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAENDELEA NA URATIBU WA SHUGHULI ZA SERIKALI NDANI YA MAONESHO YA NANE NANE - LINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-CjKaKhelIP8/VcTUKrR2MzI/AAAAAAAHvNc/kswsbJe-gTc/s640/unnamed%2B%252861%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fOH7A68yuS8/VcTUKiZjpfI/AAAAAAAHvNY/KP6POy8aZ4o/s640/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oTYc5nwlTsM/VccHfrSTK4I/AAAAAAAHvaA/UcN97UkLYEE/s72-c/unnamed%2B%252845%2529.jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA KWA WIZARA ZA HUDUMA ZA JAMII KATIKA MAONESHO YA NANE NANE KITAIFA - LINDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-oTYc5nwlTsM/VccHfrSTK4I/AAAAAAAHvaA/UcN97UkLYEE/s640/unnamed%2B%252845%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mRMhrVnvLyk/VccHgEJzheI/AAAAAAAHvaE/jLfE2eeQLFY/s640/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
11 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA KATAVI ATEMBELEA BANDA LA MBEYA YETU NANE NANE,AMWAGA SIFA KEM KEM
Dr. Lutengwe ametoa pongezi hizo hivi wakati akitoa tathmini yake mara baada ya kutembelea mabanda mbalimbali kwenye maonesho ya wakulima maarufu kama Nane nane yanayoendelea kwenye viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya.
Alisema kuwa mtandao huu umeonesha...
11 years ago
Dewji Blog07 Aug
Mkuu wa Mkoa wa Katavi atembelea banda la Mbeya yetu nane nane amwaga sifa kem kem
Banda la Mbeya yetu Blog.
Mtoa Maelezo kutoka Tone Multimedia Group kupitia Mtandao wao wa Mbeya yetu Blog Fredy Anthony Njeje wa kwanza kulia akitoa maelezo ya kina kwa Mkuu wa Mkoa wa katavi Mh.Dr Rajab Lutengwe jinsi mtandao wa Mbeya yetu unavyofanya kazi pia unavyosaidia upatikanaji wa habari kwa urahisi kabisa. Pia kuekeza sababu za Kushiriki katika mashindano ya nane nane ikiwa ni pamoja na Kutoa elimu juu ya mitandao ya kijamii na faida zake hasa upande wa Blogs na matumizi...