Waziri Mkuu atoa agizo hili kwa Mifuko ya uwezeshaji
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa agizo kwa mifuko ya uwezeshaji wananchi kiuchumi kuweka wazi majukumu yake kwa wananchi ili wanufaike na mifuko hiyo.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
Waziri Majaliwa ametoa kauli hiyo Mjini Dodoma katika viwanja vya Mashujaa, wakati akizungumza na wakazi wa mji huo katika hafla ya uzinduzi wa maonyesho ya mifuko ya uwezeshaji wananchi kiuchumi.
“Sasa tujitambulishe na mifuko hii itumie nafasi hii kutoa maelezo sahihi ya mfuko na kazi zake kwa wananchi kuhusu...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LdUBNYpOQ8c/Uwvv5OQztJI/AAAAAAAFPVQ/gWaAl8Wmq60/s72-c/unnamed+(25).jpg)
mkuu wa mkoa wa lindi akagua miradi ya maendeleo wilayani liwale, atoa agizo kwa Wazazi kuhakikisha watoto waliopasi kuingia sekondari wawe wameripoti shuleni ndani ya siku 7
![](http://2.bp.blogspot.com/-LdUBNYpOQ8c/Uwvv5OQztJI/AAAAAAAFPVQ/gWaAl8Wmq60/s1600/unnamed+(25).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-McO1S_5cpgw/Uwvv5M_DPqI/AAAAAAAFPVI/moQ0LK-HLx4/s1600/unnamed+(26).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6HCzY7_P8Ng/Uwvv5fCYQjI/AAAAAAAFPVM/RMRR6eb9yTQ/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--KIC2sVOEYE/Uwvv5-rL3yI/AAAAAAAFPVY/-Djtn1iETgM/s1600/unnamed+(29).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HYSZOLG1dVo/Uwvv52SIYTI/AAAAAAAFPVo/1rDgW2VFyYw/s1600/unnamed+(30).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-cFOw2kbebk0/Xms3lCeLAII/AAAAAAAAweQ/4j5xxw7uaQwo5Kp75GNAbet1a2VqhF5BACLcBGAsYHQ/s72-c/cv.jpg)
MKUU WA MKOA ARUSHA ATOA AGIZO WAKATI WAKUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MFANYAKAZI WA NDANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-cFOw2kbebk0/Xms3lCeLAII/AAAAAAAAweQ/4j5xxw7uaQwo5Kp75GNAbet1a2VqhF5BACLcBGAsYHQ/s640/cv.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema tayari Polisi wameshachukua hatua na anaedaiwa kumuua atafikishwa Mahakamani huku akitoa agizo kwa uongozi wa Hospitali ya Mount Meru kurudisha fedha zilizochukuliwa na Hospitali hiyo kwa ajili ya gharama za mochwari.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-cWGXgIKrxlk/XqAIOViBgjI/AAAAAAAC3sQ/eHfmOWOg6fAhbWlI1Ynoeu261ewlozY0ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO KWA WAKUU WA MIKOA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-cWGXgIKrxlk/XqAIOViBgjI/AAAAAAAC3sQ/eHfmOWOg6fAhbWlI1Ynoeu261ewlozY0ACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Waziri Mkuu Mhe.Kasim Majaliwa amesema hakuna sababu ya sukari kupanda bei kwani sukari ipo yakutosha, ilikuwa imepungua imeagizwa na imekwishaletwa.
Majaliwa ameyasema hayo leo Jumatano April 22, 2020 akiwa kwenye Maombezi ya kuombea Taifa dhidi ya ugonjwa huu yanayofanyika katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar
“Wiki hii waumini wa kiislamu wanaanza mfungo wa Ramadhan hivyo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-yoYCHPFFcDI/U-4u0yj8P8I/AAAAAAAF_5s/etkPInrVE2Y/s72-c/unnamed%3A1.jpg)
WAZIRI MKUU ATOA MSAADA WA BAJAJ KWA KIJIJI CHA VIJANA SIKONGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-yoYCHPFFcDI/U-4u0yj8P8I/AAAAAAAF_5s/etkPInrVE2Y/s1600/unnamed%3A1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nDOfqSvxTfY/U-4u0UB4BtI/AAAAAAAF_50/qvwuKAM2gvY/s1600/unnamed%3A2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_zCHR2RSH64/U-4u1mSGQEI/AAAAAAAF_58/Xdnm1wEYn6Y/s1600/unnamed%3A3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TJpehHR_4x8/U-4u0Ssc0_I/AAAAAAAF_5o/B1RELRnLfHs/s1600/unnamed%3A.jpg)
WAZIRI...
9 years ago
StarTV06 Jan
Baadhi ya waajiri wabainika hawajatii agizo la Waziri Mkuu
Baadhi ya waajiri wamebainika kuwa bado hawajatii agizo la waziri mkuu lililotolewa mwishoni mwa mwaka jana likitaka uboreshwaji wa mazingira ya kazi kwa kutoa mikataba na vibali vya kazi kwa wageni.
Hayo yamebainika jijini Arusha katika ziara inayofanywa na naibu waziri ofisi ya waziri mkuu kazi vijana na ajira ikilenga kukagua viwango vya ajira vinavyotolewa na waajiri.
Ziara hiyo iliyofanywa na Naibu wa kazi vijana na ajira Antony Mavunde ikiwa ni kufuatilia agizi la Mh. Waziri...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A2BlwSeE8XA/XmfWyrE3RpI/AAAAAAALifY/5Evti4SLmigpLaGGS-w-NhjGoR7LzE8zwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-26.jpg)
MAJALIWA ATOA AGIZO KWA MAMENEJA WA TANROADS NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-A2BlwSeE8XA/XmfWyrE3RpI/AAAAAAALifY/5Evti4SLmigpLaGGS-w-NhjGoR7LzE8zwCLcBGAsYHQ/s640/1-26.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/3-23.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MRBtiNDAO7o/XnMCy5jeYmI/AAAAAAALkYk/8l89aFFCN8gcz0BURGVmy3RSFgV8g9R9gCLcBGAsYHQ/s72-c/1938f9fe-b097-4db5-80f5-8cf5943b1e36.jpg)
WAZIRI KAMWELWE AITAKA LATRA KUCHUKUA HATUA KUKABILIANA NA CORONA KWENYE VITUO VYA MABASI,ATOA SIKU TATU KUHAKIKISHA ZINARATIBU AGIZO HILO
SERIKALI imeziagiza Halmashauri za Majiji na Miji kukaa na Mamlaka za Udhibiti Usafiri wa Ardhini (LATRA) ili kuweka utaratibu maalum ambao utadhibiti mrundikano na wingi wa watu kwenye vituo vikuu vya mabasi.
LATRA na Halmashauri hizo zimepewa siku tatu kuhakikisha zinaratibu agizo hilo ikiwa ni hatua za serikali katika kujikinga na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Waziri wa Ujenzi,...
5 years ago
CCM Blog23 Apr
RAIS WA NIGERIA ATOA AGIZO LA KUACHILIWA HURU WAFUNGWA KWA SABABU YA CORONA
![Rais wa Nigeria atoa agizo la kuachiliwa huru wafungwa kwa sababu ya virusi vya Corona](https://media.parstoday.com/image/4bpqfd2283886917dhn_800C450.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ml0Wpxba5Kc/XoS0jOJrPkI/AAAAAAALlzs/9ye1ZJ2G4nszgXpPn6ImTmiGNgfeS8JQACLcBGAsYHQ/s72-c/RG1A1518.jpg)
WAZIRI MKUU ATOA NENO KWA VIONGOZI VYA VYAMA VYA SIASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ml0Wpxba5Kc/XoS0jOJrPkI/AAAAAAALlzs/9ye1ZJ2G4nszgXpPn6ImTmiGNgfeS8JQACLcBGAsYHQ/s400/RG1A1518.jpg)
“Hivyo basi, tudumishe utulivu, amani, mshikamano pamoja na ustaarabu wetu wa Kitanzania katika kipindi chote cha kampeni na Uchaguzi Mkuu ili kulifanya Taifa letu kuendelea kuwa kisiwa cha amani na mfano wa kuigwa barani Afrika na duniani kwa ujumla.”
Waziri Mkuu...