WAZIRI MKUU AFUNGUA KITENGO CHA KUCHUJA DAMU
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefungua mradi wa huduma ya kuchuja damu katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Tanga ya Bombo na kupunguza gharama ya kuwasafirisha wagonjwa wenye matatizo ya figo kwenda Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kufuata hiduma hiyo.
Pia, Waziri Mkuu amefungua mradi wa ujenzi wa barabara ya Makorora-Msambweni (km nne) iliyojengwa kwa thamani ya sh. bilioni 5.9 ambayo itarahisisha mawasiliano kwa wakazi wa kata za Msambweni, Makorora, Mzingani na watumiaji wengine wa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-P4e0Rk76avo/XlzC8A4wWQI/AAAAAAALgSs/dJrHKSe5qxYK_vqJeGFPbob09gk_iq7agCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU AFUNGUA HUDUMA YA KUCHUJA DAMU
Pia, Waziri Mkuu amefungua mradi wa ujenzi wa barabara ya Makorora-Msambweni (km nne) iliyojengwa kwa thamani ya sh. bilioni 5.9 ambayo itarahisisha mawasiliano kwa wakazi wa kata za Msambweni, Makorora, Mzingani na watumiaji wengine wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AAFJihuya9M/VNSvU25I4dI/AAAAAAAHCMw/2UgrRGns-f0/s72-c/1.jpg)
Airtel yashirikiana na Kitengo cha damu salama cha taifa kuokoa maisha
![](http://1.bp.blogspot.com/-AAFJihuya9M/VNSvU25I4dI/AAAAAAAHCMw/2UgrRGns-f0/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hpxlqy25LdY/VNSvU-6xkFI/AAAAAAAHCMs/FNx5DRKoQzk/s1600/2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NEq67U-Shrw/Vl2x1s8koNI/AAAAAAAIJkI/KCOpMXXtOyM/s72-c/China%2BCulture%2BCentre%2B01.jpg)
WAZIRI MKUU MSTAAFU MIZENGO PINDA AFUNGUA KITUO CHA UTAMADUNI WA CHINA NCHINI TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-NEq67U-Shrw/Vl2x1s8koNI/AAAAAAAIJkI/KCOpMXXtOyM/s640/China%2BCulture%2BCentre%2B01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hjzYntxfzjM/Vl2x2ieiLII/AAAAAAAIJkc/vA1c0FkGiew/s640/China%2BCulture%2BCentre%2B04.jpg)
9 years ago
Dewji Blog16 Aug
Waziri Mkuu Mizengo Pinda afungua rasmi mafunzo ya Uongozi daraja la kwanza Chuo cha Magereza Kiwira,Mbeya
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Peter Pinda(katikati) akipokea Salaam kutoka kwa Gwaride lililoandaliwa na Wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi Daraja la Kwanza kwa Askari wa Jeshi la Magereza(hawapo pichani). Kushoto ni Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja(kulia) ni Mkuu wa Chuo cha Magereza Kiwira, SACP. Stanford Ntirundura.
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Peter Pinda akikagua Gwaride rasmi lililoandaliwa na Wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi wa Daraja la kwanza...
9 years ago
BBCSwahili17 Aug
Kitabu cha kuchuja maji chagunduliwa
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jPyZPfAWctw/VkyYHOHVoNI/AAAAAAAIGmk/3B5aw2uO7XQ/s72-c/IMG_5287.jpg)
MKUU WA KITENGO CHA MIPANGO OFISI YA MKAGUZI WA HESABU ZA SERIKALI,NKILIJIWANDO ATIMIZA AHADI YAKE KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA MISITU JIJINI DAR.
MKUU wa kitengo cha mipango katika Ofisi ya Ukaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali, Malima Nkilijiwando ambae pia ni mdau wa elimu ametimiza ahadi yake ya kuinunulia Shule ya Sekondari ya Misitu iliyopo kata ya Kivule- Ukonga jijini Dar es Salaam Kompyuta na mashine ya kutolea kopi pamoja na kuchapisha.
Ahadi hiyo ameitimiza leo katika shule hiyo ikiwa aliahidi kipindi walipofanya mahafali ya kidato cha nne katika shule hiyo.
Mkuu wa shule ya Sekondari ya Misitu, Pantaleo Maghari...
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU PINDA AFUNGUA KONGAMANO LA TAKWIMU
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU PINDA AFUNGUA MKUTANO WA BRN DODOMA
Waziri Mkuu Pinda ameyasema hayo leo (Jumatano) mjini hapa wakati wa hotuba yake fupi ya ufunguzi wa Mkutano wa siku tatu wa watendaji hao kujitathmini katika utekelezaji wa miradi ikiwemo miradi ya elimu iliyoko chini ya BRN. Mkutano huo umeandaliwa na Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI.
BRN ni...
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA TATHMINI YA BRN